Record say otherwise, ni shule chache sana. Private bado wanashikilia recordsHuyo binti sikujua sababu ni nini.
Ila shule za serikali zina matokea mazuri sana, naweza kukuhakikishia
Tuwekee mkeka wa ulinganisho na shule zingine, by the way mbona wao na wewe hamsomeshi watoto huko?Huyo binti sikujua sababu ni nini.
Ila shule za serikali zina matokea mazuri sana, naweza kukuhakikishia
Private wanafundisha kujibu mitihani sio syllabus oriented!! Ndio maana watoto wengi waliosomea Private schools vyuoni wana disco sound na WhatsAppRecord say otherwise, ni shule chache sana. Private bado wanashikilia records
Kuongea mbele ya umati si kazi rahisi lakini kuongea mbele ya mheshimiwa Rais na viongozi waandamizi wengine ni kazi ngumu zaidi.Hii ni aibu kubwa sana hasa kwa Taifa na Serikali kwa ujumla.
Naona waandishi mbali mbali wanaenda kumuhojo yule binti huku point kubwa ikiwa ," ANASOMA SHULE YA SERIEKALI"
Kitendo alichofanya Rais kumpisha binti akae kiti cha rais ni kukubali kuwa Serikali inatambua elimu itolewayo haina viwango ndio maana alichokifanya yule binti kimekuwa nje na mategemeo yao. Yaani ni wazi viongozi wanatarajia watoto wanaohitimi shule za serikali wasiwe na uwezo mkubwa kujenga hoja na kuwasilisha hoja zao.
NB: Huu ni mtazamo wangu kama unaona tofauti ni sawa pia.
Binafsi yangu naona upo sahihi mkuuHii ni aibu kubwa sana hasa kwa Taifa na Serikali kwa ujumla.
Naona waandishi mbali mbali wanaenda kumuhojo yule binti huku point kubwa ikiwa ," ANASOMA SHULE YA SERIEKALI"
Kitendo alichofanya Rais kumpisha binti akae kiti cha rais ni kukubali kuwa Serikali inatambua elimu itolewayo haina viwango ndio maana alichokifanya yule binti kimekuwa nje na mategemeo yao. Yaani ni wazi viongozi wanatarajia watoto wanaohitimi shule za serikali wasiwe na uwezo mkubwa kujenga hoja na kuwasilisha hoja zao.
NB: Huu ni mtazamo wangu kama unaona tofauti ni sawa pia.
Mke wa Lucas mwashambwa🤣🤣🤣Miguu ya mamaView attachment 3258026
Nased on which research kuwa wanafanya vibaya?Private wanafundisha kujibu mitihani sio syllabus oriented!! Ndio maana watoto wengi waliosomea Private schools vyuoni wana disco sound na WhatsApp
Unajiita detective afu kichwani umekaririshwa!! Kanisome tena!!!Nased on which research kuwa wanafanya vibaya?
Unaongelea vitu vyepesi sanaaa, chuo is another animal haijalish umetokea wapi, hukujiandaa utapigwa na kitu kizito
Oh wanafundishwa kujibu maswali? hao wengine wanasoma ili iweje?