Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaa hapohapo usubiri ujionee anavyopata 43% ndio utaelewa nini maana ya Uchaguzi, yaani labda atumie polisiHapo kunamgombea au Mtekelezaji wa Matakwa ya Jinsia moja!!
Yaani muombea Mabaya nchi yake naye mgombea
Magufuli Akipata 90% Atakuwa bado Kakosa Ushindi
Unajua mkuu, kuwasikiliza ndio njia rahisi ya kupima uwezo wao.
Hapa tutashusha tuu mpaka kieleweke.
Hivi ilani ya 2015 ya ccm imetekelezwa kwa asilimia ngapi,,,?
Inawezekana hivyo vichwa vya treni vilisombwa na mawimbi kutoka ujerumani hadi bandarisalama. [emoji23][emoji23][emoji23]Yapo mafanikio mengi ambayo kampeni zikianza watayazungumza sana.
Mojawapo ni mafanikio ya KUOKOTA VICHWA VYA TRENI BANDARINI.
Hilo halijapata kutokea popote duniani zaidi ya hapa kwetu tena awamu ya tano
Profesa Lipumba CUF;
Mkuu thread ni ya kauli za wagombea. Jee huyu hagombei tena CUF?
Hata miaka 20 anaweza kuongoza tu haina shida, ila mwaka huu ni LissuThe bitter truth is that " Magufuli will lead the country for next 5 years"
Hizi ngonjera zenu Ni katika kujifurahisha tu, pia Lissu hafai hata kidogo kupewa madaraka ya urais!
Kuna habari kuwa utaandaliwa mdahalo kabambe kuwakutanisha wagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ingawa mpaka sasa hajajulikana nani atakuwa muandazi lakini tunategemea kumfahamu mapema iwezekenavyo.
Wakati tunasubiri jambo hilo jema thread hii itakuwa special kwa mikusanyiko ya hotuba mbali mbali walizo wahi kutoa wagombea mahali mbali mbali mgano Bungeni, majukwaani au kwenye mikutano ya ndani.
Hii itatusaidia kuwapima uwezo wao wa kujieleza, umakini na hulka zao kwa ujumla. Unapokuwa Rais tayari wewe ni public property hivyo wanao kumiliki (wananchi) lazima wakuelewe.
Naanza kumuwela Tundu Lissu mgombea wa Chadema akiwa Bungeni.
Hata miaka 20 anaweza kuongoza tu haina shida, ila mwaka huu ni Lissu View attachment 1530155
Lissu anatufaa kabisaKiongozi wa nchi anatakiwa atokane na fani ya sheria, uchumi, biashara au mwanadiplomasia.
Atashinda kwa katiba ipi?Lissu anatufaa kabisa
Hapo kunamgombea au Mtekelezaji wa Matakwa ya Jinsia moja!!
Yaani muombea Mabaya nchi yake naye mgombea
Magufuli Akipata 90% Atakuwa bado Kakosa Ushindi
Atashinda kwa katiba ipi?
Hii ndio namna ya kudili nao
View attachment 1530226