Tetesi: Tukio la kijiografia la mwezi mpevu sana (Supermoon) litatikea Nchini Tanzania siku ya Alhamisi tarehe 7/5/2020 saa 13:45

Tetesi: Tukio la kijiografia la mwezi mpevu sana (Supermoon) litatikea Nchini Tanzania siku ya Alhamisi tarehe 7/5/2020 saa 13:45

Victor Mlaki

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
4,151
Reaction score
4,277
Inafakamika kila baada ya miaka kadhaa kutokana na njia ya mwezi angani kuna wakati mwezi kupita karibu sana na na Dunia. Hali hiyo ya mwezi kupita karibu na Dunia ndiyo inayoitwa mwezi mpevu sana ambapo mwezi huonekana kwa karibu na kwa uku wa zaidi kuliko nyakati nyingine.

Tukio hili huambatana na kupewa na kujaa kwa maji, tsunami na milipuko ya kivolkano ingawa athari hizi bado zinafanyiwa tafiti zaidi.
 
kwahiyo itkuwa saa saba mchana?
IMG_20200505_023403_748.JPG
 
Mwezi umekuwa ukihusisha na imani nyingi mno Duniani na hivyo tukio hili linaweza kuwa taashira kwenye masuala ya imani.

Sambamba na masuala hayo ya imani baadhi ya maandiko unahusisha mwezi mpevu sana na ongezeko la watoto Duniani " Baby boom".
 
na hii corona kweli ongezeko la watoto kuzaa watoto halikwepeki
Mwezi umekuwa ukihusisha na imani nyingi mno Duniani na hivyo tukio hili linaweza kuwa taashira kwenye masuala ya imani.
Sambamba na masuala hayo ya imani baadhi ya maandiko unahusisha mwezi mpevu sana na ongezeko la watoto Duniani " Baby boom".
 
Inafakamika kila baada ya miaka kadhaa kutokana na njia ya mwezi angani kuna wakati mwezi kupita karibu sana na na Dunia. Hali hiyo ya mwezi kupita karibu na Dunia ndiyo inayoitwa mwezi mpevu sana ambapo mwezi huonekana kwa karibu na kwa uku wa zaidi kuliko nyakati nyingine.
Tukio hili huambatana na kupewa na kujaa kwa maji, tsunami na milipuko ya kivolkano ingawa athari hizi bado zinafanyiwa tafiti zaidi.
Hii nchi imekumbwa na matukio mengi Sana ya kipekee, nadhani hali itatulia Israel akiondoka na kiti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo athari ni kwa majibu wa Nolle mwaka 1979 na zinaonekana kutokana na mambo makubwa mawili
1.graviti ya mwezi.
2.Mvutano kati ya ganda la Dunia na mwezi.
Lakini athari hizo Nolle hakuzitolea majibu ya kisayansi.
... tabaka la dunia.
 
Mwezi umekuwa ukihusisha na imani nyingi mno Duniani na hivyo tukio hili linaweza kuwa taashira kwenye masuala ya imani.
Sambamba na masuala hayo ya imani baadhi ya maandiko unahusisha mwezi mpevu sana na ongezeko la watoto Duniani " Baby boom".
Kweny ungezeko la watot hapo nakuelewa maan tanzania tu watot wa shule wanapat mimba kwa kasi sas huko kweny lockdown ya coron itakuwaje
 
Back
Top Bottom