Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

[emoji23][emoji23][emoji23]

Hata Mimi ninajiuliza swali hilo na amesema kwamba walipo rudi porini walikuwa wakizipekua maiti na kupata madonge ya dhahabu,Sasa hizo dhahabu hazikutosha kuwatajirisha?vinginevyo hii ni hadithi ya kutunga.

Ungewahi kufanya hii biashara usingeuliza swali kama hilo...
Mimi ni Mdau wa hii biashara unaweza kutengeneza hata 600M na bd zikaisha ukatumia 300M Mia tatu nyingine ikaliwa ma shimo tena ..
Aiseeh hii kazi ni ngumu mno
 
Yaaani...Pesa bhana...watu wanakufa Kama kuku wa mdondo...alafu mnawapekua wakati hamkutakiwa kuwashika Kwasababu ya Ugonjwa.

Duuuuh

Mimi namikasa Yangu yamaisha Yangu natamani kuhadithia....siku ntakuja na ID Feki
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Wakulifind wakuliget
 
Ungewahi kufanya hii biashara usingeuliza swali kama hilo...
Mimi ni Mdau wa hii biashara unaweza kutengeneza hata 600M na bd zikaisha ukatumia 300M Mia tatu nyingine ikaliwa ma shimo tena ..
Aiseeh hii kazi ni ngumu mno
Wachaaa weee[emoji13][emoji13]
 
Mchimbaji maisha yake anatembea na sururu ndogo tu wanaita MOKO hivyo akiambiwa ahame au Kuna machimbo mapya yanatema dhahabu wala hana cha kubeba zaid ya sururu yake na kusepa, wengi wao hawajarudi nyumban kwao kwa miaka mingi sana maisha yao yamekua ni ya kuhama hama kwenda machimbo mapya sehem anaposikia dhahabu imetema.

Mchimbaji akipata hela huwa anaitumia kwa fujo kunywa pombe, kulala na wanawake tofautitofauti wanaojiuza maeneo ambayo yako pemben na machimbo ambapo huwa wanaanzisha mji wa dharura ambapo panapatikana kila kitu, gesti za mabati,bar za mabati zenye mziki mzito kama upo town kumbe uko porini , na migahawa kwaajili ya chakula maeneo wanapo pata huduma hizo ndo hayo wao wanaita MATANDA .

Ukikuta Hawa jamaa wanakula pesa zao we waache tu wale wanazipata kwa mateso makubwa sana, mfano... Kuna maeneo ya shinyanga watu walifunikwa na udongo wakiwa ndan ya mashimo walikaa siku 42 wakiwa ndan ya ardhi lakin baadhi wengi walifariki na walipona watatu tu baada ya kuchimba kwa siku 41 ndo wakapata maiti na watu wa3 waliokua kwenye Hali mbaya Sana, wao wanasema walikua wanakula mende na baadhi ya wadudu kwa muda huo wote, lakin baadhi ya story inasemekana ilifika hatua wakaanza kula nyama za wenzao waliokufa ili wasife, nafikiri habri ya watu kufukiwa shinyanga ipo hadi YouTube..

Story za machimbo ukiambiwa unaweza kudhani ni movie au unadanganywa ila watu wanapambana sana na maisha
Story ya jamaa inanikumbusha 2005/2006 Nyakahura katikati ya msitu mzito Sana na 2016 October pale msitu wa council Ushirombo Bukombe...waliowahi kaa machimboni au miji ya machimbo tunamwelewa jamaa...ingawa anaweza kuwa ametunga story yake lakini inaakisi uhalisia wa maisha ya migodini
 
Miaka 16 braza utakuwa usd za kutosha sasa..pumzika kula maisha[emoji2][emoji2]

Wala sio brother na mimi sikua mchimbaji nilianza kununua kidogo kidogo na kuwezesha wachimbaji.... Mbona mimi bd sana hata 40 sina[emoji16][emoji16][emoji16]...
Nashukuru niko mahali sijutii hii kazi kabisa pamoja na matatizo yake mengi ila imenitoa mbali na kunifikisha nisipopatarajia
 
Uliza jambo lolote kuhusu Bahari
Ukipata muda msome humo [emoji2] [emoji2]
Mkuu ndio nimemaliza kuupitia[emoji28][emoji28][emoji28]
Yule mvuvi ni tatizo, kwanza ye maswali anajibu yale tu anayoamua, halafu katika maswali 50 anaweza kujibu matatu tena juu juu au akajibu tofauti na yalivyoulizwa,
Sema ule uzi umenifurahisha sana

Asante mkuu kwa kunipa burudani
 
Dah, pole sana dada yangu kwa kukukera, tatizo nje ya hapa kuna watu nawao wananigoja, ili mipango iende.
Ila nakuhakikishia nitaimaliza.
Sawa mkuu nashukuru, hata hivyo hukuwa umenikera sema ulitusubirisha sana

Nategemea leo utakamilisha (watu wa kitaa huwa wanasema zege halilali)

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom