MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Tangu ujio wa huyu Kocha Robertinho Simba kiwango chake kinazidi kwenda chini.
Tukumbuke Kocha wetu Mgunda hatukufungwa mechi yoyote kwenye kampeni ya kuingia makundi ligi ya mabingwa Afrika.
Tulimuua kule kule kwao Nyasa big bullets,
Na tukamuua tena team kubwa kule Angola akiwa nyumbani kwake na wakeze.
Huyu Mwamba Robertinho mpaka Leo hatujui mpira Simba inaoucheza, hakuna formation, hakuna mipango, viwango vya wachezaji havikui?
Laiti tungempa uvumilivu na Imani kwa Kocha wetu mzawa basi tungekuwa vizuri kuliko tulivyo Leo.
Tukifungwa haondoke
Tukumbuke Kocha wetu Mgunda hatukufungwa mechi yoyote kwenye kampeni ya kuingia makundi ligi ya mabingwa Afrika.
Tulimuua kule kule kwao Nyasa big bullets,
Na tukamuua tena team kubwa kule Angola akiwa nyumbani kwake na wakeze.
Huyu Mwamba Robertinho mpaka Leo hatujui mpira Simba inaoucheza, hakuna formation, hakuna mipango, viwango vya wachezaji havikui?
Laiti tungempa uvumilivu na Imani kwa Kocha wetu mzawa basi tungekuwa vizuri kuliko tulivyo Leo.
Tukifungwa haondoke