Tukio /kisa kilichofanya ukeshe usiku kucha bila kulala

Tukio /kisa kilichofanya ukeshe usiku kucha bila kulala

Mwanzo nilikua nachukulia masihara na mimi nikajiamini ni 'gangster' siwezi kuumizwa na vitu kidogo kama mapenzi labda msiba na hasara kubwa ya kibiashara hata mali

Hapo tayari nishadate karibia miaka 5+ zile kuacha na kuachwa so nikachukulia kawaida wanaoumia ni wajinga tu

Kumbe sikuwa nimependa bhana, nilikuwa najidanganya

Si huyo manzi akanipa nachostahili, maana bora hata angeniacha ningejua moja ila baada ya kuchoshwa na vituko vyangu pamoja na kumvimbia mixer kiburi, simjali mpaka niwe na shida tena ya yale masuala ya pale kati, sometimes nasarandia videmu vingine

Alichofanya akahamishia majeshi kwa mwamba mmoja hivi mtaa wa pili tu halafu akanizimia data😂

baada ya kunipotezea kwa muda nikawa namsaka sana lakini wapi, wana wakaniambia meza ishapinduliwa huna chako we si ulimvimbia? kampata wanaependana

Ndio nikajua kweli nilitoa boko, ngoja nimbembeleze arudishe majeshi nitajirekebisha, kumbe bhana tayari ana mambo matano kama Jide na harudishi mateka asilani

Kilichoniuma siku hiyo nakatisha mitaa nikakutana nao ana kwa ana wameongozana, manzi ananicheki na mchizi ananichora, dah roho iliniuma sana

Aisee mapenzi yasikie tu, sikulala ilikuwa ikifika night nakosa Usingizi kabisa yaani ile usiku silali niliyokuwa naisikia kwenye nyimbo nilikutana nayo kabisa. . .

Yale mateso yalizidi mwamba alipompa kibendi yule binti, nilitaka kupasuka maana ndio basi tena nikajiona kama sio kidume iweje nikae nae muda mrefu, kila siku ligi kuu napekua tukicheza boli ila no kibendi afu mwamba miezi kadhaa tu tayari kashamjaza bila pampu bali pipe

Dah yale maumivu naweza kuandika gazeti, nyie acheni mapenzi yasikie tu, ila nashukuru yale maumivu yalinipa roho ya chuma, japo ilinichukua miezi mingi kupona.

sasa hivi yakinitokea tayari yalishanikomaza, hivyo hata kama nitateseka ila sio kama kipindi kile.💪

NOTE: MAUMIVU YA MAPENZI YASIKIE TU, ILA USIOMBE YAKUKUTE
Pole sana mkuu
 
Mkuu yani unasubiri kukuche ndo utoroke..?
Swala linaloitwa kutoroka huwa halisubiri muda, mtorokaji hutoroka muda wowote.. kitendo cha kusubiri huo ni uzwazwa watesi wako wanaweza kukufikia muda ambao hautarajii... Itabidi uje nikupe somo kuhusu kutoroka.

Kutoroka kunaanza na when halafu ndo inafuata how..! Hiyo how inajibiki ukiwa upo njiani halafu where inakujaga kama mzimu..[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Safari yangu ya kwanza kwenda Dar es salaam [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku ya kwanza kutumia simu nokia batani yenye internet kipindi hiko hakuna smartphones, kuna internet ya magumashi.

Nilikesha nadownload nyimbo ya beyonce ya m.b 3 tu kwa zaid ya masaa 3 lakin haitaki kucomplete[emoji23][emoji23].

Anyway old is gold kipindi hiko mtandao 3g/2g kufungua tu Google uone picha lazima usote mtandao speed ya kobe na kuumiza vidole kwa batani.

Wazee wa waptrick, yahoo, tubidy, wataelewa hili, kipindi hiko kudownload video ya m.b 10 ikajaa bila shida basi lazima upeleke sadaka ya shukrani kwa pasta j2[emoji23].

Watoto wa instagram+facebook hawawezi elewa hili
Waptrick mzee umenikumbusha mbali saana
 
Wana JF ebu tuambizane ni tukio gani lililowahi kukusibu mpaka ukawa na mawazo ukakosa usingizi kabisa ,usiku wa manane ,Kwangu Mimi.

1 .Tukio la kwanza niliwahi kukosa usingizi baada ya kupata kesi ya kumpa mwanafunzi mimba nikiwa mitaa fulani ,usiku huo ulikuwa mrefu sana ,nilisubiri sana kukuche ili niweze kutoroka na kutokomea.

2. Tukio lingine hasa ni kipind cha baba yangu anapambania uhai wake ,aisee nilikuwa silali kabisa hebu share na sisi Mikasa mingine.
Nilikunywa gahwa kijiweni vikombe kadhaa....sikulala mpaka nasikia swalaaa...apo vop?
 
Pia siku ya kwanza kula mzigo. Nlitolewa bikra na bar med aisee. Nikaenda kulala kwake alikuwa mschana age ya 23 hadi 25 hivi mda huo mm ni 20yrs ndo nimemaliza f4.
Uume ulisimama ukagoma kushuka usiku kucha mpaka nikaanza kuumwa tumbo. Mdada yule alikula chuma usiku kucha asubuhi hajiwezi kila kitu uzuri nlimwambia mm sijawahi kuzagamua so alikuwa mwalimu mzuri,
Kulipokucha akaniandalia supu ya kuku tena kwa ghara yake mi sikuwa hata na chapa.
Huyo mrembo mna mawasiliamo yoyote kwa sasa?
 
1. Kufiwa na mtu wa karibu sana, ndani ya masaa 24 sikuweza kulala kabisa

2. Kusubiria alfajiri ifike nitoroke jeshini
 
Wana JF ebu tuambizane ni tukio gani lililowahi kukusibu mpaka ukawa na mawazo ukakosa usingizi kabisa ,usiku wa manane ,Kwangu Mimi.

1 .Tukio la kwanza niliwahi kukosa usingizi baada ya kupata kesi ya kumpa mwanafunzi mimba nikiwa mitaa fulani ,usiku huo ulikuwa mrefu sana ,nilisubiri sana kukuche ili niweze kutoroka na kutokomea.

2. Tukio lingine hasa ni kipind cha baba yangu anapambania uhai wake ,aisee nilikuwa silali kabisa hebu share na sisi Mikasa mingine.
Nlikunywa alkasusu nlikuwa kwenye kazi maalum inachosha balaa kesho yakenlizingua yaan nlipata usingizi saa 11:30
 
Mwanzo nilikua nachukulia masihara na mimi nikajiamini ni 'gangster' siwezi kuumizwa na vitu kidogo kama mapenzi labda msiba na hasara kubwa ya kibiashara hata mali

Hapo tayari nishadate karibia miaka 5+ zile kuacha na kuachwa so nikachukulia kawaida wanaoumia ni wajinga tu

Kumbe sikuwa nimependa bhana, nilikuwa najidanganya

Si huyo manzi akanipa nachostahili, maana bora hata angeniacha ningejua moja ila baada ya kuchoshwa na vituko vyangu pamoja na kumvimbia mixer kiburi, simjali mpaka niwe na shida tena ya yale masuala ya pale kati, sometimes nasarandia videmu vingine

Alichofanya akahamishia majeshi kwa mwamba mmoja hivi mtaa wa pili tu halafu akanizimia data[emoji23]

baada ya kunipotezea kwa muda nikawa namsaka sana lakini wapi, wana wakaniambia meza ishapinduliwa huna chako we si ulimvimbia? kampata wanaependana

Ndio nikajua kweli nilitoa boko, ngoja nimbembeleze arudishe majeshi nitajirekebisha, kumbe bhana tayari ana mambo matano kama Jide na harudishi mateka asilani

Kilichoniuma siku hiyo nakatisha mitaa nikakutana nao ana kwa ana wameongozana, manzi ananicheki na mchizi ananichora, dah roho iliniuma sana

Aisee mapenzi yasikie tu, sikulala ilikuwa ikifika night nakosa Usingizi kabisa yaani ile usiku silali niliyokuwa naisikia kwenye nyimbo nilikutana nayo kabisa. . .

Yale mateso yalizidi mwamba alipompa kibendi yule binti, nilitaka kupasuka maana ndio basi tena nikajiona kama sio kidume iweje nikae nae muda mrefu, kila siku ligi kuu napekua tukicheza boli ila no kibendi afu mwamba miezi kadhaa tu tayari kashamjaza bila pampu bali pipe

Dah yale maumivu naweza kuandika gazeti, nyie acheni mapenzi yasikie tu, ila nashukuru yale maumivu yalinipa roho ya chuma, japo ilinichukua miezi mingi kupona.

sasa hivi yakinitokea tayari yalishanikomaza, hivyo hata kama nitateseka ila sio kama kipindi kile.[emoji123]

NOTE: MAUMIVU YA MAPENZI YASIKIE TU, ILA USIOMBE YAKUKUTE
Daah kaka umenifurahisha sana
 
Back
Top Bottom