joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Wapo busy kuchambua mechi ya Yanga. Mnacheza na timu ambayo mnatakiwa muwe very accurate, sio mnpata nafasi tatu kama juzi unakosa, wale jamaa nilivyo watozama na Vipers, wapo very accurate wanaweza kumaliza mechi hata ndani ya dk 5.
Kama wameweza kucheza bila mashabiki na wakapata matokeo basi hata hapa haijalishi mtaujaza vip uwanja sizani kama mtawatoa mchezoni.
Kama wameweza kucheza bila mashabiki na wakapata matokeo basi hata hapa haijalishi mtaujaza vip uwanja sizani kama mtawatoa mchezoni.