Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa hata simuelewi na hizi FIXeeh itakua siku hyo dunia nzima ilikua kwenye coster hadi kina Kim na Trump wote walikuemo [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]my ribs
Fix tu hizi kwanza usitufanye watoto wadogo hapa...Tafuta habari nyingine sio hii ya uongo unayotuaminisha ni True storyMkuu iv wewe unazan kuteka magar na kusakwa na police wenye SMG huku ukiwa na umuri wa miaka 17 ni kitu kidogo siyo
Fix tu hapa hamna kitueti dunia inatishwa kwa mawe kupangwa barabarani na zana za kilimo panga na fyekeo!!!haaa haaa haaaa
mimi nikiwa na miaka 8 nilikua natumiwa na majambazi usiku wananipitisha dirishanini naenda kufungua mlango wanaingia tunapuliza dawa watu wanasinZia tunaiba pia kama madirisha yalikua magumu tulukua tuna toboa tundu ukutani kwa kutumia chemical wananipitisha naingia ndani tunafanya yetu ulizawatu wa kiloleli pasians Isamilo Kilimahewa Nyamanoro ndo mitaa tuliiiba saana ww hukuiba ila ulishikwa na hasira baada ya kukosa utamu[emoji23] [emoji23]Yaan we jamaa bhana una mawazo finyu sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] halafu anatuaminisha eti ni True story kumbe Changamsha genge tuAkikua ataacha ndio yuko kwenye stage za kubalehe.
angesema tukio la kuitisha coster iliobeba watu wa duniani hapo sawaHuyu jamaa hata simuelewi na hizi FIX
usimlaumu labda ndio maana anajiita baby boywe jamaa una utoto mwingi sana...upunguze ujinga wa kuandika vitu visivyo na maana....tuliza akili....!!ata nikipigwa BAN fresh tu ila nshakufikishia ujumbe.....una utoto mwingi sana toa maziwa kwenye meno ndo uje umu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Koromijehata koromije nayo ni dunia
story ya kutunga hiiangesema tukio la kuitisha coster iliobeba watu wa duniani hapo sawa
ila namshukuru imenifunza kitu kwamba nisanyapie watoto wa watu usiku nitauawastory ya kutunga hii
ahaha sawa mkuu kuwa makiniila namshukuru imenifunza kitu kwamba nisanyapie watoto wa watu usiku nitauawa