Tukio la binti aliekalia kiti cha rais ni aibu kubwa

Rais wanakuja na kuondoka
Sioni kosa kubwa hapo kwani ni Uzalendo kuwa mtu yeyote anaweza kukikalia hicho kiti
 
kila ki2 mnapinga tu!!! hiyo aibu imtoka wapi???.....mbona ni jambo la kawada sana!!!!,,,,,sometimes mnaboa,,,,,,,,yaaani mnapinga kilaki2!!,,,,,,MBUZI!!!
 
kila ki2 mnapinga tu!!! hiyo aibu imtoka wapi???.....mbona ni jambo la kawada sana!!!!,,,,,sometimes mnaboa,,,,,,,,yaaani mnapinga kilaki2!!,,,,,,MBUZI!!!
Asante; Umeudhika na kukereka kama mimi nilivyoudhika. Huwa natamani sana kuwauliza hao waleta hoja hiyo muflis; kwani hicho kiti kikizeeka au kupitwa na wakati huwa kinafanywaje - hakitupwi au ni nyara mojawapo ya Serikali?Kina upekee gani? Kwani yule mtoto aliyekikalia (tena kwa kuruhusiwa na kwa dk chache sana) aliacha hapo makalio yake kwamba inasababisha sasa Rais hawezi / hatoenea kukaa hapo tena? Dah! Wabongo! Waswahili! Ni shidaaaa.
 
bro!!!,,,wanakera sana!!!!!!!!,,,,,,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…