Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Yeah kumpigania msukule ni kazi kweli kweli!Nadhani wamefika mahali wakaona wanao wapigania nao hawana uelekeo.
Wameona walambe asali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah kumpigania msukule ni kazi kweli kweli!Nadhani wamefika mahali wakaona wanao wapigania nao hawana uelekeo.
Wameona walambe asali
Bado nina Imani kubwa na Chadema. Toa neno Mh. Mbowe katika hizi vurugu za "kudanganywa "mishahara, Kingai (mbambikaji wa kesi kupanda cheo) and many other hot issues!
Mkuu kuwa neutral tu kama mimi.
Wenzako wako field wewe unataka matamko ili upate cha kuandika huku mitandaoni.
Yani ni kama Chadema wanafurahi sisi wananchi tunavyopata shida ya hayo yote uliyoyataja maana shida zetu zinawasaidia wao kujijenga.
Wameamua kushinda nyumbani kwa mama sasa unataka waharibu ?
Wanalamba asali
Hawa wanalamba MatackleJe nyie wanakijani mnalamba nini[emoji848] Chumvi au[emoji846]
Wewe unalambishwa uharoChadema wanalambishwa asali
Hicho ndicho ulichobarikiwa hapo Ufipa stWewe unalambishwa uharo
Nendeni Chaltle Kaburini,..Bado nina Imani kubwa na Chadema. Toa neno Mh. Mbowe katika hizi vurugu za "kudanganywa "mishahara, Kingai (mbambikaji wa kesi kupanda cheo) and many other hot issues!
Unaacha kupambania mambo unayoyaona ya msingi ya kitaifa badala yake unapeleka nguvu Kuwapambania ambao mishahara ingeongezwa pengine kwa hata laki tu, ingekuwa hongo ya kutosha kuwanyamazisha kwenye yale ya msingi. Unafuu wa muda kwa watumishi wasofika milioni, au haki, utawala bora, maendeleo kwa wote na actual progress ya society, chaguo ni rahisi mbona?Bro kuwa makini na propaganda,CCM Wanajitahidi sana siku hizi kuonesha kuwa CHADEMA imekaa kimya kwasababu wanafaidi urais wa Samia.
Sasa ni wakati wa kudai katiba mpya kwa nguvu zote ili asije kichaa mwingine akavuruga sheria kama jiwe.
Kutokuoanda mishahara ni matokeo ya udikteta wa jiwe kwa kutokufuata sheria ya ongezeko la mshahara na kuamua kadri ya anavyoona.
Tuache CHADEMA ipambanie mambo makubwa kama KATIBA MPYA na MARIDHIANO YA KITAIFA.
Mambo ya wafanyakazi viachiwe vyama vyao sasa vifanye kazi yake na wafanyakazi wenyewe waamue kuamka.
Ustaarabu ni kutoongea Wakati wa kulamba asali kakaBado nina Imani kubwa na Chadema. Toa neno Mh. Mbowe katika hizi vurugu za "kudanganywa "mishahara, Kingai (mbambikaji wa kesi kupanda cheo) and many other hot issues!
Unajua kuwa na platform ya kusemea? Wewe platform yako Ni JF, bila JF nisingelijua kuwa Kuna jitu limejibandika jina la uongo kinaitwa ràraa reree.....Yaani mtu una changamoto zako unasubiria mtu akusemee[emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi si mfanyakazi... kwa taarifa yako...Ukiona watumishi wa umma wanaomba Msaada Hadi Kwa chadema ujue Hali ni mbaya!! Poleni sana Kwa changamoto hii mnayopitia
Nani mfanyakazi?Wafanyakazi wa Tanzania ni wajinga unasubiri chama kitoe kitamko ili iweje nendeni Kwa Barbara mkaandamane