Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

😃😃 Ameniquote juu hapo. Alikua ananifurahisha tu
 
Part II
 
Part III
 
Yaani yule jamaa alinidissapoint sana
Nilitegemea kujua mengi nikaishia kusoma malumbano ya mabaharia
 
Part IV
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzee Kitoabu nawe upo kwenye list ya waleta faraja humu jf japo Kuna wengine tunawadai mastori wa Kwanza

jerrybanks na stori yake ya Mambo ya giza mwingine yule msimuliaji wa Vita ya Rwanda

Bossless sema simu yake ilipasuka stori ikaanza kuwa na utata japo tunamdai aje mwingine mzee wa Swizz

Parabora huyu Mwamba naomba uje na ID nyingine alete vitu vya Europe na malysia, Singapore huko, mwingine n

digba sowey na stori ya kushuudia uchawi sema ule Uzi ulivamiwa na walolokole mbaya zaid n single mamaz waliaribu Uzi, yule

jooohs na story yake ya masharti ya kutumia Dawa kutoka jwa mganga ili pesa zimtafute

Habibu B. Anga aendelee kuwauzia tuu wasioelewa stori za kucopy na kutafsir japo kutafsir n Kaz Ila kuuza sio mzee.

Kwa ujumla mnatupa vitu ambacho vipo Ila kwa maana nyingine sie wengine hatujakutana navyo na vinatupa funzo zuri katka maisha hvyo msisite kuleta stori Kama hzo Kwan usisimua akili na funzo pia hvyo tunawaomba mrejee kwenye nyakati za dhama zetu
 
Shukrani mkuu
 
Aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…