Bora wa kwako unaingia kwa jirani. Sisi imeharibika token haziingii kabisa na hawataki kuleta mpya eti zimeisha. Tunawapigia simu wanakuja pengine baada ya siku3 wanatuwekea umeme eti ukiisha tupige simu tena waje na kimita chao. Wanakera sana yani umeme inakua kama vile fadhila wakati mi huduma/biasharaNaunga mkono hoja unakuta umeme umeisha halafu umenunua umeme kwenye simu unapewa minamba uingize na mita haina chaji unaenda kupiga hodi kwa jirani ili uingize umeme .....ni kero tupu ......
Naomba tanesco wafikirie wazo lako
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana akili zako ziko mbele sana kuliko hata uwezo wa maphd na maprofesa hakuna aliyewahi kuwaza hivyo. Ina bidi upewe nishani ya mawazo murua na uingizwe kwenye kitengo cha IT cha Tanesco. Hebu copy na kupest huu uzi kwenye kwenye special thread ya Tanesco walifanyie kaziShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya.
Tukinunua umeme wa TANESCO units ziende automatically kwenye mita ya kisasa. Tuachane na habari za kuingiza TOKEN. Is this fissible and implementable?
Hivi, wataalam wa ICT wa TANESCO hawawezi kuja na mita mpya na za kisasa za umeme ambazo zinakuwa linked na servers zao kiasi kwamba ukinunua umeme kwa njia za kutumia electronic machine kama simu ya kiganjani ama maxmalipo basi zile units zinaenda automatically ndani ya mita kama vile umelipia king'amuzi cha DSTV??? Tunaweza kuachana na haya masuala ya kuingiza TOKEN??? Is this possible to implement wakuu??
KIJANA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA.
View attachment 1038433
Mchakato wa kuingiza umeme automatically kama unavyohitaji si rahisi kama unavyofikiria maana zipo variables kibao zinazohusika hadi pale units zinapoingia ktk mita yako. Hivi unaponunua airtime token kwa ajili ya simu yako, zile credits ulizonunua je uingia moja kwa mmoja ktk simu yako bila kuzi punch in physically?Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya.
Tukinunua umeme wa TANESCO units ziende automatically kwenye mita ya kisasa. Tuachane na habari za kuingiza TOKEN. Is this fissible and implementable?
Hivi, wataalam wa ICT wa TANESCO hawawezi kuja na mita mpya na za kisasa za umeme ambazo zinakuwa linked na servers zao kiasi kwamba ukinunua umeme kwa njia za kutumia electronic machine kama simu ya kiganjani ama maxmalipo basi zile units zinaenda automatically ndani ya mita kama vile umelipia king'amuzi cha DSTV??? Tunaweza kuachana na haya masuala ya kuingiza TOKEN??? Is this possible to implement wakuu??
KIJANA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA.
View attachment 1038433
na zinafanya kazi, ila itabidi za ss zingólewe ziwekwe mpya. So wkianza wataanza na wateja wapya nyie wengine muendelee kusubiria mpaka ije phaseout.Feasible and implementable. Lakini tunasubiri mpaka huko duniani watengeneze watuleteee
PoleniBora wa kwako unaingia kwa jirani. Sisi imeharibika token haziingii kabisa na hawataki kuleta mpya eti zimeisha. Tunawapigia simu wanakuja pengine baada ya siku3 wanatuwekea umeme eti ukiisha tupige simu tena waje na kimita chao. Wanakera sana yani umeme inakua kama vile fadhila wakati mi huduma/biashara
Mkuje huku nyie bwana umeme TANESCO TANESCO
At least kuna vijana wanaowaza mambo mengine zaidi ya siasa, mpira na muziki
Kudos
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh, unaelewa ulichoandika mkuu?Kinachofanyika physical receipt itakuwepo kwa ajili ya confirmation ya transaction, ila umeme unaingia moja kwa moja.
Hivyo aliyenunua anawaonesha wenzake receipt.