Tukio la binti aliekalia kiti cha rais ni aibu kubwa

Tukio la binti aliekalia kiti cha rais ni aibu kubwa

Candela

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2021
Posts
817
Reaction score
2,180
Hii ni aibu kubwa sana hasa kwa Taifa na Serikali kwa ujumla.

Naona waandishi mbali mbali wanaenda kumuhojo yule binti huku point kubwa ikiwa ," ANASOMA SHULE YA SERIEKALI"
Kitendo alichofanya Rais kumpisha binti akae kiti cha rais ni kukubali kuwa Serikali inatambua elimu itolewayo haina viwango ndio maana alichokifanya yule binti kimekuwa nje na mategemeo yao. Yaani ni wazi viongozi wanatarajia watoto wanaohitimi shule za serikali wasiwe na uwezo mkubwa kujenga hoja na kuwasilisha hoja zao.

NB: Huu ni mtazamo wangu kama unaona tofauti ni sawa pia.
 
Miguu ya mama
IMG_5500.jpeg
 
Hii ni aibu kubwa sana hasa kwa Taifa na Serikali kwa ujumla.

Naona waandishi mbali mbali wanaenda kumuhojo yule binti huku point kubwa ikiwa ," ANASOMA SHULE YA SERIEKALI"
Kitendo alichofanya Rais kumpisha binti akae kiti cha rais ni kukubali kuwa Serikali inatambua elimu itolewayo haina viwango ndio maana alichokifanya yule binti kimekuwa nje na mategemeo yao. Yaani ni wazi viongozi wanatarajia watoto wanaohitimi shule za serikali wasiwe na uwezo mkubwa kujenga hoja na kuwasilisha hoja zao.

NB: Huu ni mtazamo wangu kama unaona tofauti ni sawa pia.
Kuongea mbele ya umati si kazi rahisi lakini kuongea mbele ya mheshimiwa Rais na viongozi waandamizi wengine ni kazi ngumu zaidi.

Yule binti alionyesha ujasiri anaopaswa kuwa nao kiongozi hasa kutoa hotuba ukiwa thabiti. Wanafunzi wa aina yake ni wachache tangu enzi na ndio maana wakipatikana moja kwa moja anachaguliwa kuwa Head girl. Mheshimiwa Rais kumpisha kiti akae sio kosa ni encouragement kwa binti ndio viongozi tunaowategemea hapo baadae. Waandishi wa habari kumhoji yeye sio dhambi kwa kuwa alivuta usikivu wa wengi.
 
Hii ni aibu kubwa sana hasa kwa Taifa na Serikali kwa ujumla.

Naona waandishi mbali mbali wanaenda kumuhojo yule binti huku point kubwa ikiwa ," ANASOMA SHULE YA SERIEKALI"
Kitendo alichofanya Rais kumpisha binti akae kiti cha rais ni kukubali kuwa Serikali inatambua elimu itolewayo haina viwango ndio maana alichokifanya yule binti kimekuwa nje na mategemeo yao. Yaani ni wazi viongozi wanatarajia watoto wanaohitimi shule za serikali wasiwe na uwezo mkubwa kujenga hoja na kuwasilisha hoja zao.

NB: Huu ni mtazamo wangu kama unaona tofauti ni sawa pia.
Binafsi yangu naona upo sahihi mkuu
 
Private wanafundisha kujibu mitihani sio syllabus oriented!! Ndio maana watoto wengi waliosomea Private schools vyuoni wana disco sound na WhatsApp
Nased on which research kuwa wanafanya vibaya?
Unaongelea vitu vyepesi sanaaa, chuo is another animal haijalish umetokea wapi, hukujiandaa utapigwa na kitu kizito

Oh wanafundishwa kujibu maswali? hao wengine wanasoma ili iweje?
 
Nased on which research kuwa wanafanya vibaya?
Unaongelea vitu vyepesi sanaaa, chuo is another animal haijalish umetokea wapi, hukujiandaa utapigwa na kitu kizito

Oh wanafundishwa kujibu maswali? hao wengine wanasoma ili iweje?
Unajiita detective afu kichwani umekaririshwa!! Kanisome tena!!!

Shuleni kuna stadi nyingi zinafundishwa zaidi ya kufaulu mitihani.
 
Back
Top Bottom