Niliiba Muhuri wa Shule nikawa naandika Barua za michango nagonga muhuri Nampelekea Mzee Father ,navuta mpunga Natia Mfukoni.
Nilikuja kukamatwa baada ya kuutumia Muhuri ktk karatasi za Kupigia kura ,Maana nilikua Nampango mkakati wa kuwaweka madarakani watu wangu,
Baazi nilifanikiwa kuwaweka madarakani, hekaheka ilikuja ktk kura za Head Boy(HP),ndiko nilipofumwa na siraha zangu za maangamizi mfukoni, kumbe kunajamaa alichora ile Raman ya Mimi kudakwa. Kibaya zaidi nikakutwa na ule muhuri ktk Bag yangu. Taarifa zikafika kwa mzee Father.
Kilichoendelea sitokuja sahau
Sent from my TECNO-W5 using
JamiiForums mobile app