Tukio la basi la Yanga kwenda Mo Simba Arena kule Bunju linatakiwa liondoke na watu pale Yanga

Tukio la basi la Yanga kwenda Mo Simba Arena kule Bunju linatakiwa liondoke na watu pale Yanga

Ndugu zangu, matukio ya siku chache zilizopita mnaweza kuyachukulia kwa utani ila ni matukio serious sana ambayo yangeweza kuleta maafa makubwa.

Sitaongelea tukio la Simba kushindwa kufanya mazoezi wala Yanga kupeleka timu uwanjani maana kuna nyuzi nyingi zinazozungumzia hayo.

Mimi nitaongelea tukio ambalo najua nalo limejadiliwa ila nahisi halijapewa uzito unaostahili. Hili ni tukio la Klabu ya Yanga kupeleka basi lao Mo Simba Arena kule Bunju siku ya Jumapili 09/03/2025.

Ndugu zangu, baada ya matukio ya weekend, nchi ilikuwa kwenye tension kubwa sana. Ilihitaji katukio kamoja tu ka kuwasha moto, aisee ungeshangaa hali inalipuka ghafla na ingechukua muda mpaka kutulizwa.

Wahenga wa kizungu wana msemo "the straw that broke the camel's back". Maana ya msemo huu ni kwamba katukio kadogo kanaweza kusababisha athari isiyotegemewa kutokana na kwamba kulikuwa na mfululizo wa matukio mengine madogo madogo hapo kabla ambayo yalileta uzito ambao labda haukutiliwa maanani. Matokeo yake katukio kadogo sana kanakuja kuleta maafa makubwa.

Mimi nilifanya kautafiti kangu siku ya Jumamosi na Jumapili maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam, nikagundua tension ilikuwa juu sana. Nina njia zangu za kusoma watu au hali inayozunguka maisha yanayonizunguka hasa kipindi ambacho joto linapanda kutokana na sababu fulani.

Katikati ya tension tuliyokuwa nayo, inakuwaje mtu anachochea zaidi uhasama kwa kufanya kitendo kama kile kwa kisingizio cha "utani wa jadi"? Kama sisi ni watani wa jadi, inakuwaje usiku wa jana yake tu ulinifanyia vitimbwi, fujo na kunidhalilisha huku ukinizuia kufanya mazoezi ambayo ni haki yangu? Huu ni utani au unafki tu?

Nashauri vyombo vya ulinzi na usalama wafanye uchunguzi wa tukio la basi la Yanga kupelekwa Bunju karibu na Mo Simba Arena na ikionekana lilifanyika maksudi, hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Tukio la basi la Yanga kupelekwa Bunju halihusiani na mpira kwa hiyo vyombo hivyo visisite wala kujificha kwenye kisingizio cha kutoingilia mambo ya mpira.
Kitendo cha kupeleka basi la Yanga Bunju kwenye uwanja wa mazoezi wa Simba huku wakijua kuwa jana yake wamewafanyia fujo ni kitendo cha hatari sana ambacho kingeweza kuleta maafa makubwa, hivi kama washabiki wa Simba wangekuwa na akili mbovu kama washabiki wa Yanga na kulitia kiberiti lile basi nani angeonekana mchokozi? Hakika jambo hili lisipite hivi hivi.Bodi ya Ligi na TFF walijumuishe tukio hili hatika kufikia hatima ya kilichotokea siku ya Jumamosi usiku pale Benjamini Mkapa Stadium.
 
Ndugu zangu, matukio ya siku chache zilizopita mnaweza kuyachukulia kwa utani ila ni matukio serious sana ambayo yangeweza kuleta maafa makubwa.

Sitaongelea tukio la Simba kushindwa kufanya mazoezi wala Yanga kupeleka timu uwanjani maana kuna nyuzi nyingi zinazozungumzia hayo.

Mimi nitaongelea tukio ambalo najua nalo limejadiliwa ila nahisi halijapewa uzito unaostahili. Hili ni tukio la Klabu ya Yanga kupeleka basi lao Mo Simba Arena kule Bunju siku ya Jumapili 09/03/2025.

Ndugu zangu, baada ya matukio ya weekend, nchi ilikuwa kwenye tension kubwa sana. Ilihitaji katukio kamoja tu ka kuwasha moto, aisee ungeshangaa hali inalipuka ghafla na ingechukua muda mpaka kutulizwa.

Wahenga wa kizungu wana msemo "the straw that broke the camel's back". Maana ya msemo huu ni kwamba katukio kadogo kanaweza kusababisha athari isiyotegemewa kutokana na kwamba kulikuwa na mfululizo wa matukio mengine madogo madogo hapo kabla ambayo yalileta uzito ambao labda haukutiliwa maanani. Matokeo yake katukio kadogo sana kanakuja kuleta maafa makubwa.

Mimi nilifanya kautafiti kangu siku ya Jumamosi na Jumapili maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam, nikagundua tension ilikuwa juu sana. Nina njia zangu za kusoma watu au hali inayozunguka maisha yanayonizunguka hasa kipindi ambacho joto linapanda kutokana na sababu fulani.

Katikati ya tension tuliyokuwa nayo, inakuwaje mtu anachochea zaidi uhasama kwa kufanya kitendo kama kile kwa kisingizio cha "utani wa jadi"? Kama sisi ni watani wa jadi, inakuwaje usiku wa jana yake tu ulinifanyia vitimbwi, fujo na kunidhalilisha huku ukinizuia kufanya mazoezi ambayo ni haki yangu? Huu ni utani au unafki tu?

Nashauri vyombo vya ulinzi na usalama wafanye uchunguzi wa tukio la basi la Yanga kupelekwa Bunju karibu na Mo Simba Arena na ikionekana lilifanyika maksudi, hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Tukio la basi la Yanga kupelekwa Bunju halihusiani na mpira kwa hiyo vyombo hivyo visisite wala kujificha kwenye kisingizio cha kutoingilia mambo ya mpira.
Tukisema kule kuna viongozi wapuuzi na wasio na akili kupita wote waliowahi kuongoza yanga wenyewe wanakuja juu
 
Mambo ya ajabu sana, utani unabaki kwa mashabiki, siamini kama management nao wanafanyiana utani.
Kama walikusanya mabaunsa ndo washindwe kumwambia dereva peleka bus bunju, unadhani dereva alijiamulia tu kuwasha chuma akashika uelekeo wa bunju na kupiga picha
 
Ndugu zangu, matukio ya siku chache zilizopita mnaweza kuyachukulia kwa utani ila ni matukio serious sana ambayo yangeweza kuleta maafa makubwa.

Sitaongelea tukio la Simba kushindwa kufanya mazoezi wala Yanga kupeleka timu uwanjani maana kuna nyuzi nyingi zinazozungumzia hayo.

Mimi nitaongelea tukio ambalo najua nalo limejadiliwa ila nahisi halijapewa uzito unaostahili. Hili ni tukio la Klabu ya Yanga kupeleka basi lao Mo Simba Arena kule Bunju siku ya Jumapili 09/03/2025.

Ndugu zangu, baada ya matukio ya weekend, nchi ilikuwa kwenye tension kubwa sana. Ilihitaji katukio kamoja tu ka kuwasha moto, aisee ungeshangaa hali inalipuka ghafla na ingechukua muda mpaka kutulizwa.

Wahenga wa kizungu wana msemo "the straw that broke the camel's back". Maana ya msemo huu ni kwamba katukio kadogo kanaweza kusababisha athari isiyotegemewa kutokana na kwamba kulikuwa na mfululizo wa matukio mengine madogo madogo hapo kabla ambayo yalileta uzito ambao labda haukutiliwa maanani. Matokeo yake katukio kadogo sana kanakuja kuleta maafa makubwa.

Mimi nilifanya kautafiti kangu siku ya Jumamosi na Jumapili maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam, nikagundua tension ilikuwa juu sana. Nina njia zangu za kusoma watu au hali inayozunguka maisha yanayonizunguka hasa kipindi ambacho joto linapanda kutokana na sababu fulani.

Katikati ya tension tuliyokuwa nayo, inakuwaje mtu anachochea zaidi uhasama kwa kufanya kitendo kama kile kwa kisingizio cha "utani wa jadi"? Kama sisi ni watani wa jadi, inakuwaje usiku wa jana yake tu ulinifanyia vitimbwi, fujo na kunidhalilisha huku ukinizuia kufanya mazoezi ambayo ni haki yangu? Huu ni utani au unafki tu?

Nashauri vyombo vya ulinzi na usalama wafanye uchunguzi wa tukio la basi la Yanga kupelekwa Bunju karibu na Mo Simba Arena na ikionekana lilifanyika maksudi, hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Tukio la basi la Yanga kupelekwa Bunju halihusiani na mpira kwa hiyo vyombo hivyo visisite wala kujificha kwenye kisingizio cha kutoingilia mambo ya mpira.
Usipangie njia za Magari ya Yanga kupita. Ishi na simba yako
 
Endeleeni kukabidhi watoto waendeshe timu muone mtafika wapi
😂😂Unaishi kwq dada yako na shemeji yako anambonda dada yako... Afu humu jf unajifanya kuwa hasira za kipuuzi.... Haya mpige kwanza shemejio😂😂
 
Back
Top Bottom