Tukilinganisha Wasira na Heche! Ni Mbingu na Ardhi

Tukilinganisha Wasira na Heche! Ni Mbingu na Ardhi

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Baada ya wazee wenye maono kama Pinda na Mama Makinda kukataa kazi ambayo itafanya historia yao iharibike ya kuwa makamu wa CCM kwenye chama ambacho kwa sasa kinategemea Polisi na usalama kushinda. CCM imemchagua mzee wasira mwenye miaka 80 na anasahau mpaka wajukuu zake majina. Kwa ufupi wamechagua dodo tu ambalo linaweza kuongea.

Chadema wana Lissu na Heche. Heche ambaye naye katokea hukohuko kwa wasira ni kijana anaye elewa maisha ya wenzake. Sasa nchi ambayo umri wa kati ni miaka 17.5 wanatuletea mzee wa 80😂😂🤮 halafu tunashangilia

Hii inaonyesha CCM ukitoa kupewa mabilioni ya pesa za serikali hakuna ubunifu mpya

Heche kazaliwa wakati Wasira ni mkuu wa mkoa🤦🏾‍♂️
 
Kadiri Hii hoja ya kwamba eti makinda na Pinda wamekataa uteuzi inavyotaka kulazimishwa na hawa nyumbu wa lissu au mbowe, ndivyo ninavyozidi kujiuliza, "hivi wazima hawa au siyo riziki?" Maana siwaelewi, huu upumbavu wao si wa Dunia hii.
 
Kadiri Hii hoja ya kwamba eti makinda na Pinda wamekataa uteuzi inavyotaka kulazimishwa na hawa nyumbu wa lissu au mbowe, ndivyo ninavyozidi kujiuliza, "hivi wazima hawa au siyo riziki?" Maana siwaelewi, huu upumbavu wao si wa Dunia hii.
Unahitaji tiba ya akili, hebu soma tena ulichoandika
 
Baada ya wazee wenye maono kama Pinda na Mama Makinda kukataa kazi ambayo itafanya historia yao iharibike ya kuwa makamu wa CCM kwenye chama ambacho kwa sasa kinategemea Polisi na usalama kushinda. CCM imemchagua mzee wasira mwenye miaka 80 na anasahau mpaka wajukuu zake majina. Kwa ufupi wamechagua dodo tu ambalo linaweza kuongea.

Chadema wana Lissu na Heche. Heche ambaye naye katokea hukohuko kwa wasira ni kijana anaye elewa maisha ya wenzake. Sasa nchi ambayo umri wa kati ni miaka 17.5 wanatuletea mzee wa 80😂😂🤮 halafu tunashangilia

Hii inaonyesha CCM ukitoa kupewa mabilioni ya pesa za serikali hakuna ubunifu mpya

Heche kazaliwa wakati Wasira ni mkuu wa mkoa🤦🏾‍♂️
 

Attachments

  • IMG-20250115-WA0008.jpg
    IMG-20250115-WA0008.jpg
    77.1 KB · Views: 4
Tetesi za CHADEMA kuwa na mgogoro mkubwa unaenda kutokea nilizisikia kwa mzee Wasira. Mzee bado yuko well informed si wa kumchukulia poa.
 
Tukilinganisha Saa100 na Lissu! Ni Mbingu na Ardhi.

CCM wanatania maisha ya watanzania na wanachezea nafasi za uongozi!
 
Baada ya wazee wenye maono kama Pinda na Mama Makinda kukataa kazi ambayo itafanya historia yao iharibike ya kuwa makamu wa CCM kwenye chama ambacho kwa sasa kinategemea Polisi na usalama kushinda. CCM imemchagua mzee wasira mwenye miaka 80 na anasahau mpaka wajukuu zake majina. Kwa ufupi wamechagua dodo tu ambalo linaweza kuongea.

Chadema wana Lissu na Heche. Heche ambaye naye katokea hukohuko kwa wasira ni kijana anaye elewa maisha ya wenzake. Sasa nchi ambayo umri wa kati ni miaka 17.5 wanatuletea mzee wa 80😂😂🤮 halafu tunashangilia

Hii inaonyesha CCM ukitoa kupewa mabilioni ya pesa za serikali hakuna ubunifu mpya

Heche kazaliwa wakati Wasira ni mkuu wa mkoa🤦🏾‍♂️
Lisu ni mbeligiji hafai kuwa mwenyekiti wa chama Chochote Cha siasa
 
Kadiri Hii hoja ya kwamba eti makinda na Pinda wamekataa uteuzi inavyotaka kulazimishwa na hawa nyumbu wa lissu au mbowe, ndivyo ninavyozidi kujiuliza, "hivi wazima hawa au siyo riziki?" Maana siwaelewi, huu upumbavu wao si wa Dunia hii.


Dr kamtibu kwanza Wasira ugojwa wa kusahau
 
Kadiri Hii hoja ya kwamba eti makinda na Pinda wamekataa uteuzi inavyotaka kulazimishwa na hawa nyumbu wa lissu au mbowe, ndivyo ninavyozidi kujiuliza, "hivi wazima hawa au siyo riziki?" Maana siwaelewi, huu upumbavu wao si wa Dunia hii.
Sio riziki...kwa msaada wa mabeberu hao
 
Baada ya wazee wenye maono kama Pinda na Mama Makinda kukataa kazi ambayo itafanya historia yao iharibike ya kuwa makamu wa CCM kwenye chama ambacho kwa sasa kinategemea Polisi na usalama kushinda. CCM imemchagua mzee wasira mwenye miaka 80 na anasahau mpaka wajukuu zake majina. Kwa ufupi wamechagua dodo tu ambalo linaweza kuongea.

Chadema wana Lissu na Heche. Heche ambaye naye katokea hukohuko kwa wasira ni kijana anaye elewa maisha ya wenzake. Sasa nchi ambayo umri wa kati ni miaka 17.5 wanatuletea mzee wa 80😂😂🤮 halafu tunashangilia

Hii inaonyesha CCM ukitoa kupewa mabilioni ya pesa za serikali hakuna ubunifu mpya

Heche kazaliwa wakati Wasira ni mkuu wa mkoa🤦🏾‍♂️
Kikweli wamechemsha
 
Back
Top Bottom