Tukio la Bashiru Ally na Mkutano wa Waziri wa Uchukuzi vimepangwa, shtuka!

Tukio la Bashiru Ally na Mkutano wa Waziri wa Uchukuzi vimepangwa, shtuka!

bwege ni wewe na familia yako mjinga wewe mfuas wa walamba asali kupitia tozo yanayoanzisha mafis ya ccm unayoyashabikia huku umepigika kama mbeha aliyekosa chakula, unafikir upinzan wa kweli ukiondoa madalali wa vyama mlivyoanzisha na kuvipachika usajir fake hawana agenda kama unavyojiaminisha na wajinga wenzio huko lumumba wewe na ujinga wake endelea kuimba wimbo wenu wa mama anaupiga mwingi maana akili yenu imegotea hapo.
Ewaaaaaaa umempiga pabaya
 
Kila kunapokuwa na jambo ka moto mara zote CCM huja na vijambo Ili kuwatoa wananchi kwenye umakini. Wote tunajua kuwa moja, kuna mgao mkali sana wa umeme ambao hata haueleweki, kuna mgao wa maji huku bili za maji zikiwa ni zile zile na kuna ucheleweshaji wa mishahara pamoja na ugawaji wa kihuni wa mbolea.

Ili kupunguza na kuwasahaulisha watu mambo ya msingi kuna matukio yamepangwa ili tuhamishie akili zetu finyu huko. Mfano, jambo la Bashiru Ally, imekuzwa bila sababu za msingi! Pili, jambo la Kalemani kuitisha mkutano na waandishi wa habari nje ya muda wa kawaida kutoa repoti ya uchunguzi wa ajali ya ndege, ambayo kimsingi ilishasambaa kwenye mitandao, kesho usishangae kukaja tukio la kufumaniwa au la mtu kuhamia chama cha Majizi. Yote haya ni kufanya watu wahamishie akili zao huko huku tukiyaacha mambo ya msingi yanapita.

Wito: Ewe Mtanzania usikubali kupotezewa muda, dai haki yako, umeme, maji na mbolea siyo hisani ya chama wala ya mtu.
Nadhani hata wewe umepangwa au umeamdikiwa hili bandiko na hujalisoma ndiyo maana unataka kutuaminisha waziri wa Uchukuzi aliyesoma taarifa ya ajali ni Kalemani
 
Nadhani hata wewe umepangwa au umeamdikiwa hili bandiko na hujalisoma ndiyo maana unataka kutuaminisha waziri wa Uchukuzi aliyesoma taarifa ya ajali ni Kalemani
Hahahahaahaaa hata nawajua sasa hao Mawaziri? Wanabadilishwa Kila uchao
 
bwege ni wewe na familia yako mjinga wewe mfuas wa walamba asali kupitia tozo yanayoanzisha mafis ya ccm unayoyashabikia huku umepigika kama mbeha aliyekosa chakula, unafikir upinzan wa kweli ukiondoa madalali wa vyama mlivyoanzisha na kuvipachika usajir fake hawana agenda kama unavyojiaminisha na wajinga wenzio huko lumumba wewe na ujinga wake endelea kuimba wimbo wenu wa mama anaupiga mwingi maana akili yenu imegotea hapo.
Hahahaha 🤣 povu kama la naniliu wa corner bar kadhulumiwa na Basha wake😂. No Special scam no CDM. Hakuna Agenda ya kuwatambulisha msimamo wenu juu ya maswala ya kitaifa. Mnavizia matukio tu. Shame on you
 
Back
Top Bottom