Tukio gani la kimichezo hutolisahau kwa mwaka 2021?

Tukio gani la kimichezo hutolisahau kwa mwaka 2021?

Acha niweke statistics za ligi ya kwetu

1. Mayele kwenye mechi ya mbeya kwanza alihamasisha mashabiki wamshangilie katika moment ambayo hajafunga goli eti kwasababu alisababisha kona

2. Feisal kwenye mechi ya derby 11 dec alijiona CR7, sekunde kadhaa kabla ya mechi kuanza alienda kuwatupia jezi mashabiki wa uto, na wao wakapagawa as if wanagombania jezi ya messi, halafu mechi ilivyoanza feisal akafichika na mafans kibao wakawa wanamlaumu

3. Goli la kagere alilopiga kichwa cha usawa wa goti likua ni incredible ilikua sio rahisi kwa mchezaji wa kawaida kujiviringa kama properly shaft na kupiga header kama ile

4. Mayele alishika lakini penalty wakapewa yanga
 
Acha niweke statistics za ligi ya kwetu

1. Mayele kwenye mechi ya mbeya kwanza alihamasisha mashabiki wamshangilie katika moment ambayo hajafunga goli eti kwasababu alisababisha kona

2. Feisal kwenye mechi ya derby 11 dec alijiona CR7, sekunde kadhaa kabla ya mechi kuanza alienda kuwatupia jezi mashabiki wa uto, na wao wakapagawa as if wanagombania jezi ya messi, halafu mechi ilivyoanza feisal akafichika na mafans kibao wakawa wanamlaumu

3. Goli la kagere alilopiga kichwa cha usawa wa goti likua ni incredible ilikua sio rahisi kwa mchezaji wa kawaida kujiviringa kama properly shaft na kupiga header kama ile

4. Mayele alishika lakini penalty wakapewa yanga
We jamaa ni kiazi matukio yako yote hayajifichi kuhusu upande unashabikia.
 
Acha niweke statistics za ligi ya kwetu

1. Mayele kwenye mechi ya mbeya kwanza alihamasisha mashabiki wamshangilie katika moment ambayo hajafunga goli eti kwasababu alisababisha kona

2. Feisal kwenye mechi ya derby 11 dec alijiona CR7, sekunde kadhaa kabla ya mechi kuanza alienda kuwatupia jezi mashabiki wa uto, na wao wakapagawa as if wanagombania jezi ya messi, halafu mechi ilivyoanza feisal akafichika na mafans kibao wakawa wanamlaumu

3. Goli la kagere alilopiga kichwa cha usawa wa goti likua ni incredible ilikua sio rahisi kwa mchezaji wa kawaida kujiviringa kama properly shaft na kupiga header kama ile

4. Mayele alishika lakini penalty wakapewa yanga
Acha unazi
 
Lionel Messi kushinda Ballon D'or ya Saba!! The Greatest ever to brace the game...
 
We jamaa ni kiazi matukio yako yote hayajifichi kuhusu upande unashabikia.
Nawe mbona unaonesha indications za upande fulani ambao nimeuongelea negatively

Hoja uliyopaswa kuja nayo ni kunithibitishia kwamba hicho nilichokiandika nimepotosha

Nimepotosha kwamba sio kweli mayele hakuhamasisha vibe kwa mashabiki wampe kongole?

Ni uongo feisal hakuwarushia jezi mashabiki wake?

Ni uongo kagere hakupiga heading ya usawa wa goti?

Ni uongo mayele kwamba mayele alishika na penalty wakapewa yanga?
 
Acha niweke statistics za ligi ya kwetu

1. Mayele kwenye mechi ya mbeya kwanza alihamasisha mashabiki wamshangilie katika moment ambayo hajafunga goli eti kwasababu alisababisha kona

2. Feisal kwenye mechi ya derby 11 dec alijiona CR7, sekunde kadhaa kabla ya mechi kuanza alienda kuwatupia jezi mashabiki wa uto, na wao wakapagawa as if wanagombania jezi ya messi, halafu mechi ilivyoanza feisal akafichika na mafans kibao wakawa wanamlaumu

3. Goli la kagere alilopiga kichwa cha usawa wa goti likua ni incredible ilikua sio rahisi kwa mchezaji wa kawaida kujiviringa kama properly shaft na kupiga header kama ile

4. Mayele alishika lakini penalty wakapewa yanga
Umeinanga Yanga vilivyo
 
Acha niweke statistics za ligi ya kwetu

1. Mayele kwenye mechi ya mbeya kwanza alihamasisha mashabiki wamshangilie katika moment ambayo hajafunga goli eti kwasababu alisababisha kona

2. Feisal kwenye mechi ya derby 11 dec alijiona CR7, sekunde kadhaa kabla ya mechi kuanza alienda kuwatupia jezi mashabiki wa uto, na wao wakapagawa as if wanagombania jezi ya messi, halafu mechi ilivyoanza feisal akafichika na mafans kibao wakawa wanamlaumu

3. Goli la kagere alilopiga kichwa cha usawa wa goti likua ni incredible ilikua sio rahisi kwa mchezaji wa kawaida kujiviringa kama properly shaft na kupiga header kama ile

4. Mayele alishika lakini penalty wakapewa yanga
We jamaa ni kiazi kuliko makolo wote humu jamvini.
 
Acha niweke statistics za ligi ya kwetu

1. Mayele kwenye mechi ya mbeya kwanza alihamasisha mashabiki wamshangilie katika moment ambayo hajafunga goli eti kwasababu alisababisha kona

2. Feisal kwenye mechi ya derby 11 dec alijiona CR7, sekunde kadhaa kabla ya mechi kuanza alienda kuwatupia jezi mashabiki wa uto, na wao wakapagawa as if wanagombania jezi ya messi, halafu mechi ilivyoanza feisal akafichika na mafans kibao wakawa wanamlaumu

3. Goli la kagere alilopiga kichwa cha usawa wa goti likua ni incredible ilikua sio rahisi kwa mchezaji wa kawaida kujiviringa kama properly shaft na kupiga header kama ile

4. Mayele alishika lakini penalty wakapewa yanga
Kolo aka mikia wewe
 
Inshu ya emiliani Sala
Japo haikuwa this year ilihuzunisha sana
 
Back
Top Bottom