mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mwizi tu tPeli huyoPunguzeni chuki na wivu dhidi ya mtume Mwamposa...
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwizi tu tPeli huyoPunguzeni chuki na wivu dhidi ya mtume Mwamposa...
Wakatoliki pesa zinajulikana zinaenda wapi na zinafanya nini!Unaweza kulifanyia hesabu kanisa katoliki kila senti ukajua inakwenda wapi na inatumika vipi tofauti na hao kina Mwaposya na wa aina hiyo.
Ipo nidhamu ya uendeshaji wa kanisa katoliki ambayo haipo katika makanisa hayo mengine.
Acha Ujinga wew hizo pesa unazosema unazijua za wakatoliki zinavyo tumika pia kwa wengine wanaona ni utapeli tuu. Jali Imani yako usidhihaki Imani za wengine. Ajidhaniae amesimama na aangalie asije akaanguka.Wakatoliki pesa zinajulikana zinaenda wapi na zinafanya nini!
Matokeo na tunayaona,ila hawa matapeli wakina mwaposa na wengineo pesa zao wanafanyia mambo yao binafsi tu kama kujenga majumba yao kuishi na mahoteli na kununua magari ya kifahari
Ova
Hawa ni MATAPELI wa Injili WA kawaida na wanawala wajingaYanauzwa tena bei mara hamsini ya bei ya kawaida hawa watu ni wabaya sana
Kodi inatozwa kwenye mapato ya:
1. Business
3. Employment
3. Investment
Sasa tukija kwenye tafsiri business income as per Income Tax Act (ITA) unakuta akina mwamposa and co, wako nje ya wigo wa hiyo tafsiri ( out of scope)
Kodi haitozwi kwa hisia...Kodi inatozwa kwa sheria ambazo ziko challenged mpaka kwenye court of appeals kama kuna mzozo.
Sasa wakati wa utunzi na utafsiri wa sheria ya Kodi words must strictly construed and clearly stated.nje ya hapo hiyo sheria haitafanya kazi.
SASA NIAMBIENI MODALITIES YA HIYO SHERIA ITAKAAJE KIASI KWAMBA ITAMKAMATA MWAMPOSA IACHE SADAKA ZA KAWAIDA KANISANI na Msikitini
Uko sahihiWew una uhakika kuwa kiwanda hicho hakilipi Kodi au nabwabwaja tuu maneno?
Hapa hakiongelewi kiwanda kinacho jadiliwa ni Yale maji yakisha fika kanisani baada ya kuwa yamesha lipiwa Kodi kiwandani ndipo watu wanataka waumini wakiyachukua Kodi ilipwe tena.
Ni sawa na wew muumini umeamua kupeleka vitu vyako kanisani ili vinadiwe kwajili ya kusaidia huduma halafu anatokea kibwetele fulani anataka ulipe Kodi baaada ya mnada.
Tueleze huwa pesa za katoliki zinaenda wapi kufanya nini sababu shule zao hata wakatoliki.wa kawaida hawawezi kupeleka watoto huko kusomaWakatoliki pesa zinajulikana zinaenda wapi na zinafanya nini!
Ukisoma huelewi, biashara yeyote lazma ikidhi tafsiri ya biashara kwa mujibu wa ITA.Hujui kitu wewe, hakuna mahali kwenye income tax act wamesamehe biashara zinazoendeshwa makanisani. Soma second schedule. Ni sadaka tu ndizo zimesamehewa kutozwa kodi.
Mauzo ya maji na mafuta is pure business which generates taxable income. Due to its magnitude,VAT, excise duty and income tax should be charged retrospectively.
This is happening in Tanzania because of slumberous TRA.
Mkuu kwani ni lazima kila dhehebu lifuate sheria za Wakatoliki?Kwa Kanisa Katoliki,je yule ambae hajatoa kabisa atanyimwa komunio? Na kwa Mwamposa yule ambae hajatoa hiyo 5,000 atapewa maji hata kama anayahitaji?
Ukisoma huelewi, biashara yeyote lazma ikidhi tafsiri ya biashara kwa mujibu wa ITA.
Wewe ndiye unayeiita biashara kile kinachofanywa na mwamposa , ila haijakidhi matakwa ya ITA as per business definition.
Sasa biashara za kanisa zozote zinacharjiwa Kodi, mfano mashule, frem za biashara
Ila sio sadaka, michango ya kuchangia huduma kama kwenye jumuiya na mwamposa.
Ukisoma huelewi, biashara yeyote lazma ikidhi tafsiri ya biashara kwa mujibu wa ITA.
Wewe ndiye unayeiita biashara kile kinachofanywa na mwamposa , ila haijakidhi matakwa ya ITA as per business definition.
Sasa biashara za kanisa zozote zinacharjiwa Kodi, mfano mashule, frem za biashara
Ila sio sadaka, michango ya kuchangia huduma kama kwenye jumuiya na mwamposa.
Mi nawashangaa sn, hivi maji ni yake? Maana ni ya kampuni yyt Ile,na yanauzwa bei ileile ambayo tunanunua kwenye hayo makampuni,ss hapo kauza vipi? Maana anachofanya ni kuchukua kule kuyaombea na watu wanachukua Kwa bei ileile!MWAMPOSA ANAUZA MAJI MENGI SANA ZAIDI YA KIWANDA CHA MAJI LAKINI HALIPI KODI VIVYO HIVYO NA MAFUTA
Mi nawashangaa sn, hivi maji ni yake? Maana ni ya kampuni yyt Ile,na yanauzwa bei ileile ambayo tunanunua kwenye hayo makampuni,ss hapo kauza vipi? Maana anachofanya ni kuchukuakule kuyaomvea na watu wanamchukua Kwa bei ileile!
Au unaenda na maji yako yanaomvewa!
Angekuwa na kuwanda hapo kwelii
Wacheni kupotosha ili kumlinda huyo jamaa yenu.Uko sahihi
Mikungu ya mavuno na vinavyonadiwa siiu za mavuno zinatakiwa kulipiwa kodi kama lengo lao ni kukomalia Mwamposya
Makanisa mengi huuza vitu kwa bei tishio siku za mavuno huvuna mamilioni hizo za Mwamposya nu ndogo
Unakuta mbuzi mmoja siku ya mavuno ananunuliwa miiioni tano
TRA waende huko pia kama ni hivyo
Rozali,misalaba,mvinyo vinagawiwa bure?Sacraments ni tofauti na huo utapeli wa wachungaji feki, huuziwi sacrament kanisani unainunua kwa kutoa sadaka mbalimbali. Mapadre wanaishi kwa sadaka zetu za kila misa.
Padre akitaka kununua laptop au kifaa chochote anayo haki ya kuwaambia waumini na wakamnunulia ndio maisha ya useja hayo.
Tofauti na haya makanisa yanayotumia ujinga na ufukara wa waumini katika kutajirisha wachache.
Ni kanisa katoliki lina nidhamu ya uendeshaji na usimamiaji wa kila kinachofanyika huwezi kulinganisha na hayo makanisa ambayo ni mali za watu binafsi.
Achana na habari za kusikia mkuu,Fanya utafiti upate ukweli maji pale yanauzwa shs 1000 tu,zingine ni stori zisizo na ukweliYEHODAYA hebu ngoja kidogo, viwanda vya maji vinalipa kodi kama kawaida na yeye ananunua huko.
Lakini kifuatacho naye anauza nasikia yale maji ya elfu moja anauza elfu 5 mpaka 10. That's where tunasema faida hiyo iwe taxed.
Tupo pamoja mkuu? Hata maduka yetu ya mtaani faida yao ya kuuza maji inatozwa kodi.
Naunga mkono hojaNashindwa kuelewa kwanini TRA wanashindwa kuiga kwa Ruto wa Kenya na kuongeza mapato kutoka katika wimbi hili la mitume na manabii walioanzisha biashara ya Maji, chumvi, vitambaa nk wakiviita vya upako na kupata fedha nyingi sana kama biashara isiyo kodi wala cost of production. Msome Rais Ruto alivyoamua.
"Nimeongea na watendaji wa serikali yangu kuhusu baadhi ya wahubiri kucheza na imani za wakenya. Kuanzia sasa yule anataka kuuza maji asajiliwe na mamlaka ya maji, yule anataka kuuza mafuta asajiliwe na food and drugs authority, na yule anataka kuuza mbegu asajiliwe wizara ya kilimo. Watambulike kama wafanyabiashara, na serikali ijue wanauza ngapi kwa siku na walipe kodi. Huku kwa kanisa wabaki wanaoeneza neno la Mungu, sio wafanyabiashara. Hatuwezi kuruhusu imani za wakenya kuchezewa na wakora wachache, wanaotaka kujitajirisha kupitia shida za waumini wetu" William Samoei Ruto, Rais wa Kenya.