feisar wa moro
JF-Expert Member
- Mar 17, 2020
- 365
- 858
Mmhh hil litakuwa linawahus wafuas wa cchhattooh.
Pia mwezi mpevu sana umehusishwa na matukio ya ukichaa, ukatili na tabia za kustaajabisha kwa baadhi ya watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmhh hil litakuwa linawahus wafuas wa cchhattooh.
Pia mwezi mpevu sana umehusishwa na matukio ya ukichaa, ukatili na tabia za kustaajabisha kwa baadhi ya watu.
Hapana jaribu kupitia maandiko yanayoelezea mwezi, mzunguko wake na uzazi hasa hasa pitia astronomy utaelewaKweny ungezeko la watot hapo nakuelewa maan tanzania tu watot wa shule wanapat mimba kwa kasi sas huko kweny lockdown ya coron itakuwaje
Siyo kila post ni ya kisiasa au masihara.Mmhh hil litakuwa linawahus wafuas wa cchhattooh
Siyo kila post ni ya kisiasa au masihara.
Kuna majukwaa ya utani tujifunze ustaarabu.
Kama Magufuli 😀😀😀Hizo athari ni kwa majibu wa Nolle mwaka 1979 na zinaonekana kutokana na mambo makubwa mawili
1.graviti ya mwezi.
2.Mvutano kati ya ganda la Dunia na mwezi.
Lakini athari hizo Nolle hakuzitolea majibu ya kisayansi.
Vipi imeanza kuonekana?Leo ndiyo siku yenyewe
Tuangalie
Mleta mada hiyo saa 13:45 ndio saa ngapi? Una wazimu?
SAA NANE KASORO ROBO MCHANA, au SAA SABA NA DAKIKA AROBAINI NA TANO MCHANA.kwahiyo itkuwa saa saba mchana?
View attachment 1440024
13:45 iko moja tu kwa siku yaani ndani ya saa 24.Mleta mada hiyo saa 13:45 ndio saa ngapi? Una wazimu?
eneo niliko anga ni angavu kabisa lbda libadili gia angani naseti alarm kabisaSAA NANE KASORO ROBO MCHANA, au SAA SABA NA DAKIKA AROBAINI NA TANO MCHANA.
Hadi shule zifunguliwe idadi ya wajawazito itaongezeka. Kuna kadenti yuko kidato cha 4 juzi kati kapimwa ana mimba ya wiki 4.Kweny ungezeko la watot hapo nakuelewa maan tanzania tu watot wa shule wanapat mimba kwa kasi sas huko kweny lockdown ya coron itakuwaje
Kachanganya kingereza na kiswahili.Saa zetu za kiswahili masaa yanaanza saa moja asubuhi kwa saa za Afrika mashariki ina maana akisema saa 13.45 kwa saa za Afrika mashariki kwa masaa 24 in maana saa 13.45 itakuwa saa 1:45 usiku lakini Kama Ni kwa saa 24 za masaa ya uingeteza Hilo tukio la saa 13:45 litakuwa saa 7:45 mchana ndio maana nikauliza hiyo daa 13:45 Ni saa ngapi anaongelea? Kwa saa za Afrika mashariki au kwa masaa ya uingereza.Tusaidie wewe Sasa Hilo tukio litakuwa saa ngapi kwa saa zetu za Afrika mashariki13:45 iko moja tu kwa siku yaani ndani ya saa 24.
Inatokea sasa hivi.Inafakamika kila baada ya miaka kadhaa kutokana na njia ya mwezi angani kuna wakati mwezi kupita karibu sana na na Dunia. Hali hiyo ya mwezi kupita karibu na Dunia ndiyo inayoitwa mwezi mpevu sana ambapo mwezi huonekana kwa karibu na kwa uku wa zaidi kuliko nyakati nyingine.
Tukio hili huambatana na kupewa na kujaa kwa maji, tsunami na milipuko ya kivolkano ingawa athari hizi bado zinafanyiwa tafiti zaidi.