Tukio la basi la Yanga kwenda Mo Simba Arena kule Bunju linatakiwa liondoke na watu pale Yanga

Tukio la basi la Yanga kwenda Mo Simba Arena kule Bunju linatakiwa liondoke na watu pale Yanga

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Ndugu zangu, matukio ya siku chache zilizopita mnaweza kuyachukulia kwa utani ila ni matukio serious sana ambayo yangeweza kuleta maafa makubwa.

Sitaongelea tukio la Simba kushindwa kufanya mazoezi wala Yanga kupeleka timu uwanjani maana kuna nyuzi nyingi zinazozungumzia hayo.

Mimi nitaongelea tukio ambalo najua nalo limejadiliwa ila nahisi halijapewa uzito unaostahili. Hili ni tukio la Klabu ya Yanga kupeleka basi lao Mo Simba Arena kule Bunju siku ya Jumapili 09/03/2025.

Ndugu zangu, baada ya matukio ya weekend, nchi ilikuwa kwenye tension kubwa sana. Ilihitaji katukio kamoja tu ka kuwasha moto, aisee ungeshangaa hali inalipuka ghafla na ingechukua muda mpaka kutulizwa.

Wahenga wa kizungu wana msemo "the straw that broke the camel's back". Maana ya msemo huu ni kwamba katukio kadogo kanaweza kusababisha athari isiyotegemewa kutokana na kwamba kulikuwa na mfululizo wa matukio mengine madogo madogo hapo kabla ambayo yalileta uzito ambao labda haukutiliwa maanani. Matokeo yake katukio kadogo sana kanakuja kuleta maafa makubwa.

Mimi nilifanya kautafiti kangu siku ya Jumamosi na Jumapili maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam, nikagundua tension ilikuwa juu sana. Nina njia zangu za kusoma watu au hali inayozunguka maisha yanayonizunguka hasa kipindi ambacho joto linapanda kutokana na sababu fulani.

Katikati ya tension tuliyokuwa nayo, inakuwaje mtu anachochea zaidi uhasama kwa kufanya kitendo kama kile kwa kisingizio cha "utani wa jadi"? Kama sisi ni watani wa jadi, inakuwaje usiku wa jana yake tu ulinifanyia vitimbwi, fujo na kunidhalilisha huku ukinizuia kufanya mazoezi ambayo ni haki yangu? Huu ni utani au unafki tu?

Nashauri vyombo vya ulinzi na usalama wafanye uchunguzi wa tukio la basi la Yanga kupelekwa Bunju karibu na Mo Simba Arena na ikionekana lilifanyika maksudi, hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Tukio la basi la Yanga kupelekwa Bunju halihusiani na mpira kwa hiyo vyombo hivyo visisite wala kujificha kwenye kisingizio cha kutoingilia mambo ya mpira.
 
Hapana mkuu....ni utani tu

Sawa sawa na demu ale 2 million Yako then kagoma kuja kupiga mechi geto ......na wew geto Kwa demu unakufahamu

Then unaamua kumfuata huko huko ... regardless how far is .......how far she's protected .....the only matter is kupata utamu.....as the compasession to your cost used during kuhonga

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
tulia wewe daw
Ndugu zangu, matukio ya siku chache zilizopita mnaweza kuyachukulia kwa utani ila ni matukio serious sana ambayo yangeweza kuleta maafa makubwa.

Sitaongelea tukio la Simba kushindwa kufanya mazoezi wala Yanga kupeleka timu uwanjani maana kuna nyuzi nyingi zinazozungumzia hayo.

Mimi nitaongelea tukio ambalo najua nalo limejadiliwa ila nahisi halijapewa uzito unaostahili. Hili ni tukio la Klabu ya Yanga kupeleka basi lao Mo Simba Arena kule Bunju siku ya Jumapili 09/03/2025.

Ndugu zangu, baada ya matukio ya weekend, nchi ilikuwa kwenye tension kubwa sana. Ilihitaji katukio kamoja tu ka kuwasha moto, aisee ungeshangaa hali inalipuka ghafla na ingechukua muda mpaka kutulizwa.

Wahenga wa kizungu wana msemo "the straw that broke the camel's back". Maana ya msemo huu ni kwamba katukio kadogo kanaweza kusababisha athari isiyotegemewa kutokana na kwamba kulikuwa na mfululizo wa matukio mengine madogo madogo hapo kabla ambayo yalileta uzito ambao labda haukutiliwa maanani. Matokeo yake katukio kadogo sana kanakuja kuleta maafa makubwa.

Mimi nilifanya kautafiti kangu siku ya Jumamosi na Jumapili maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam, nikagundua tension ilikuwa juu sana. Nina njia zangu za kusoma watu au hali inayozunguka maisha yanayonizunguka hasa kipindi ambacho joto linapanda kutokana na sababu fulani.

Katikati ya tension tuliyokuwa nayo, inakuwaje mtu anachochea zaidi uhasama kwa kufanya kitendo kama kile kwa kisingizio cha "utani wa jadi"? Kama sisi ni watani wa jadi, inakuwaje usiku wa jana yake tu ulinifanyia vitimbwi, fujo na kunidhalilisha huku ukinizuia kufanya mazoezi ambayo ni haki yangu? Huu ni utani au unafki tu?

Nashauri vyombo vya ulinzi na usalama wafanye uchunguzi wa tukio la basi la Yanga kupelekwa Bunju karibu na Mo Simba Arena na ikionekana lilifanyika maksudi, hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Tukio la basi la Yanga kupelekwa Bunju halihusiani na mpira kwa hiyo vyombo hivyo visisite wala kujificha kwenye kisingizio cha kutoingilia mambo ya mpira.
tulieni dawa iwaingie
 
Mabaunsa Gani waliwazuia Simba kuingia uwanjani?
Una uhakika gani wale na mabaunsa wa Yanga?
Walikuwa wangapi?
Yaani mabaunsa wazuie watu waliokata kwenye mabasi matatu yenye escort ya police?
Simba ni mbumbumbu yaani mlitengeneza tatizo wenyewe ili kukimbia mechi af mnawataja Yanga

Wewe umekuwa nani nchi hii kuzuia raia wa Taifa hilo wasiende mahala Fulani
Yaani kwamba ni marufuku basi la Yanga kufika Bunju
 
Mabaunsa Gani waliwazuia Simba kuingia uwanjani?
Una uhakika gani wale na mabaunsa wa Yanga?
Walikuwa wangapi?
Yaani mabaunsa wazuie watu waliokata kwenye mabasi matatu yenye escort ya police?
Simba ni mbumbumbu yaani mlitengeneza tatizo wenyewe ili kukimbia mechi af mnawataja Yanga

Wewe umekuwa nani nchi hii kuzuia raia wa Taifa hilo wasiende mahala Fulani
Yaani kwamba ni marufuku basi la Yanga kufika Bunju
Mabasi matatu ulikuwa unayaendesha wewe?

Jikite kwenye mada. Nimesema uzi huu unahusiana na basi la Yanga, achana na mjadala wa mabausa.
 
Hapana mkuu....ni utani tu

Sawa sawa na demu ale 2 million Yako then kagoma kuja kupiga mechi geto ......na wew geto Kwa demu unakufahamu

Then unaamua kumfuata huko huko ... regardless how far is .......how far she's protected .....the only matter is kupata utamu.....as the compasession to your cost used during kuhonga

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kuna utafiti wangu nimefanya watu wa aina yako wanaotumia tecno hua hawana akili hata uwezo wao wa kufikiri ni Mdogo sana ..watu Hawa ndio mtaji mkubwa wa chama tawala..ni mfu wanaotembea, they cannot think beyond reasonable doubt
 
Kuwa heshima....hersi ni rais wa timu zote Africa...anaweza mpiga ban mangungu na ukoo wake wote kisoka

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Heshima Gani aliyonayo..akili Gani aliyonayo, kama mambo madogo haya anashindwa kuyatatua kama mtu mwenye akili na ufahamu, zaidi ni usela na UHUNI tu na Hana elimu yoyote au kama.anayo haimsaidii au aliipata kwa magumashi.
 
Kuwa Shabiki wa Simba ni Kipaji. Mwamba Kafanya Utafiti Jumamosi na Jumapili Kaona Basi Lingesababisha Maafa. Ila Hajaona Wahuni Waliojifungia Ndani Saa Nane Usiku na Kutoa Tamko la Kutoshiriki Derby Kama Wataleta Maafa.
 
Rais wa timu muhuni msela, msemaji muhuni na msela

Unadhani kwamba dereva na hao watu walijituma wenyewe pasipo kuruhusiwa na uongozi?

Mambo ya ajabu sana, utani unabaki kwa mashabiki, siamini kama management nao wanafanyiana utani.
 
Humu tu jamii forum ndio hua mnajifanya mna hisia ila huko mtaani wepesi kama wanawake! mara ngapi yanafanyika mambo ya ajabu hakuna raia thubutu kufanya lolote? by the way yaani mtu iache kufanya mambo yako uende kupiga bus mawe alf utegemee Simba waje wakutoe selo?
 
Mabasi matatu ulikuwa unayaendesha wewe?

Jikite kwenye mada. Nimesema uzi huu unahusiana na basi la Yanga, achana na mjadala wa mabausa.
Kwani Bunju Yanga wanaingia Kwa passport
Kwaiyo basi la Yanga lisiende Bunju na la Simba lisiende Kigomboni

Kweli Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
 
Kwani Bunju Yanga wanaingia Kwa passport
Kwaiyo basi la Yanga lisiende Bunju na la Simba lisiende Kigomboni

Kweli Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Endeleeni kukabidhi watoto waendeshe timu muone mtafika wapi
 
Watoto wamekufunga mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi cha goli 5
1977 - Simba 6 - Yanga 0
1994 - Simba 4 - Yanga 1
2012 - Simba 5 - Yanga 0
2020 - Simba 4 - Yanga 1
 
Back
Top Bottom