Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Basi ngoja niishie hapa then nitaianzishia uzi wake
Jimena
Mkuu vipi malizia hapa hapa, mbona kila kitu kinaeleweka, sema labda kama unataka kuanzisha uzi wako tu mwingine ila hata hapa mambo yameenda poa tu. Kama utaamua kuanzisha uzi basi tupe taarifa humu kua umeuanzisha au utaunzisha lini tuje tumalizie hapa ulipoishia.
 
sawa kabisa mwaha, eneo hilo ni la JWTZ kambi ya Ihumwa, yaani unapopanda ule Mlima wa Nzuguni unachepukia kushoto, ukiacha kulia ni barabara ya kwenda UDOM, maeneo hayo ya kushoto ndipo kwenye dhahabu, kuna jamaa mmoja mpaka leo alilinunua eneo hilo ana kaofisi pale Airport kaofisi ka zamani kwenye puto, hayo machimbo enzi hizo nilienda kibiashara kupeleka soda, mama mzazi akipeleka msosi wa kuuza. Umenikumbusha mbali
 
Nyakahura miaka hii kumejaa watu ,shule ,mnada na miembe hmn Poli by 2015 mpk sasa hii 2020
 
Mbona me show niliimaliza kitambo.
Labda siku nyingine nikifurahi ama nikilikumbuka tukio lolote nitawawekea.
Kweli Mkuu uliimaliza post # 621
Dunia hii mwanamume ni kutafuta na kuhangaika, na mm Kitoabu nina kastori nitakatengeneza nikalete, niliingia machimbo huko Kilosa Kijiji cha Mkadage tukakuta pango eti Mjerumani kaacha mali Dhahabu, alimas magari, mafaili yakeya utawala mpaka na nyuklia, acha tuchimbe km mita 50 chini zaidi na oxygen unahisi kukosa, sina hamu hatukupata mpaka leo, na bado nimeacha wenzangu wanachimba upande mwingine kwani pale walikosea, ni kambi hasa inajulikana huko Kilosa
 
Kwa kweli hii si story tu bali ni elimu pia

Sent from my itel A11 using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa natumia simu. Itabidi nianzishe uzi wake hili jambo. Mwanzo nilijua nitaweza kuifupisha lakini kadri niendeleavyo nashindwa kuifupisha kama nilivyotaka
tutajuaje km umeuhamisha huu uzi wa pete ya dhahabu ba kidani chekundu
hebu malizia humuhumu itanogo
sasa hali ya mitandao sio mizuri kila kitu wanadhani ni siasa kwa hiyo kugundua wapi kuna uhondo ni shida, labda utatuhamisha kwa link au kutag
Hongera kwa kutuweka sawa

Heisenberg

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…