Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

hahahahahahaa et anafunua neti na yeye aingie sasa nmevuta picha jamaa alivyokuwa anapanda na ndevu zake....majini wana mikwara sana..
Yaani ninavyosimulia hapa, picha kamili inanijia kichwani kwasababu nakumbuka Kila kitu mpaka sura yake ingawa ilikuwa usiku. Mkuu acha kabisa kuonana na viumbe hivi
 
Daah Babu umeongea slang za kiswahili Cha zamani sana
 
Ebola hio baba.
 
Hahaha.
 
Nzuguni gani hiyo ambayo iko chamwino
 

Nimehangaika kulipata hili jina😬

Cc: Chumchang Changchum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…