Kipindi cha ukoloni, mkoloni hakupenda kabisa kuona watu wenye akili wakihoji. Kama Afrika isingekuwa na watu wenye kuhoji mpaka leo tusingekuwa tumejipatia uhuru.sehemu nyengine hawakupata uhuru kwa mtutu wa bunduki bali kwa hoja tu. TAIFA lenye watu wa kuhoji mana yake liko hai na linaonyesha kuwa linatoa high quality education siyo taifa mbumbumbu.Taifa la namna hiyo haliwezi kuvamiwa kiurahisi.
Kwa kunyamazisha maoni ya watu mbali mbali tunazamisha elimu yetu na kuhatarisha uhai wa taifa letu kwa sababu watoto wetu mashuleni hawatakuua na uwezo au kuona umuhimu wa kuwaza kwa undani zaidi juu ya maswala muhimu ya darasani hata ya kitaifa.yani no need of critical thinking.
TUNAJIHUJUMU WENYEWE na hatuwezi kuendelea kuiwa na nuchumi wa kati au kupanda zaidi kwenda kuwa nchi tajiri ulimwenguni.Ndiyo maana mimi binafsi nilipoona hayati JPM amejitahidi kuchagua viongozi wasomi niliona ni njia mojawapo ya kuipa value elimu yetu.Na napendekeza hapo badaye kama tukipata katiba mpya,mbunge angalau awe na degree ili akienda bungeni atunge sheria kwa kutumia critical thinking na siyo ndiyo mzee.
Tujenge utamaduni wa kujibu hoja zinapotolewa.iwe mojawapoa ya job decription katika maofisi yetu.ukishamjibu mtoa hoja anayo wajibu wa kukubari majibu au kukataa lakini mwisho wa siku watu wataweza kupima pande zote mbili kuwa huyu kajibu vizuri au huyu anayekataa majibu ni mkolofi tuu.LABDA JESHINI NDIYO TWAWEZA KUITIKA NDIYO AFANDE ,lakini sehemu nyengine tuwaache watu waseme na tuwajibu Kwa ufasaha.
Tuendelee kujenga taifa imara zaidi
Asanteni
Kwa kunyamazisha maoni ya watu mbali mbali tunazamisha elimu yetu na kuhatarisha uhai wa taifa letu kwa sababu watoto wetu mashuleni hawatakuua na uwezo au kuona umuhimu wa kuwaza kwa undani zaidi juu ya maswala muhimu ya darasani hata ya kitaifa.yani no need of critical thinking.
TUNAJIHUJUMU WENYEWE na hatuwezi kuendelea kuiwa na nuchumi wa kati au kupanda zaidi kwenda kuwa nchi tajiri ulimwenguni.Ndiyo maana mimi binafsi nilipoona hayati JPM amejitahidi kuchagua viongozi wasomi niliona ni njia mojawapo ya kuipa value elimu yetu.Na napendekeza hapo badaye kama tukipata katiba mpya,mbunge angalau awe na degree ili akienda bungeni atunge sheria kwa kutumia critical thinking na siyo ndiyo mzee.
Tujenge utamaduni wa kujibu hoja zinapotolewa.iwe mojawapoa ya job decription katika maofisi yetu.ukishamjibu mtoa hoja anayo wajibu wa kukubari majibu au kukataa lakini mwisho wa siku watu wataweza kupima pande zote mbili kuwa huyu kajibu vizuri au huyu anayekataa majibu ni mkolofi tuu.LABDA JESHINI NDIYO TWAWEZA KUITIKA NDIYO AFANDE ,lakini sehemu nyengine tuwaache watu waseme na tuwajibu Kwa ufasaha.
Tuendelee kujenga taifa imara zaidi
Asanteni