Kwenye jumuiya ROMAN hatupangiwi kiwango kwa kaya?Biashara iko hapo kwa hiyo kauli.Kwanini uwapangie watu sadaka kiasi flani kama siyo kusema hiyo ndiyo bei ya maji,mafuta na komuniyo? Ulishaona Wakatoliki wanapangiwa watoe kiasi flan kwanza cha pesa ili wapewe komuniyo au waumini wote huwa wanapewa na haichaguwi umetoa sadaka ama hukutoa.
Unajaribu kukwepa hoja yako ya mwanzo.Nakukumbusha umesema hivi "Mwamposa anaweza kuwaambia waumini watoe 5000 ili awape maji,mafuta au komuniyo bure" Hoja ipo hapo.Kanisa Katoliki linapangia watu kiasi cha kutoa kwa kila Jumuiya kulingana na ukubwa wa Jumuiya.Kiasi gani kila kaya itatoa itategemea na mgawanyo wa wanajumuiya walioko kwa hiyo Jumuiya.Kiwango kinachopangiwa Jumuiya kutoa siyo sadaka ya jumapili ili wapate komuniyo bali ni michango mbali mbali kulingana na uhitaji wa Kanisa mahalia.Hii ni utaratibu upo pote kwa Majimbo yote yaliyopo chini ya TEC.Kwenye jumuiya ROMAN hatupangiwi kiwango kwa kaya?
Njoo Arusha uone
Unachoita utaratibu wa kaya kupewa kiwango cha iite mchango au sadaka ni hicho hicho kilichopo kwa mwamposa.Kununua ushirika na MUNGU kwa hela.Unajaribu kukwepa hoja yako ya mwanzo.Nakukumbusha umesema hivi "Mwamposa anaweza kuwaambia waumini watoe 5000 ili awape maji,mafuta au komuniyo bure" Hoja ipo hapo.Kanisa Katoliki linapangia watu kiasi cha kutoa kwa kila Jumuiya kulingana na ukubwa wa Jumuiya.Kiasi gani kila kaya itatoa itategemea na mgawanyo wa wanajumuiya walioko kwa hiyo Jumuiya.Kiwango kinachopangiwa Jumuiya kutoa siyo sadaka ya jumapili ili wapate komuniyo bali ni michango mbali mbali kulingana na uhitaji wa Kanisa mahalia.Hii ni utaratibu upo pote kwa Majimbo yote yaliyopo chini ya TEC.
Hajakataza hilo mbona.......sio kila muumini atakumbuka au atataka kubeba maji kutoka nyumbani hivyo kawasogezea tu huduma.Sio chuki ndugu
Anachokifanya kinaonekana kiko kibiashara....awaambe watu waje na maji yao ayaombee warudi nayo makwao.
Vinginevyo inakuwa biashara alipe kodi ikiwa sheria itamwi giza kwenye wigo.
Mapadre , masister, wachungaji walipe Kodi za PAYE
Kwa Kanisa Katoliki,je yule ambae hajatoa kabisa atanyimwa komunio? Na kwa Mwamposa yule ambae hajatoa hiyo 5,000 atapewa maji hata kama anayahitaji?Unachoita utaratibu wa kaya kupewa kiwango cha iite mchango au sadaka ni hicho hicho kilichopo kwa mwamposa.Kununua ushirika na MUNGU kwa hela.
Mwamposa anasema toeni 5,000 kusaidia kuendesha huduma..atawapa maji
Askofu, Ruwaichi atasema toeni 20,000 kila kaya kuendesha kanisa..atawapa komunyoo.
Na pale posta kuna TRA kuna siku niliagiza USB moja tu ya Elfu 10 wakataka kunitoza kodiHoja iko hivi?
Kodi hutozwa kwenye mambo matatu tu yaan, business, investment, employment. Chochote nje ya hapo hakitozeki Kodi (out of scope)
Sasa unatakiwa uje na sheria itakayosema na iwe strictly construed ili inmase mwamposa.
No intendment in tax laws, words must clearly be stated.
SASA EBU NISAIDIE HIYO SHERIA ITAKAAKAJE KIASI KWAMBA SADAKA AU MICHANGO kanisan itofautishe na mambo ya mwamposa?
Utaishia kutunga sheria mfu kwan haitaweza kufanya kazi.
Inatakiwa hivi unapowashtaki mwamposas useme ni kivipi arrangement ya transactions zake za maji na mafuta namna ambavyo fall within tax laws na sio kihisia.
Sasa mwamposa si atasena toeni sadaka nitawagawia maji MUNGU alioniruhusu niwagawie...
Wale wa 5,000 watapewa maji , chin ya hapo hatawapo ...hajairuka sheria yeyote
Akiona mnampelekesha" anaamua kuwagea bule walio toa sadaka! Mtamfanyeje?
Yule ambaye hajatoa michango, sadaka ya jumuiya hatanyimwa komunyoo.Kwa Kanisa Katoliki,je yule ambae hajatoa kabisa atanyimwa komunio? Na kwa Mwamposa yule ambae hajatoa hiyo 5,000 atapewa maji hata kama anayahitaji?
Hakuna namna sheria inakwenda kuwa exclude lazima walipe kodi...no way!!Kafungue na wewe uuze na utoe kodi kama ni rahisi. Kuwa weka watu na kuwa na furaha ya moyon ni zaid ya kodi
Kodi inatozwa kwa sheria, ikiwa Sheria iliyotumika haikuwa sahihi unakata rufaa huko TRAB/TRA kwa Mwigulu mpaka Court of Appeal.Na pale posta kuna TRA kuna siku niliagiza USB moja tu ya Elfu 10 wakataka kunitoza kodi
Nikaagiza Dongle ya kuflashia simu kwa 120k wakanipiga kodi 60k
Hili nalo unalizungumziaje???
Sijawahi kuona mtoto amenyimwa kubatizwa kisa Mzazi hajatoa michango.Siku ya Boxing day Jimbo letu limebatiza watoto wadogo na haikujalisha umetoa michango ama la.Wewe unachanganya hapa kati ya kuhudhuria kwenye Jumuiya na kutoa michango,ni vitu viwili tofauti kabisa.Kuna waumini ni wahudhuriaji wazuri tu wa Jumuiya lakini hawana uwezo na wanajumuiya wanawafahamu vizuri na hupewa huduma zote za Kikanisa wanapokuwa na uhitaji.Yule ambaye hajatoa michango, sadaka ya jumuiya hatanyimwa komunyoo.
Atanyimwa kubatizwa mtoto, komunyoo ya Kwanza na kipaimara kwa mtoto, huduma ya mazishi kwa kufika padri, kufangashiwa ndoa kama hawajafunga.
Kwa mwamposa: Asiyetoa 5000 hatanyimwa maombezi na kusali.
Atanyimwa maji
Njoo Arusha,Sijawahi kuona mtoto amenyimwa kubatizwa kisa Mzazi hajatoa michango.Siku ya Boxing day Jimbo letu limebatiza watoto wadogo na haikujalisha umetoa michango ama la.Wewe unachanganya hapa kati ya kuhudhuria kwenye Jumuiya na kutoa michango,ni vitu viwili tofauti kabisa.Kuna waumini ni wahudhuriaji wazuri tu wa Jumuiya lakini hawana uwezo na wanajumuiya wanawafahamu vizuri na hupewa huduma zote za Kikanisa wanapokuwa na uhitaji.
Woote mwamposa , Catholics ni wafanya biashara wanaotumia mifumo, call them modalities tofauti.Sijawahi kuona mtoto amenyimwa kubatizwa kisa Mzazi hajatoa michango.Siku ya Boxing day Jimbo letu limebatiza watoto wadogo na haikujalisha umetoa michango ama la.Wewe unachanganya hapa kati ya kuhudhuria kwenye Jumuiya na kutoa michango,ni vitu viwili tofauti kabisa.Kuna waumini ni wahudhuriaji wazuri tu wa Jumuiya lakini hawana uwezo na wanajumuiya wanawafahamu vizuri na hupewa huduma zote za Kikanisa wanapokuwa na uhitaji.
Basi Jimbo la Arusha naona lipo juu ya TECNjoo Arusha,
Nashukuru kufahamu kuwa naongea na mkatoliki mwenzangu, muundo wa kanisa katoliki ni tofauti na hayo madhehebu mengine ya kiprotestanti.Ndugu mim mwenyewe ni mkatoliki charismatic.
Napinga uuzwaji wa nguvu za MUNGU.
NACHOELEKEZA NI UGUMU WA MODALITIES YA HIYO SHERIA UTAKAVYOKUWA
Kwa mfano schools, University zinalipa Kodi ambazo ni cooperate income tax, PAYE kwa employees wake and most of indirect taxes?
Sasa mapadre na masister wanalipishwa PAYE? Sio waajiriwa na hii taasisi ...hawana kipato ambacho ni sadaka zetu?
Hatutoi sadaka kwenye jumuiya, kanisan kwa ajili ya hawa masister na fathers? Je wenyewe sio wakaazi wa hii nchi mbona hawakatwi PAYE? Kama hawana wapatacho wanaishije, wanavaaje, wanakunywaje?wanakazi au biashara gan za ziada kuwawezesha kuishi?
Kodi inatozwa kwenye mapato ya:
1. Business
3. Employment
3. Investment
Sasa tukija kwenye tafsiri business income as per Income Tax Act (ITA) unakuta akina mwamposa and co, wako nje ya wigo wa hiyo tafsiri ( out of scope)
Kodi haitozwi kwa hisia...Kodi inatozwa kwa sheria ambazo ziko challenged mpaka kwenye court of appeals kama kuna mzozo.
Sasa wakati wa utunzi na utafsiri wa sheria ya Kodi words must strictly construed and clearly stated.nje ya hapo hiyo sheria haitafanya kazi.
SASA NIAMBIENI MODALITIES YA HIYO SHERIA ITAKAAJE KIASI KWAMBA ITAMKAMATA MWAMPOSA IACHE SADAKA ZA KAWAIDA KANISANI na Msikitini
Ulicho kiandika ni upupu hukufanya utafiti au huna uelewa wa Kodi. Mwamposa ana kiwanda chake Cha maji na mafuta ambacho kimesajiliwa na kinalipa Kodi. Ni sawa na wew kutengeneza kiwanda chako Cha mbolea Kisha kuamua Ile mbolea kuipeleka ktk mashamba yako. Serikali haiwez kuja kukudai Kodi tena kwa kuwa mbolea Ile uliyo lipia Kodi umeitumia shambani na mavuno yamestawi vizuri.Nashindwa kuelewa kwanini TRA wanashindwa kuiga kwa Ruto wa Kenya na kuongeza mapato kutoka katika wimbi hili la mitume na manabii walioanzisha biashara ya Maji, chumvi, vitambaa nk wakiviita vya upako na kupata fedha nyingi sana kama biashara isiyo kodi wala cost of production. Msome Rais Ruto alivyoamua.
"Nimeongea na watendaji wa serikali yangu kuhusu baadhi ya wahubiri kucheza na imani za wakenya. Kuanzia sasa yule anataka kuuza maji asajiliwe na mamlaka ya maji, yule anataka kuuza mafuta asajiliwe na food and drugs authority, na yule anataka kuuza mbegu asajiliwe wizara ya kilimo. Watambulike kama wafanyabiashara, na serikali ijue wanauza ngapi kwa siku na walipe kodi. Huku kwa kanisa wabaki wanaoeneza neno la Mungu, sio wafanyabiashara. Hatuwezi kuruhusu imani za wakenya kuchezewa na wakora wachache, wanaotaka kujitajirisha kupitia shida za waumini wetu" William Samoei Ruto, Rais wa Kenya.
Unaweza kulifanyia hesabu kanisa katoliki kila senti ukajua inakwenda wapi na inatumika vipi tofauti na hao kina Mwaposya na wa aina hiyo.Woote mwamposa , Catholics ni wafanya biashara wanaotumia mifumo, call them modalities tofauti.
Nimeeleza hapo juu, na hizi modules zao za biashara ni out of our Tax laws scope
Nakuunga mkono!Nashukuru kufahamu kuwa naongea na mkatoliki mwenzangu, muundo wa kanisa katoliki ni tofauti na hayo madhehebu mengine ya kiprotestanti.
Upadre ni wito ndio maana siku ya upadrisho wanalala chini pale kanisani wakitafakari juu ya maamuzi yao watakayoyaishi maisha yao yote yanayobakia ni tofauti na hao maaskofu ambao hata elimu zao wamezipatia wapi haijulikani.
Maaskofu hao wanafaidika na jamii iliyo desperate katika kupiga pesa ndefu, wanaambiwa wakung'ute kabisa mifuko yao kabla hawajaondoka.
Kero ni kwamba wao wanaondoka kwa miguu kurudi makwao wakati maaskofu hao wa kisasa wanaondoka na magari yao ya bei mbaya kurudi makwao tena wameyanunua kwa pesa hizo hizo za waumini.
Maisha ya mapadre kwa ujumla wao yanatokana na sadaka zetu hivyo hawana jeuri ya kuishi kifalme wakiwa chini ya umiliki wa parokia wanazofanyia kazi.
Kagame na Ruto wapo very right kutetea mamilioni ya raia wanaofanywa watumwa wa biashara yenye jina la Mungu, wanachofanya ni sawa kabisa wakiwatetea raia wao walio mateka ya wafanyabiashara wa dini wa miaka ya sasa.