Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Mkuu ndio nimemaliza kuupitia[emoji28][emoji28][emoji28]
Yule mvuvi ni tatizo, kwanza ye maswali anajibu yale tu anayoamua, halafu katika maswali 50 anaweza kujibu matatu tena juu juu au akajibu tofauti na yalivyoulizwa,
Sema ule uzi umenifurahisha sana

Asante mkuu kwa kunipa burudani

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Tatizo watu walikuwa wanauliza maswali ya darasani kwa mvuvi
 
Tuendelee kunywa mtori nyama tutazikuta chini.maana msimuliaji wetu maneno anayotumia kujibizana na watu humu ni mengi kuliko hata anayotumia kuandika vipande vya story yake[emoji2][emoji2][emoji2]

Sasa mnamchosha..
Mnataka kumfanya kama mtu hana maisha mengine au kazi za kufanya kazi yake iwe kuandika tu !
 
Back
Top Bottom