Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
kila ki2 mnapinga tu!!! hiyo aibu imtoka wapi???.....mbona ni jambo la kawada sana!!!!,,,,,sometimes mnaboa,,,,,,,,yaaani mnapinga kilaki2!!,,,,,,MBUZI!!!Hii ni aibu kubwa sana hasa kwa Taifa na Serikali kwa ujumla.
Naona waandishi mbali mbali wanaenda kumuhojo yule binti huku point kubwa ikiwa ," ANASOMA SHULE YA SERIEKALI"
Kitendo alichofanya Rais kumpisha binti akae kiti cha rais ni kukubali kuwa Serikali inatambua elimu itolewayo haina viwango ndio maana alichokifanya yule binti kimekuwa nje na mategemeo yao. Yaani ni wazi viongozi wanatarajia watoto wanaohitimi shule za serikali wasiwe na uwezo mkubwa kujenga hoja na kuwasilisha hoja zao.
NB: Huu ni mtazamo wangu kama unaona tofauti ni sawa pia.
Asante; Umeudhika na kukereka kama mimi nilivyoudhika. Huwa natamani sana kuwauliza hao waleta hoja hiyo muflis; kwani hicho kiti kikizeeka au kupitwa na wakati huwa kinafanywaje - hakitupwi au ni nyara mojawapo ya Serikali?Kina upekee gani? Kwani yule mtoto aliyekikalia (tena kwa kuruhusiwa na kwa dk chache sana) aliacha hapo makalio yake kwamba inasababisha sasa Rais hawezi / hatoenea kukaa hapo tena? Dah! Wabongo! Waswahili! Ni shidaaaa.kila ki2 mnapinga tu!!! hiyo aibu imtoka wapi???.....mbona ni jambo la kawada sana!!!!,,,,,sometimes mnaboa,,,,,,,,yaaani mnapinga kilaki2!!,,,,,,MBUZI!!!
Mama yake na Lucas Mwashambwa? Hii familia ni laana kabisa!Miguu ya mamaView attachment 3258026
bro!!!,,,wanakera sana!!!!!!!!,,,,,,,,,Asante; Umeudhika na kukereka kama mimi nilivyoudhika. Huwa natamani sana kuwauliza hao waleta hoja hiyo muflis; kwani hicho kiti kikizeeka au kupitwa na wakati huwa kinafanywaje - hakitupwi au ni nyara mojawapo ya Serikali?Kina upekee gani? Kwani yule mtoto aliyekikalia (tena kwa kuruhusiwa na kwa dk chache sana) aliacha hapo makalio yake kwamba inasababisha sasa Rais hawezi / hatoenea kukaa hapo tena? Dah! Wabongo! Waswahili! Ni shidaaaa.
Ndo kipi hicho mkuu? Kwani kaja nacho?Kiti cha mama.
Sioni kosa lolote hapo.Rais wanakuja na kuondoka
Sioni kosa kubwa hapo kwani ni Uzalendo kuwa mtu yeyote anaweza kukikalia hicho kiti
Tatizo ni ushirikina na imani potofu.Aione LIKUD
Swali la mama.Ndo kipi hicho mkuu? Kwani kaja nacho?
Supp haina mbabe labda kudiscoPrivate wanafundisha kujibu mitihani sio syllabus oriented!! Ndio maana watoto wengi waliosomea Private schools vyuoni wana disco sound na WhatsApp