Uchaguzi 2020 Tukielekea kwenye maandalizi ya Mdahalo wa wagombea tupitie hotuba zao walizowahi kuzitoa

Uchaguzi 2020 Tukielekea kwenye maandalizi ya Mdahalo wa wagombea tupitie hotuba zao walizowahi kuzitoa

Hapo kunamgombea au Mtekelezaji wa Matakwa ya Jinsia moja!!
Yaani muombea Mabaya nchi yake naye mgombea
Magufuli Akipata 90% Atakuwa bado Kakosa Ushindi
Kaa hapohapo usubiri ujionee anavyopata 43% ndio utaelewa nini maana ya Uchaguzi, yaani labda atumie polisi
 
Yapo mafanikio mengi ambayo kampeni zikianza watayazungumza sana.
Mojawapo ni mafanikio ya KUOKOTA VICHWA VYA TRENI BANDARINI.
Hilo halijapata kutokea popote duniani zaidi ya hapa kwetu tena awamu ya tano
Inawezekana hivyo vichwa vya treni vilisombwa na mawimbi kutoka ujerumani hadi bandarisalama. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Magufuli akiwa Mkutano wa SADC

 
The bitter truth is that " Magufuli will lead the country for next 5 years"

Hizi ngonjera zenu Ni katika kujifurahisha tu, pia Lissu hafai hata kidogo kupewa madaraka ya urais!
 
The bitter truth is that " Magufuli will lead the country for next 5 years"

Hizi ngonjera zenu Ni katika kujifurahisha tu, pia Lissu hafai hata kidogo kupewa madaraka ya urais!
Hata miaka 20 anaweza kuongoza tu haina shida, ila mwaka huu ni Lissu
photo%20266%2012-18-0.jpeg
 
Kuna habari kuwa utaandaliwa mdahalo kabambe kuwakutanisha wagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Ingawa mpaka sasa hajajulikana nani atakuwa muandazi lakini tunategemea kumfahamu mapema iwezekenavyo.

Wakati tunasubiri jambo hilo jema thread hii itakuwa special kwa mikusanyiko ya hotuba mbali mbali walizo wahi kutoa wagombea mahali mbali mbali mgano Bungeni, majukwaani au kwenye mikutano ya ndani.

Hii itatusaidia kuwapima uwezo wao wa kujieleza, umakini na hulka zao kwa ujumla. Unapokuwa Rais tayari wewe ni public property hivyo wanao kumiliki (wananchi) lazima wakuelewe.

Naanza kumuwela Tundu Lissu mgombea wa Chadema akiwa Bungeni.


Mmoja hawezi midahalo hawezi jibu hoja yeyeto siriasi,ataishia kuwasingizia mabeberu hata Mambo ya kisera
 
Wewe utamuogopa mtu mrefu unategemea nilini atakuwa mfupi? Hapa ni jino kwa jino tu anaye shinda ashinde kihalali na anaye shindwa ashindwe kihalali
Hii ndio namna ya kudili nao
 
Back
Top Bottom