Tukio la Bashiru Ally na Mkutano wa Waziri wa Uchukuzi vimepangwa, shtuka!

Tukio la Bashiru Ally na Mkutano wa Waziri wa Uchukuzi vimepangwa, shtuka!

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Kila kunapokuwa na jambo ka moto mara zote CCM huja na vijambo Ili kuwatoa wananchi kwenye umakini. Wote tunajua kuwa moja, kuna mgao mkali sana wa umeme ambao hata haueleweki, kuna mgao wa maji huku bili za maji zikiwa ni zile zile na kuna ucheleweshaji wa mishahara pamoja na ugawaji wa kihuni wa mbolea.

Ili kupunguza na kuwasahaulisha watu mambo ya msingi kuna matukio yamepangwa ili tuhamishie akili zetu finyu huko. Mfano, jambo la Bashiru Ally, imekuzwa bila sababu za msingi! Pili, jambo la waziri kuitisha mkutano na waandishi wa habari nje ya muda wa kawaida kutoa repoti ya uchunguzi wa ajali ya ndege, ambayo kimsingi ilishasambaa kwenye mitandao, kesho usishangae kukaja tukio la kufumaniwa au la mtu kuhamia chama cha Majizi. Yote haya ni kufanya watu wahamishie akili zao huko huku tukiyaacha mambo ya msingi yanapita.

Wito: Ewe Mtanzania usikubali kupotezewa muda, dai haki yako, umeme, maji na mbolea siyo hisani ya chama wala ya mtu.
 
Kila kunapokua na issues "hot" mara zote CCM huja na vijambo Ili kuwatoa Wananchi kwenye "concentration". Wote tunajua kuwa Moja, Kuna mgao mkali sana wa umeme ambao hata haueleweki, Kuna mgao wa Maji huku bili za Maji zikiwa ni zile zile

Wito, ewe mtanzania usikubali kupotezewa muda, dai haki Yako, umeme, Maji na Mbolea sio HISANI ya Chama Wala ya Ntu
Mshahara kwani leo tarehe ngapi mamaaa
 
Hata popobawa tulipigwa

Kikombe Cha Babu tulipigwa
 
Kila kunapokuwa na jambo ka moto mara zote CCM huja na vijambo Ili kuwatoa wananchi kwenye umakini. Wote tunajua kuwa moja, kuna mgao mkali sana wa umeme ambao hata haueleweki, kuna mgao wa maji huku bili za maji zikiwa ni zile zile na kuna ucheleweshaji wa mishahara pamoja na ugawaji wa kihuni wa mbolea.

Ili kupunguza na kuwasahaulisha watu mambo ya msingi kuna matukio yamepangwa ili tuhamishie akili zetu finyu huko. Mfano, jambo la Bashiru Ally, imekuzwa bila sababu za msingi! Pili, jambo la Kalemani kuitisha mkutano na waandishi wa habari nje ya muda wa kawaida kutoa repoti ya uchunguzi wa ajali ya ndege, ambayo kimsingi ilishasambaa kwenye mitandao, kesho usishangae kukaja tukio la kufumaniwa au la mtu kuhamia chama cha Majizi. Yote haya ni kufanya watu wahamishie akili zao huko huku tukiyaacha mambo ya msingi yanapita.

Wito: Ewe Mtanzania usikubali kupotezewa muda, dai haki yako, umeme, maji na mbolea siyo hisani ya chama wala ya mtu.
Nimejiuliza sana kumuona Zitto Kabwe kushupaa sana na ripoti ya ajali hadi kufikia kusema yuko tayari apelekwe mahakamani eti kama taarifa ya awali sio yao! So what?
Drama hizi wangekuwa wanafanya wenyewe ilikuwa sio shida, lakini kutumika watu wajinga wanaojinadi kuwa wapinzani kama huyu dalali ina uzi sana.
Kwa nini tunawalea hawa wanafiki?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kila kunapokuwa na jambo ka moto mara zote CCM huja na vijambo Ili kuwatoa wananchi kwenye umakini. Wote tunajua kuwa moja, kuna mgao mkali sana wa umeme ambao hata haueleweki, kuna mgao wa maji huku bili za maji zikiwa ni zile zile na kuna ucheleweshaji wa mishahara pamoja na ugawaji wa kihuni wa mbolea.

Ili kupunguza na kuwasahaulisha watu mambo ya msingi kuna matukio yamepangwa ili tuhamishie akili zetu finyu huko. Mfano, jambo la Bashiru Ally, imekuzwa bila sababu za msingi! Pili, jambo la Kalemani kuitisha mkutano na waandishi wa habari nje ya muda wa kawaida kutoa repoti ya uchunguzi wa ajali ya ndege, ambayo kimsingi ilishasambaa kwenye mitandao, kesho usishangae kukaja tukio la kufumaniwa au la mtu kuhamia chama cha Majizi. Yote haya ni kufanya watu wahamishie akili zao huko huku tukiyaacha mambo ya msingi yanapita.

Wito: Ewe Mtanzania usikubali kupotezewa muda, dai haki yako, umeme, maji na mbolea siyo hisani ya chama wala ya mtu.
Wapi bwege wewe usidanganye watu. Hapo ufipa haya matukio ndio yanawapa uhai japo kidogo. Hayapo hampo. Mmekoswa agenda kuu ya kutembea nayo kama chama Cha upinzani kilichokuwa na nguvu. Haya matukio angalau Kwa mbaaaali yanawaweka masikioni mwa watu. Vinginevyo acheni kulamba asali
 
Nimejiuliza sana kumuona Zitto Kabwe kushupaa sana na ripoti ya ajali hadi kufikia kusema yuko tayari apelekwe mahakamani eti kama taarifa ya awali sio yao! So what?
Drama hizi wangekuwa wanafanya wenyewe ilikuwa sio shida, lakini kutumika watu wajinga wanaojinadi kuwa wapinzani kama huyu dalali ina uzi sana.
Kwa nini tunawalea hawa wanafiki?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Alafu sasa kuna watu wanamuamini uyu jamaa hovyo kabisa
 
Wapi bwege wewe usidanganye watu. Hapo ufipa haya matukio ndio yanawapa uhai japo kidogo. Hayapo hampo. Mmekoswa agenda kuu ya kutembea nayo kama chama Cha upinzani kilichokuwa na nguvu. Haya matukio angalau Kwa mbaaaali yanawaweka masikioni mwa watu. Vinginevyo acheni kulamba asali
bwege ni wewe na familia yako mjinga wewe mfuas wa walamba asali kupitia tozo yanayoanzisha mafis ya ccm unayoyashabikia huku umepigika kama mbeha aliyekosa chakula, unafikir upinzan wa kweli ukiondoa madalali wa vyama mlivyoanzisha na kuvipachika usajir fake hawana agenda kama unavyojiaminisha na wajinga wenzio huko lumumba wewe na ujinga wake endelea kuimba wimbo wenu wa mama anaupiga mwingi maana akili yenu imegotea hapo.
 
Back
Top Bottom