Tukidhani ni Binadamu wenzetu, kumbe ni mashetani! Mtu unaombeaje mwenzako afe kwa Corona? Can't believe this wickedness! Huu sio utu, ni ushetani!

Tundu lissu ni nani Tanzania ? Watu wamefia vitani wakiitetea Tanzania Wewe unatuletea habari za lissu

Endeleeni kumdekeza huko ughaibuni kwa kumtumia kodi za Watanzania
Niambie kwanini nisifurahie mtu kama wewe ukifa kwa corona?
 
Vipi kuhusu yule aliyewafananisha watanzania wenzake na corona, yeye mbona ulikaa kimya
Akiugua yule sidhani kama watamwacha. Yatamkuta ya mangula pumbafu. Akipotea njia akafika mikononi mwa wenye mlengo wa haki yaani haponi. No siku mbili wanamtudisha kwao.

Na kale ka Iringa kaliko mdharirisha Dr. Hakaponi sidhani kama watakaacha. Maana sio kwa udharirishaji ule.

Unamdharau surgeon??? Na elimu yako ya kiswahili????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati magu anakataza watu kwenda kumuona lissu ile haikuwa roho mbaya?

😂😂😂 Wewe mbona unamtumia Lissu kuhalalisha Ujinga wako?

Lissu unayemuongelea hapa nna uhakika hakujui na kamwe hawezi kumsikia akiwish mtanzania mwenzake aumwe Corona.

Usimtumie Mheshimiwa Lissu kuonesha Ujinga wako na atasikitika Sana Akiona umeandika Upupu huu

Kwani Lissu alivyopigwa risasi mashule yalifungwa? Yes it was A Big Pain to the nation Tena kovu kubwa Sana tu lakini huwezi ukafananisha impact ya Corona na ya Lissu.

Yaaani look very pathetic mkuu
 
Hao ni Zaidi ya mashetani Kaka Mkubwa ila km watu wazima lazima tuhoji sababu iliyofikia au kupelekea kuombea wenzeo kufa kwa korona isije kuwa wao ni wamaliziaji tu maana tuliona kauli nyingi zilikosa kosa utu kwenye utawala wa huu kisingizio cha kutetea wanyonge nasikia pia Kuna katibu mwenezi chama fulani amewafananisha wapinzani na korona yote ya yote turudi kwenye utu wetu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤮🤢
 
Ilikuwa big pain kwa taifa na watu wapenda haki ila siyo nyinyi mashetani mliojaa huko Lumumba.

Kama ingekuwa big pain kwenu basi.

1. Hadi leo tungeshajua ni nani alihusika na lile tukio

2. Tungeshajua ni nani aling'oa cctv camera katika majengo yale ya serikali

3. Tungeshajua askari waliokuwa zamu siku hiyo walipelekwa wapi na na waliondolewa lindo kwa amri ya nani.

4. Kwanini watu walikatazwa kukusanyika kumuombea Lissu.

5. Kwanini mzuie hela za matibabu yake. Eti mkasema angetibiwa muhimbili angepewa hela. Ndugai alitibiwa muhimbili kipindi kile ameumwa?

Mwisho... Wewe ni mbumbumbu wa kutupwa.
 
Kama ni mtihani ningekupa 100% .Wachangiaji wengi wamezichukua akili zao wakazitia mfukoni na kutumia za MTU mmoja.kazi kujipendekeza kutwa kucha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana
 
Ndugu zangu wa tz. Corona haiangakii vyama dini au makabila wale wanaoombea wenzao wafe sio poa we are in the sam path ataanza yy ww kesh hakun faida cha msing ni kushaur nn kifanyik kumuepuk huyu adui together we can..[emoji3577][emoji2532]


Fazz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tabaka la watu maskini tena wa fikra hutawaliwa na wivu ama kijicho. Wao ukesha wakiwaombea mabaya ama mikosi binadamu wenzao. Bahati mbaya sana maombi yao Mungu huyageuza na kuwa baraka kwa walengwa. Huendelea na mfumo huu wa maisha mpaka wanazeeka wakiwa maskini. Hii ni dalili mojawapo ya tabaka hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anajiona eti bonge la mjanja kumbe bonge la mjinga
 

Inasikitisha Sana mpaka Sasa hivi haujang'amua kuwa mimi sitetei ccm. It's a sign that you're an imbecile.

Alafu hayo maswali yako ilibidi uyapeleke kwenye Vyombo Vya Ulinzi na usalama kama unayojitanabaisha hapo kuwa Unapenda haki. Ulifanya Hivo? Sasa Unavyoniuliza mimi unaonesha ni jinsi gani you're a pain to your own head.

Maandamano tu ya Mange yalikushinda kuhudhuria alafu unasema unapenda haki. Mpenda haki tangu Lini akaomba mwananchi mwenzake apate Corona?

Kacheze Unakochezaga
 
Kuna boss wetu ana corona, kalazwa huko na hali yake si nzuri.
Hapa watu wanaombea afee tu.

Katesa watu sana, kafukuza watu kazi kwa makosa ya kawaida...

Kawapiga watu barua zisizo nanmaana.
Watu wana njaa kipindi chake....

Wengine maisha yao yamekwenda mramba sababu yake....

Hao unao wasemea Pascal Mayalla hawana tofauti na sisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…