Tukio gani limekukuta la kusahau kitu ulichokuwa unataka kufanya na unakijua hadi ukajicheka mwenyewe baada ya kumbukumbu kurejea

Tukio gani limekukuta la kusahau kitu ulichokuwa unataka kufanya na unakijua hadi ukajicheka mwenyewe baada ya kumbukumbu kurejea

secretarybird

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
2,998
Reaction score
4,948
Katika maisha kuna muda akili zetu zinasahau vitu vidogo vidogo tunavyovijua ila baada ya dakika chache kumbukumbu hurudi.

Kuna stori moja nilishawahi kuisoma humu JF mtu mmoja alienda msituni kutafuta kuni na shoka lake begani lakini alipofika kule alilala kwa dakika 15, alipoamka alianza kutafuta shoka lake aina ya inkosekaz kuanzia saa 1 asubuhi hadi sa 11 jioni kumbe shoka alikuwa nalo begani, ndiyo maana kuna msemo mmoja unasema "utakiona cha mtema kuni".

Binafsi nikiwa mdogo nilitumwa dukani kununua kilo ya mchele, nilipofika nikasahau neno 'kilo' nilikaa takribani dakika 15 kulikumbuka hili neno lakini nikashindwa, nikamua kuingia dukani nikamwambia muuza duka anipe lita moja ya mchele jamaa alinielewa lakini alicheka mpaka akaanza kukohoa.

Ahlan wasahlan!
 
Katika maisha kuna muda akili zetu zinasahau vitu vidogo vidogo tunavyovijua ila baada ya dakika chache kumbukumbu hurudi.

Kuna stori moja nilishawahi kuisoma humu JF mtu mmoja alienda msituni kutafuta kuni na shoka lake begani lakini alipofika kule alilala kwa dakika 15, alipoamka alianza kutafuta shoka lake aina ya inkosekaz kuanzia saa 1 asubuhi hadi sa 11 jioni kumbe shoka alikuwa nalo begani, ndiyo maana kuna msemo mmoja unasema "utakiona cha mtema kuni".

Binafsi nikiwa mdogo nilitumwa dukani kununua kilo ya mchele, nilipofika nikasahau neno 'kilo' nilikaa takribani dakika 15 kulikumbuka hili neno lakini nikashindwa, nikamua kuingia dukani nikamwambia muuza duka anipe lita moja ya mchele jamaa alinielewa lakini alicheka mpaka akaanza kukojoa.

Ahlan wasahlan!
Balaa SANAAA
 
Katika maisha kuna muda akili zetu zinasahau vitu vidogo vidogo tunavyovijua ila baada ya dakika chache kumbukumbu hurudi.

Kuna stori moja nilishawahi kuisoma humu JF mtu mmoja alienda msituni kutafuta kuni na shoka lake begani lakini alipofika kule alilala kwa dakika 15, alipoamka alianza kutafuta shoka lake aina ya inkosekaz kuanzia saa 1 asubuhi hadi sa 11 jioni kumbe shoka alikuwa nalo begani, ndiyo maana kuna msemo mmoja unasema "utakiona cha mtema kuni".

Binafsi nikiwa mdogo nilitumwa dukani kununua kilo ya mchele, nilipofika nikasahau neno 'kilo' nilikaa takribani dakika 15 kulikumbuka hili neno lakini nikashindwa, nikamua kuingia dukani nikamwambia muuza duka anipe lita moja ya mchele jamaa alinielewa lakini alicheka mpaka akaanza kukojoa.

Ahlan wasahlan!
Screenshot_20241112-183639.jpg
 
Balaa SANAAA
Nilipokuwa form four kule Kilimanjaro tulitumwa na mwalimu kwa mama mmoja wa kichaga tulipofika mama alitupa chakula tukaanza kula, tukamaliza sahani ya Kwanza then ya pili, tulipomaliza la tatu tukahisi kumetosheka lakini tulisahau neno 'KUSHIBA' (tumeshiba). Sasa Yule mama alipoenda kuongeza chakula tukawa tunashauriana kuhusu neno tutakalotumia kumweleza kutosheka kwetu, kabla hatujamaliza kujadiliana mama kasharudi na sahani ya msosi nalo tukalimaliza kishingo upande. Alipoenda kuongeza msosi rafiki yangu akaniambia tumwambie 'TUMEJAA' ila mimi nilikataa😂😂. Likaletwa sahani lingine takalimaliza sasa alipoenda kuchukua lingine wakati anarudi na chakula nikasema aa bas...bass...basss huku nikionesha ishara kwa mkono.

Hatimaye
tukasalimika dhidi ya Kula.
 
Nilipokuwa form four kule Kilimanjaro tulitumwa na mwalimu kwa mama mmoja wa kichaga tulipofika mama alitupa chakula tukaanza kula, tukamaliza sahani ya Kwanza then ya pili, tulipomaliza la tatu tukahisi kumetosheka lakini tulisahau neno 'KUSHIBA' (tumeshiba). Sasa Yule mama alipoenda kuongeza chakula tukawa tunashauriana kuhusu neno tutakalotumia kumweleza kutosheka kwetu, kabla hatujamaliza kujadiliana mama kasharudi na sahani ya msosi nalo tukalimaliza kishingo upande. Alipoenda kuongeza msosi rafiki yangu akaniambia tumwambie 'TUMEJAA' ila mimi nilikataa😂😂. Likaletwa sahani lingine takalimaliza sasa alipoenda kuchukua lingine wakati anarudi na chakula nikasema aa bas...bass...basss huku nikionesha ishara kwa mkono.

Hatimaye
tukasalimika dhidi ya Kula.
Mi nilimvua mwanamke nguo nikasahau sehemu ambayo uke unapatikana, yaani niliutafuta chini ya kidevu chake, kwenye uvungu wa matiti yake yaliyolala nilipokuja kukumbuka kuwa unapatikana katikati ya mapaja tayari nimeshamwaga.
Nilijiona fala siku ile mpaka nikatunga msemo wangu unaosema utakiona cha mtafuta Pussy.
 
Katika maisha kuna muda akili zetu zinasahau vitu vidogo vidogo tunavyovijua ila baada ya dakika chache kumbukumbu hurudi.

Kuna stori moja nilishawahi kuisoma humu JF mtu mmoja alienda msituni kutafuta kuni na shoka lake begani lakini alipofika kule alilala kwa dakika 15, alipoamka alianza kutafuta shoka lake aina ya inkosekaz kuanzia saa 1 asubuhi hadi sa 11 jioni kumbe shoka alikuwa nalo begani, ndiyo maana kuna msemo mmoja unasema "utakiona cha mtema kuni".

Binafsi nikiwa mdogo nilitumwa dukani kununua kilo ya mchele, nilipofika nikasahau neno 'kilo' nilikaa takribani dakika 15 kulikumbuka hili neno lakini nikashindwa, nikamua kuingia dukani nikamwambia muuza duka anipe lita moja ya mchele jamaa alinielewa lakini alicheka mpaka akaanza kukojoa.

Ahlan wasahlan!
Jamaaa umenichekesha aisee,Ila umetia chumvi hapo mwishoni
 
Nilipokuwa form four kule Kilimanjaro tulitumwa na mwalimu kwa mama mmoja wa kichaga tulipofika mama alitupa chakula tukaanza kula, tukamaliza sahani ya Kwanza then ya pili, tulipomaliza la tatu tukahisi kumetosheka lakini tulisahau neno 'KUSHIBA' (tumeshiba). Sasa Yule mama alipoenda kuongeza chakula tukawa tunashauriana kuhusu neno tutakalotumia kumweleza kutosheka kwetu, kabla hatujamaliza kujadiliana mama kasharudi na sahani ya msosi nalo tukalimaliza kishingo upande. Alipoenda kuongeza msosi rafiki yangu akaniambia tumwambie 'TUMEJAA' ila mimi nilikataa😂😂. Likaletwa sahani lingine takalimaliza sasa alipoenda kuchukua lingine wakati anarudi na chakula nikasema aa bas...bass...basss huku nikionesha ishara kwa mkono.

Hatimaye
tukasalimika dhidi ya Kula.
Chai au supu?
 
Mi nilimvua mwanamke nguo nikasahau sehemu ambayo uke unapatikana, yaani niliutafuta chini ya kidevu chake, kwenye uvungu wa matiti yake yaliyolala nilipokuja kukumbu kuwa unapatikana katikati ya mapaja tayari nimehamwaga.
Nilijiona fala siku ile mpaka nikatunga msemo wangu unasema Utakiona cha mtafuta Pussy.
Siku hiyo ulivuta bangi kupitia mdomoni or kupitia kiny**o.
 
Siku hiyo ulivuta bangi kupitia mdomoni or kupitia kiny**o.
Kuna mmasai mmoja nilikuwa nasafiri naye na siku ile alikuwa amevaa bukta kwa sababu anasafairi(siku zingine huwa havai bukta Bali mashuka Tu) sasa gari likasimamishwa ili kuruhusu watu watu kukata gogo kisha Masai akashuka kukata gogo. Aliporudi ndani ya gari alikaa kwa kujiachia kwani alikuwa anaamini ameficha pipe lake, binti mmoja akawa anangalia katikati ya miguu yake. Masai alipogundua hilo akamwambia "Shah! Leo huoni uchi yangu nimefaa bukuta" binti na watu wengine wakazidi kukudolea pipe la yule Masai baada kuona vile alijikagua ili kuona kama ana bukta akakuta mbolo lina ning'inia. Kumbe ameshasahau bukta porini alipoenda kujisaidia. Masai alitaka dereva ageuze gari ili akachukue bukta yaka aliyoiacha maili kadhaa lakini tulimkemea vikali.

Ilikuwa hatari.
 
Katika maisha kuna muda akili zetu zinasahau vitu vidogo vidogo tunavyovijua ila baada ya dakika chache kumbukumbu hurudi.

Kuna stori moja nilishawahi kuisoma humu JF mtu mmoja alienda msituni kutafuta kuni na shoka lake begani lakini alipofika kule alilala kwa dakika 15, alipoamka alianza kutafuta shoka lake aina ya inkosekaz kuanzia saa 1 asubuhi hadi sa 11 jioni kumbe shoka alikuwa nalo begani, ndiyo maana kuna msemo mmoja unasema "utakiona cha mtema kuni".

Binafsi nikiwa mdogo nilitumwa dukani kununua kilo ya mchele, nilipofika nikasahau neno 'kilo' nilikaa takribani dakika 15 kulikumbuka hili neno lakini nikashindwa, nikamua kuingia dukani nikamwambia muuza duka anipe lita moja ya mchele jamaa alinielewa lakini alicheka mpaka akaanza kukohoa.

Ahlan wasahlan!
Huu ni ugonjwa mkubwa wa wazee. Unaweza kutafuta jina la mwanao ukaita majina ya watoto wote 7 hadi kukumbuka unayemtaka unacheka mwenyewe.
 
Huu ni ugonjwa mkubwa wa wazee. Unaweza kutafuta jina la mwanao ukaita majina ya watoto wote 7 hadi kukumbuka unayemtaka unacheka mwenyewe.
Kwa hiyo unataka kuniambia na Mimi ni Mzee! Mbona nilishawahi kusahau neno nakupenda nilipokutana na demu nikabaki kusema "naku naniliu sana". Demu alibaki kushika mbavu.
 
Back
Top Bottom