Tukikubaliana na dhana za kuikejeli elimu kisa Profesa Muhongo kakejeliwa tutapotea kama Taifa

Umenikumbusha Marehemu Profesa Chachage.
 
Alichokisema msukuma yupo sahihi kabisa maana tunao ma professor uchwara..
Imagine mtu kama ndalichako et nae professor
 
Kama professor kazingua acha aambiwe ukweli mda mwingine wasomi tuliowasomesha kwa kodi zetu hutugeuka Watanzania kwa maslahi yao binafsi huku rasilimali zetu zikiporwa na Mabeberu.
Hilo ni jambo tofauti, mheshimiwa. Elewa mada. Musukuma, darasa la 7, ndiye hawezi hata kuelewa jinsi ya kupambana na mabeberu. Rais Magufuli alipounda zile timu 2 za madini hakuweka hata mtu 1 anayefanana na Musukuma au Kibajaji. Wote ni wasomi wanaoelewa madini, uchumi, sheria, negotiation, na mifumo ya kodi. Mada ndiyo hiyo; tunawahitaji akina Muhongo kwa kuielewa dunia ya sasa. Ila mimi nawakubali akina Musukuma kwa kutukumbusha tulikotoka zamani na kutuchekesha
 
kosa ni pale elimu inapochanganywa na siasa, hawa wasomi wamekubali kutumika na hao wanasiasa inafika wakati wanaupindisha ukweli ili kuwafurahisha wasiosoma sasa nyakat zinafika wanarudi ktk uelewa wao hao wanasiasa wanajikuta hawana ufahamu wa kinachozungumzwa na wasomi,waache washambuliane sasa wenyew kwa wenyew
 
Hizi dharau hazijanzia kwa hao darasa la Saba, dharau zimeanzia kwa Wasomi wenyewe kwa kutoheshimiana wao kwa wao..,
Alichokisema Msukuma ni mwendelezo tu..,
Wasomi ndio wanawadharau sana wa darasa la saba- Mh. Musukuma anajikinga tu na kipigo
 
Alichokisema msukuma yupo sahihi kabisa maana tunao ma professor uchwara..
Imagine mtu kama ndalichako et nae professor
Wewe na Musukuma tuonyesheni kuwa katika michango ya uboreshaji wa maendeleo ya kisasa wale sio maprofesa bali ninyi.
 
Wakati mwingine wasomi wanajidhalilisha wenyewe kwa kujipendekeza kwa Wanasiasa ili wapate vyeo na mali. Hapangekuwa na haja ya professor yule kujiita takataka wala kusema marehemu Magufuli alimwokota jalalani. Ni kujidhalilisha na kudhalilisha elimu yake. Wajinga kama Msukuma (ujinga sio tusi! ni mtu asiye na elimu) wanapata uhalali wa kuwatukana. Unaona proffesor yule kwa hofu na kutojiamini akamwita marehemu yule, "Mheshimiwa Mungu.....!) Ngoja wanyanyaswe na wajinga wa darasa la saba.
 
Well said my friend!!!!

Kwakweli kitu kinachoendelea kwa Mbunge Msukuma na Lusinde kuhusu Ma-Professor na ma-Doctor sio sahihi, it is very unethical kwa wabunge kama kutoa lugha za dharau kwa wao kama wabunge.

Kinachoonekana ni kama vile wana personal jealous dhidi ya hao wasomi kwa kiasi cha kutumia lugha chafu na matusi dhidi ya hao wasomi. Inaonekana wana lao jambo nyuma ya carpet kitu ambacho sio kizuri kwa ustawi wa bunge lenyewe na Taifa kwa ujumla. Namshauli Spika Ndugai kuwa makini na kauli zinazotolewa na Msukuma na Lusinde la sivyo itaonekana wewe Spika Ndugai ndie unaewatuma kutoa lugha za hovyo hapo bungeni bila staha yoyote.

Cha ajabu alichoongea Prof. Muhongo ni kipi?? Yeye kama msomi alitoa ushauli wake kuhusu project ya Nyerere Hidro Electric Power ambapo Msukuma na Lusinde wngekuja na hoja thabiti za kumpinga Prof. Mungo kitaalamu na sio kuleta lugha za dharau na kihuni kuhusu wasomi wetu. Dr. Kimei kajitahidi kulikemea hilo lakini wewe Spika Ndugai umemu-ignore Dr. Kemei na bapo nachelea kuamini kuwa wewe Spika Ndugai ndie unaewatuma akina Msukuma kuharibu na kuchafua utu wa watu.

Naomba Msukuma na Lusinde wasitumie kutokwenda wao shule iwe ndo defensive mechanism ya kuwachafua wenzao, this is completely hopeless kabisa!!

Ikumbukwe kwamba, watu kama akina Muhongo wametoa mchango mkubwa sana kwa Taifa hili ikiwa ni pamoja na huko duniani kwa fani aliyonayo.

Niwakumbushe tu kuwa nafasi ya Ubungo ni Uongozi!!!. Na Uongozi ni pamoja na nidhamu na kuvumiliana!!

Asante!!!
 
Kama professor kazingua acha aambiwe ukweli mda mwingine wasomi tuliowasomesha kwa kodi zetu hutugeuka Watanzania kwa maslahi yao binafsi huku rasilimali zetu zikiporwa na Mabeberu.


Badala ya chadema sasa kambi rasmi ya upinzani bungeni mnawaona ni kina nani??
WASOMI !

Akina Assad
Akina Muhongo
Akina Kichere
Etc
 
Maadui wakuu wa taifa:
(1) Ujinga
(2)Umasikini na
(3)Maradhi.
Adui namba moja hapo juu ndo anamsibu Mh. Msukuma. Pia hakana staha kale kajamaa ni ka kupuuza tu.
Ndivo wasukuma walivo🙈🙈🙈
 
Gas ya Mtwara siyo yakwetu bado turudie huu upuuzi tukimaliza umeme wa maji tutaenda kwenye gas tena kwa pesa zetu za ndani.
Ndo walichokueleza na ukaamini... USISAHAU HAO HAO WALIKUELEZA NDEGE ZETU MWAKA 2018 ZILITENGENEZA FAIDA NA WENGINE WAKAMWAGA NA MAGAWIO SERIKALINI...
 
 
Yeye anapoona Kila siku Joni anabeba daftari kwenda kuchukua hesabu za mabasi take anafikiri wote duniani wanafanya Kama yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…