Tukio la Bashiru Ally na Mkutano wa Waziri wa Uchukuzi vimepangwa, shtuka!

Ewaaaaaaa umempiga pabaya
 
Nadhani hata wewe umepangwa au umeamdikiwa hili bandiko na hujalisoma ndiyo maana unataka kutuaminisha waziri wa Uchukuzi aliyesoma taarifa ya ajali ni Kalemani
 
Nadhani hata wewe umepangwa au umeamdikiwa hili bandiko na hujalisoma ndiyo maana unataka kutuaminisha waziri wa Uchukuzi aliyesoma taarifa ya ajali ni Kalemani
Hahahahaahaaa hata nawajua sasa hao Mawaziri? Wanabadilishwa Kila uchao
 
Hahahaha 🤣 povu kama la naniliu wa corner bar kadhulumiwa na Basha wake😂. No Special scam no CDM. Hakuna Agenda ya kuwatambulisha msimamo wenu juu ya maswala ya kitaifa. Mnavizia matukio tu. Shame on you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…