" Funga mdomo , lamba asali "
Asilisikika akisema , Baada ya bwana yule kuondoka
Kuna faida za kutokuwa na papara katika utendaji wa baadhi ya mambo.Hakika Kauli ya Mbowe itatikisa Dunia , Vuta Subra .
Hicho ndicho ulichobarikiwa hapo Ufipa st
Wenzako walamba asali wewe unapiga miayo ya MATUSI
Ustaarabu ni kutoongea Wakati wa kulamba asali kaka
Kama akili yako inakwambia kufunga mirija ni kuua siwezi kukupinga.Kuua na kuwafunga ndio kukata mirija? CHADEMA wamepitia mengi waacheni wakae kimya. Kuna kipindi kuwa CHADEMA lilikuwa kosa la jinai.
EeeeenHeeeee!..Chadema wakitoa elimu kuhusu makodi na matozo ya serikali ya awamu ya 6.
UKO SAHIHI, WATANZANIA TU WATU WA AJABU SANA. UMESEMA KWELI TUPU! UJAMAA ULITULOGA, CAN YOU IMAGINE WATU BILIONI MOJA CHINA WANAENDSHWA KIJINGA NA MTU MMOJA.Mkuu 'Retired', umeuliza swali muhimu kweli kweli ambalo linahitaji mjadala wa maana sana kupata jibu/majibu yanayoeleweka.
Mimi nitachangia hapa kwa kuwa upande wa 'devil's advocate', kuwateyea CHADEMA; lakini kiuhalisia hapo baadae nitageuka na kuonyesha kukosa ukomavu upande wao.
CHADEMA na viongozi wake wote wamepitia katika hali ngumu sana katika miaka hii ya karibuni iliyopita. Wamefanya kila juhudi kutetea maslahi ya wananchi huku mapigo yakielekezwa kwao.
Badala ya wananchi (nina maana ya umma wa waTanzania) kuunga juhudi hizo na kuleta mabadiliko, ikawa kama CHADEMA na viongozi wao ndio wanaojitafutia maumivu bila ya sababu. Ni kama juhudi za CHADEMA zilipuuzwa na wananchi wengi. Au hawakuona maana ya kazi iliyokuwa ikifanywa na CHADEMA kwa niaba ya wananchi.
Viongozi wanapigwa risasi, wananchi kwa wingi wao kimya!
Viongozi wanawekwa ndani hovyohovyo tu, wananchi wanapuuza, hawanyooshi hata kidole!
Hebu niambie ukweli wako, ingekuwa ni wewe usingejiuliza maswali juu ya mambo kama haya? Mtu unajitoa juu maslahi ya watu wasiotambua maana ya kujitoa kwako, huwezi hata ukastuka kuna nini?
Hapa nimetiririka tu, kama kuna mahali hapakunyooka vizuri, tafadhari naomba uelewe maana yangu kuu.
Viongozi wanazushiwa kesi za ugaidi, wananchi wanacheka tu
Aya bhana lijitu linakuambia sawa endelea kumsubiria mbowe atoe kauli πππUnajua kuwa na platform ya kusemea? Wewe platform yako Ni JF, bila JF nisingelijua kuwa Kuna jitu limejibandika jina la uongo kinaitwa rΓ raa reree.....
Sasa kazi ya vyama vya upinzani ni ipiYaani mtu una changamoto zako unasubiria mtu akusemee[emoji3][emoji3][emoji3]
pOLE NDUGU, BASI NI MTUAya bhana lijitu linakuambia sawa endelea kumsubiria mbowe atoe kauli πππ
Sasa kazi ya vyama vya upinzani ni ipi
Bado tu ile ban haijakunyoosha?lumumba yamechanganyikiwa yamegeuka mchwa.
Aliipokuwa akiwatetea na kuhimiza maandamano mlijificha, na wao wamechoka kuswekwa ndaniBado nina Imani kubwa na Chadema. Toa neno Mh. Mbowe katika hizi vurugu za "kudanganywa "mishahara, Kingai (mbambikaji wa kesi kupanda cheo) and many other hot issues!
Umenena,Aliipokuwa akiwatetea na kuhimiza maandamano mlijificha, na wao wamechoka kuswekwa ndani
Sasa jiteteeni wenyewe
Hawalaumiwi kwasababu ndio waliofanya "ndivyo sivyo"..haiwezekani Ccm na serikali yake wafanye ndivyo-sivyo halafu lawama wabebe wapinzani.
Kama tunatakiwa kujitetea wao wanabaki kwa kazi ipi? Kula ruzuku?Aliipokuwa akiwatetea na kuhimiza maandamano mlijificha, na wao wamechoka kuswekwa ndani
Sasa jiteteeni wenyewe