Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ulijuaje police wamebepa AK47 tena gizani? pumbavu kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohooo[emoji144] [emoji15] [emoji144]Ndiyo akili za CCM.
NotedOhooo[emoji144] [emoji15] [emoji144]
Mtoa mada akapimwe Mkojo...Sasa hilo ndo tukio la kuitisha dunia?? Are you serious????
HahahaMtoa mada akapimwe Mkojo...
[emoji1] [emoji1] [emoji1] nlikua nawatetea wasukuma ila mwisho leo ama kwel msukuma alifny tishio la kuitisha duniaMpuuuzi tu! Mbunye ulikosa na hela ukakosa! Naona uliamua kutisha dunia ya wasukuma wa hapo kwenye Costa jingaaaaa!
Ulionane AK47 gizani tena umejificha kama siyo uongo wenu wana-CCM?We jamaa njaa zako zitakuua
Hakika utapasuka kwa chuk mwaka huu
Nan kakwambia mimi ni ccm?
Kwani ukiwa ccm unakuwa si binadamu?
Kweli kabisa. Pole kwa mashambuliziNdo hivo momy usitegemee watu wote wataunga mkono hoja wengine wanakujaga na matus bila hata kujua kilichoandikwa, wengine tu unakuta kavurugwa anataka amalizie hasira kwako