tukikosa ubingwa tutasingizia jiesiem

tukikosa ubingwa tutasingizia jiesiem

kilwakivinje

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
6,184
Reaction score
9,407
Simba tukikosa ubingwa viongozi Wana kichaka Cha kujificha. Na tulivyo mapanganga viongozi watatuaminisha huu ujinga nasi tutaamini.

Kuna namna viongozi wetu wanatudharau sana na kutuona hamnazo. Ifike muda watuachie timu yetu
 
Simba tukikosa ubingwa viongozi Wana kichaka Cha kujificha. Na tulivyo mapanganga viongozi watatuaminisha huu ujinga nasi tutaamini.

Kuna namna viongozi wetu wanatudharau sana na kutuona hamnazo. Ifike muda watuachie timu yetu
Wakuachie timu ww kama nan???
 
Tukikosa ubingwa tutasingizia viporo vya mnyama
 
Hivi yule kibu anatofauti gani na nyumbu?!...miguvu purukushani kibao lakini akili kichwani hakuna...anawakosti sana kolobwanji
 
Hata tarehe 8 wakifungwa, watamsingizia GSM kudhamini timu 8 za ligi kuu.
 
Back
Top Bottom