Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Rais wa TFF kwenye mkutano wa ARUSHA ameviomba vilabu kupeana support vinapocheza mechi za kimataifa
hata hivyo wakati wa tamasha la SIMBA Day
Mwanamuziki TUNDAMAN aliingia na watu wake wakaendesha misa ya mzaha kuibeza Yanga kufungwa na Vipers mwaka huu.
Alipotoka ndani ya jeneza akaimba wimbo maalum ya kkusheherekea YANGA kufungwa na kapumbu mwaka jana na ambazo hizo zote ni mechi za kimataifa.
Niwaombe watani zanngu wa Simba acheni kuwashobokea WAGENI
hata hivyo wakati wa tamasha la SIMBA Day
Mwanamuziki TUNDAMAN aliingia na watu wake wakaendesha misa ya mzaha kuibeza Yanga kufungwa na Vipers mwaka huu.
Alipotoka ndani ya jeneza akaimba wimbo maalum ya kkusheherekea YANGA kufungwa na kapumbu mwaka jana na ambazo hizo zote ni mechi za kimataifa.
Niwaombe watani zanngu wa Simba acheni kuwashobokea WAGENI