Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Lukaku kuikataa hadharani Chelsea [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenMwl kashasha. Allah amrehem
mwaka huu unatuletea mambo ya mwaka juzi?Inshu ya emiliani Sala
Japo haikuwa this year ilihuzunisha sana
Kulitokea nini?Kagera vs Simba.
Kuna tatizo darajani, nimeshangaa sana kukiri kuwa anatamani kurudi zake InterLukaku kuikataa hadharani Chelsea [emoji23][emoji23][emoji23]
Naona jamaa amevunja mkataba na InterChristian Eriksen kuanguka uwanjani(heart attack)
PAMBANA NA MKIA FC YAKO TUAcha niweke statistics za ligi ya kwetu
1. Mayele kwenye mechi ya mbeya kwanza alihamasisha mashabiki wamshangilie katika moment ambayo hajafunga goli eti kwasababu alisababisha kona
2. Feisal kwenye mechi ya derby 11 dec alijiona CR7, sekunde kadhaa kabla ya mechi kuanza alienda kuwatupia jezi mashabiki wa uto, na wao wakapagawa as if wanagombania jezi ya messi, halafu mechi ilivyoanza feisal akafichika na mafans kibao wakawa wanamlaumu
3. Goli la kagere alilopiga kichwa cha usawa wa goti likua ni incredible ilikua sio rahisi kwa mchezaji wa kawaida kujiviringa kama properly shaft na kupiga header kama ile
4. Mayele alishika lakini penalty wakapewa yanga
Umeniwahi kwa kweli Namungo waliminywa hadharani.Penalty ya Feitoto, Yanga vs Namungo!! sielewi hadi leo,je! refa alighafirika au ilikuwa nguvu ya uchumi wa Kati!!
ndo umenunua smart leo?Taifa stars kufungwa gold 3 bila na DRCONGO kwa M.kapa kufuzu Katavi W/cup