Tukio la kuitisha dunia ambalo nilifanya nikiwa na umri mdogo wa miaka 17

Tukio la kuitisha dunia ambalo nilifanya nikiwa na umri mdogo wa miaka 17

we jamaa una utoto mwingi sana...upunguze ujinga wa kuandika vitu visivyo na maana....tuliza akili....!!ata nikipigwa BAN fresh tu ila nshakufikishia ujumbe.....una utoto mwingi sana toa maziwa kwenye meno ndo uje umu!
 
Aaaahhh ngosha ulinusurika sana wangekudaka ungeozea jera. But nijibu maswali haya.
1.jamaa aliwakimbiza na mbwa navojua sio rahisi kumtoroka mbwa na kumuacha distance kiasi cha kujificha hadi usijulikane ulipojificha. ILikuwaje hapo?
2. Umesema makoye(ngosha)aliliamsha dude had kweny gari na kuamlisha washuke inamaana baada ya polisi kuja hawakuambiwa wapi makoye kakimbilia? Na vipi iliwachukua mda gan had police kufika baada ya kuamlisha washuke ?
 
Sasa hilo ndo tukio la kuitisha dunia?? Are you serious????
Mkuu iv wewe unazan kuteka magar na kusakwa na police wenye SMG huku ukiwa na umuri wa miaka 17 ni kitu kidogo siyo
 
Kama ulitisha dunia kw@ mawe, north Korea na nyuklia zake atasemaje. Mirungi ya wikend huwa nishida sana
Iv wewe unazan unavyokulaga mirung ndo kila mtu anakulaga mirung siyo
 
Back
Top Bottom