MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #41
Tangu lini ukaona mtu akifukuzwa na kuelekezwa sehemu ya kwenda kama hana uraia wa hiyo nchi? Yeye ndo aseme kwa nini alikuja huko,
Mwengine huyu mumeanza kumzushia pamoja na kwamba babu yake alihusika kwenye harakati za uhuru wenu