komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Hiyo sio usahaulifu, ni kiwewe cha tukio ama mshituko uliokuchanganya.Kwa hiyo unataka kuniambia na Mimi ni Mzee! Mbona nilishawahi kusahau neno nakupenda nilipokutana na demu nikabaki kusema "naku naniliu sana". Demu alibaki kushikwa mbavu.
Nimecheka sana🤣🤣 lita ya mcheleKatika maisha kuna muda akili zetu zinasahau vitu vidogo vidogo tunavyovijua ila baada ya dakika chache kumbukumbu hurudi.
Kuna stori moja nilishawahi kuisoma humu JF mtu mmoja alienda msituni kutafuta kuni na shoka lake begani lakini alipofika kule alilala kwa dakika 15, alipoamka alianza kutafuta shoka lake aina ya inkosekaz kuanzia saa 1 asubuhi hadi sa 11 jioni kumbe shoka alikuwa nalo begani, ndiyo maana kuna msemo mmoja unasema "utakiona cha mtema kuni".
Binafsi nikiwa mdogo nilitumwa dukani kununua kilo ya mchele, nilipofika nikasahau neno 'kilo' nilikaa takribani dakika 15 kulikumbuka hili neno lakini nikashindwa, nikamua kuingia dukani nikamwambia muuza duka anipe lita moja ya mchele jamaa alinielewa lakini alicheka mpaka akaanza kukohoa.
Ahlan wasahlan!
Udomo zege siyo.Hiyo sio usahaulifu, ni kiwewe cha tukio ama mshituko uliokuchanganya.
Haswa.Udomo zege siyo.
Inspekta Haroon anasema 'domo lina ujauzito'
Ndo hivyo sista tumeaibika mno lakini we are still alive.Nimecheka sana🤣🤣 lita ya mchele
🤣😂Nilipokuwa form four kule Kilimanjaro tulitumwa na mwalimu kwa mama mmoja wa kichaga tulipofika mama alitupa chakula tukaanza kula, tukamaliza sahani ya Kwanza then ya pili, tulipomaliza la tatu tukahisi kumetosheka lakini tulisahau neno 'KUSHIBA' (tumeshiba). Sasa Yule mama alipoenda kuongeza chakula tukawa tunashauriana kuhusu neno tutakalotumia kumweleza kutosheka kwetu, kabla hatujamaliza kujadiliana mama kasharudi na sahani ya msosi nalo tukalimaliza kishingo upande. Alipoenda kuongeza msosi rafiki yangu akaniambia tumwambie 'TUMEJAA' ila mimi nilikataa😂😂. Likaletwa sahani lingine takalimaliza sasa alipoenda kuchukua lingine wakati anarudi na chakula nikasema aa bas...bass...basss huku nikionesha ishara kwa mkono.
Hatimaye
tukasalimika dhidi ya Kula.
We are still alive as overcomers. Tutakuwa na ya kusimulia kwa wajukuu zetu hakikaNdo hivyo sista tumeaibika mno lakini we are still alive.
Fact.We are still alive as overcomers. Tutakuwa na ya kusimulia kwa wajukuu zetu hakika
Hapana wewe tatizo lako linaonekana ni kubwaMi nilimvua mwanamke nguo nikasahau sehemu ambayo uke unapatikana, yaani niliutafuta chini ya kidevu chake, kwenye uvungu wa matiti yake yaliyolala nilipokuja kukumbuka kuwa unapatikana katikati ya mapaja tayari nimeshamwaga.
Nilijiona fala siku ile mpaka nikatunga msemo wangu unaosema utakiona cha mtafuta Pussy.
Kivipi mkuu.Hapana wewe tatizo lako linaonekana ni kubwa
Kivipi mkuu?Hapana wewe tatizo lako linaonekana ni kubwa
Naona anaanzisha uzi halafu anajijibu kwa akaunti nyingine!Nilifanya mtihani nikasahau kukusanya, nilitoka nje na pepa.