Tukio la binti aliekalia kiti cha rais ni aibu kubwa

Tukio la binti aliekalia kiti cha rais ni aibu kubwa

Hii ni aibu kubwa sana hasa kwa Taifa na Serikali kwa ujumla.

Naona waandishi mbali mbali wanaenda kumuhojo yule binti huku point kubwa ikiwa ," ANASOMA SHULE YA SERIEKALI"
Kitendo alichofanya Rais kumpisha binti akae kiti cha rais ni kukubali kuwa Serikali inatambua elimu itolewayo haina viwango ndio maana alichokifanya yule binti kimekuwa nje na mategemeo yao. Yaani ni wazi viongozi wanatarajia watoto wanaohitimi shule za serikali wasiwe na uwezo mkubwa kujenga hoja na kuwasilisha hoja zao.

NB: Huu ni mtazamo wangu kama unaona tofauti ni sawa pia.
Aione LIKUD
 
Unajiita detective afu kichwani umekaririshwa!! Kanisome tena!!!

Shuleni kuna stadi nyingi zinafundishwa zaidi ya kufaulu mitihani.
Huna facts bro, sijakaririshwa nimesoma elimu ya zamani kabla private shcool hazijaanza kutawala. Nimesomesha so najua naongelea nini.
Private schools wakazia sana uelewa, mazingira, support. Is why wanachukua wale walimu bora ile cream, even wanafunzi cream, hawachukui ilimradi. Watoto pale hawafaulu by bahati mbaya, ile ni investment
Huwez faulu without kuelewa nini unaenda kujibu

else public school zingekuwa zinakimbiza sana since uelewa ndio point yako lakini matokeo yanakupinga

Tatizo la gov schools ni business as usual, (na mm nimepita huko). So nafaham
Kusema eti ukifaulu gov school chuo ndio utakimbiza sana ni ujinga sana.

Haikupi guarantee kuwa chuo utafaulu, na haman records zinaonyesha hivyo else unajifariji kijana
 
Huna facts bro, sijakaririshwa nimesoma elimu ya zamani kabla private shcool hazijaanza kutawala. Nimesomesha so najua naongelea nini.
Private schools wakazia sana uelewa, mazingira, support. Is why wanachukua wale walimu bora ile cream, even wanafunzi cream, hawachukui ilimradi. Watoto pale hawafaulu by bahati mbaya, ile ni investment
Huwez faulu without kuelewa nini unaenda kujibu

else public school zingekuwa zinakimbiza sana since uelewa ndio point yako lakini matokeo yanakupinga

Tatizo la gov schools ni business as usual, (na mm nimepita huko). So nafaham
Kusema eti ukifaulu gov school chuo ndio utakimbiza sana ni ujinga sana.

Haikupi guarantee kuwa chuo utafaulu, na haman records zinaonyesha hivyo else unajifariji kijana
Kalale kwanza!! Wenge likikutoka njoo ujisome
 
Huna facts bro, sijakaririshwa nimesoma elimu ya zamani kabla private shcool hazijaanza kutawala. Nimesomesha so najua naongelea nini.
Private schools wakazia sana uelewa, mazingira, support. Is why wanachukua wale walimu bora ile cream, even wanafunzi cream, hawachukui ilimradi. Watoto pale hawafaulu by bahati mbaya, ile ni investment
Huwez faulu without kuelewa nini unaenda kujibu

else public school zingekuwa zinakimbiza sana since uelewa ndio point yako lakini matokeo yanakupinga

Tatizo la gov schools ni business as usual, (na mm nimepita huko). So nafaham
Kusema eti ukifaulu gov school chuo ndio utakimbiza sana ni ujinga sana.

Haikupi guarantee kuwa chuo utafaulu, na haman records zinaonyesha hivyo else unajifariji kijana
Uko sahihi. Sekondari kunahitaji uelewa si kukariri pekee. Huko hata mtihani ulikishwe vipi kama hujui unachemka tu. Lakini ikatokea pepper limevujishwa kwa wanafunzi halafu wanafunzi hao wakapata A zote basi hao ni vichwa sana. Ukilikisha pepper kwa mbumbumbu atapa multiple choice na matching items tu itakayomfanya apate D section zingine atachemka tu.
 
Sijajua imetumika utaratibu gani kumpata yule binti na sijui lengo lilikuwa lipi ila binafsi sijaona tatizo lolote.
 
Kuongea mbele ya umati si kazi rahisi lakini kuongea mbele ya mheshimiwa Rais na viongozi waandamizi wengine ni kazi ngumu zaidi.

Yule binti alionyesha ujasiri anaopaswa kuwa nao kiongozi hasa kutoa hotuba ukiwa thabiti. Wanafunzi wa aina yake ni wachache tangu enzi na ndio maana wakipatikana moja kwa moja anachaguliwa kuwa Head girl. Mheshimiwa Rais kumpisha kiti akae sio kosa ni encouragement kwa binti ndio viongozi tunaowategemea hapo baadae. Waandishi wa habari kumhoji yeye sio dhambi kwa kuwa alivuta usikivu wa wengi.
vipi lakini walikua wanamwelewa anachokisema..? ama kazi kupiga makofi tu
 
Hii ni aibu kubwa sana hasa kwa Taifa na Serikali kwa ujumla.

Naona waandishi mbali mbali wanaenda kumuhojo yule binti huku point kubwa ikiwa ," ANASOMA SHULE YA SERIEKALI"
Kitendo alichofanya Rais kumpisha binti akae kiti cha rais ni kukubali kuwa Serikali inatambua elimu itolewayo haina viwango ndio maana alichokifanya yule binti kimekuwa nje na mategemeo yao. Yaani ni wazi viongozi wanatarajia watoto wanaohitimi shule za serikali wasiwe na uwezo mkubwa kujenga hoja na kuwasilisha hoja zao.

NB: Huu ni mtazamo wangu kama unaona tofauti ni sawa pia.
Mkuu Kwan unadhan yule Binti alichaguliwa tu randomly?.

Maigizo, Hilo amelifanyia mazoezi wiki nzima .

Ni kama J.Makamba tu
 
Je watoto zao na wajukuu zao wanasoma uko?
KAZI ni kipimo cha utu
 
Hii ni aibu kubwa sana hasa kwa Taifa na Serikali kwa ujumla.

Naona waandishi mbali mbali wanaenda kumuhojo yule binti huku point kubwa ikiwa ," ANASOMA SHULE YA SERIEKALI"
Kitendo alichofanya Rais kumpisha binti akae kiti cha rais ni kukubali kuwa Serikali inatambua elimu itolewayo haina viwango ndio maana alichokifanya yule binti kimekuwa nje na mategemeo yao. Yaani ni wazi viongozi wanatarajia watoto wanaohitimi shule za serikali wasiwe na uwezo mkubwa kujenga hoja na kuwasilisha hoja zao.

NB: Huu ni mtazamo wangu kama unaona tofauti ni sawa pia.
Hujitambui
 
Hii ni aibu kubwa sana hasa kwa Taifa na Serikali kwa ujumla.

Naona waandishi mbali mbali wanaenda kumuhojo yule binti huku point kubwa ikiwa ," ANASOMA SHULE YA SERIEKALI"
Kitendo alichofanya Rais kumpisha binti akae kiti cha rais ni kukubali kuwa Serikali inatambua elimu itolewayo haina viwango ndio maana alichokifanya yule binti kimekuwa nje na mategemeo yao. Yaani ni wazi viongozi wanatarajia watoto wanaohitimi shule za serikali wasiwe na uwezo mkubwa kujenga hoja na kuwasilisha hoja zao.

NB: Huu ni mtazamo wangu kama unaona tofauti ni sawa pia.
Mkuu Kwan unadhan yule Binti alichaguliwa tu randomly?.

Maigizo, Hilo amelifanyia mazoezi wiki nzima .
 
Tuwekee kapicha bas ka
Hii ni aibu kubwa sana hasa kwa Taifa na Serikali kwa ujumla.

Naona waandishi mbali mbali wanaenda kumuhojo yule binti huku point kubwa ikiwa ," ANASOMA SHULE YA SERIEKALI"
Kitendo alichofanya Rais kumpisha binti akae kiti cha rais ni kukubali kuwa Serikali inatambua elimu itolewayo haina viwango ndio maana alichokifanya yule binti kimekuwa nje na mategemeo yao. Yaani ni wazi viongozi wanatarajia watoto wanaohitimi shule za serikali wasiwe na uwezo mkubwa kujenga hoja na kuwasilisha hoja zao.

NB: Huu ni mtazamo wangu kama unaona tofauti ni sawa pia.
Tupia kapicha bas kakusindikiza uzi
 
Hii ni aibu kubwa sana hasa kwa Taifa na Serikali kwa ujumla.

Naona waandishi mbali mbali wanaenda kumuhojo yule binti huku point kubwa ikiwa ," ANASOMA SHULE YA SERIEKALI"
Kitendo alichofanya Rais kumpisha binti akae kiti cha rais ni kukubali kuwa Serikali inatambua elimu itolewayo haina viwango ndio maana alichokifanya yule binti kimekuwa nje na mategemeo yao. Yaani ni wazi viongozi wanatarajia watoto wanaohitimi shule za serikali wasiwe na uwezo mkubwa kujenga hoja na kuwasilisha hoja zao.

NB: Huu ni mtazamo wangu kama unaona tofauti ni sawa pia.
Ni kweli hoja yako iko na mantiki.
Kuna sehemu moja mtandaoni nimeona hiyo habari inajadiliwa mtandaoni baadae wakajitokeza Wakenya wakaanza kubeza na kutucheka kwa kuuliza"Ina maana nyinyi Watanzania mtu akiongea kiingereza kama vile anakuwa gumzo na anageuka kuwa Superstar/maarufu nchi nzima?wakati sisi huku Kenya ni kawaida sana watoto wote wa Primary school wanaweza kuongea kama vile"
 
Kuongea mbele ya umati si kazi rahisi lakini kuongea mbele ya mheshimiwa Rais na viongozi waandamizi wengine ni kazi ngumu zaidi.

Yule binti alionyesha ujasiri anaopaswa kuwa nao kiongozi hasa kutoa hotuba ukiwa thabiti. Wanafunzi wa aina yake ni wachache tangu enzi na ndio maana wakipatikana moja kwa moja anachaguliwa kuwa Head girl. Mheshimiwa Rais kumpisha kiti akae sio kosa ni encouragement kwa binti ndio viongozi tunaowategemea hapo baadae. Waandishi wa habari kumhoji yeye sio dhambi kwa kuwa alivuta usikivu wa wengi.
safi kabisa watu sijui huwa wanafikiri kwakutumia kifa gani?mtoto shupavu sana huyu
 
Back
Top Bottom