Tukifanya hivi umaskini basi.

Tukifanya hivi umaskini basi.

Buhaya boy

Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
88
Reaction score
16
Wanajamvi polen na majukumu ya ujenzi wa Taifa.Mimi ninaomba wajasiliamali tushirikiane kwa sisi wenyewe kuuziana bidhaa zetu mf:mimi ni mtengenezaji wa batiki nahitaji vitambaa vya pamba,rang za batik(dye),vibao vya urembo n.k .Hivyo basi kwa washonaji na wauzaji wa Vitambaa mkipenda pia mnaweza kunichangia .Tuamke tuchangiane wana jamvi kabla ya kwenda kwenye jamii.PAMOJA TUNAWEZA.
 
honger mkuu, mie nina vitabu vya audio books pamoja na softcopy ya waandishi maarufu katika maswala ya uajsiliamali. upo wapi npate bidhaa yako moja nimpelekee wife zawadi
 
Wanajamvi polen na majukumu ya ujenzi wa Taifa.Mimi ninaomba wajasiliamali tushirikiane kwa sisi wenyewe kuuziana bidhaa zetu mf:mimi ni mtengenezaji wa batiki nahitaji vitambaa vya pamba,rang za batik(dye),vibao vya urembo n.k .Hivyo basi kwa washonaji na wauzaji wa Vitambaa mkipenda pia mnaweza kunichangia .Tuamke tuchangiane wana jamvi kabla ya kwenda kwenye jamii.PAMOJA TUNAWEZA.

Mjasiriamali hongera kwa hatua uliyofikia. mimi nahitaji mtu wa kunifundisha jinsi ya kutengeneza batiki za mishumaa, mikunjo ya vikoi na tie and dye.Napatikana mikoani ila nimepanga kuja dar kwaajili hiyo. niambie naweza kuja kujifunza kwako. elimu ni gharama niko tayari kulipia gharama za mafunzo
 
Wanajamvi polen na majukumu ya ujenzi wa Taifa.Mimi ninaomba wajasiliamali tushirikiane kwa sisi wenyewe kuuziana bidhaa zetu mf:mimi ni mtengenezaji wa batiki nahitaji vitambaa vya pamba,rang za batik(dye),vibao vya urembo n.k .Hivyo basi kwa washonaji na wauzaji wa Vitambaa mkipenda pia mnaweza kunichangia .Tuamke tuchangiane wana jamvi kabla ya kwenda kwenye jamii.PAMOJA TUNAWEZA.

mimi ndo nataka kujikita kwenye soko la batiki, Tie and dye na vikoi na nipo kwenye mchakato wa masoko hivyo kama unaweza uniandikie PM unipe detail ya bei za jumla za hizo bidhaa zako then niangalie huku nilipo kama naweza kuuza
nami mkapata faida then ntakuwa mteja.
 
Hongera mleta mada!
Nami nasupply mafuta ya alizeti toka singida na Iringa wakuu!
 
Wazo zuri mkuu,mie nnasupply mbogamboga na matunda.
 
Mjasiriamali hongera kwa hatua uliyofikia. mimi nahitaji mtu wa kunifundisha jinsi ya kutengeneza batiki za mishumaa, mikunjo ya vikoi na tie and dye.Napatikana mikoani ila nimepanga kuja dar kwaajili hiyo. niambie naweza kuja kujifunza kwako. elimu ni gharama niko tayari kulipia gharama za mafunzo

Yaa,nadhan No.ya cm nshaweka ila vyema ukaweka upo wapi kwan mimi nasafiri SHY,KAHAMA,GEITA naweza kukufundisha ulipo na ungetafuta na wenzako mkiwa tayari waweza nijulisha.Ni hayo tu,Thanks alot.
 
Nipo tayari kuja na kila kitu kumfundisha yeyote alipo ila ni vyema muwe kundi.0717539573 Email:stanslausd@yahoo.com.
 
Kwako wewe wa matunda na mboga nadhan ulichelewa kama upo Dar chukua No. zetu nauliza tunataka kias gan, kwan huduma yako ni muhmu sana kwa binadamu yeyote.
 
Mi Ninachoya/ Rozela Natafuta Soko Nipo Singida, Alafu Wa Batiki Nipe Bei Zako Ili Nipate Chache Nisupply Huku Kwetu
 
Mi Ninachoya/ Rozela Natafuta Soko Nipo Singida, Alafu Wa Batiki Nipe Bei Zako Ili Nipate Chache Nisupply Huku Kwetu

mkuu kama ''upo on touch now'' nipo safarin kutoka DSM na ndo tunaitafuta singida plz call 0717539573 nikuachie mzigo hapo ukishidwa sasa nitafute ntakuwa kahama tupange.
 
Back
Top Bottom