Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Nyumba za kuprint mkuu zipo sio Jambo la kufikirika
 
Apo mwishoni sijakupata vizuri mkuu
 
Hii brother angu, Mtoto wa mama Mkubwa alinipa juu kwa juu hakutaka kwenda deep alishia kulia, Al maarufu Ras K, toka Mbeya CHUNYA, uroho wa dhaabu ulishia hapo na kwenda kulima Zabibu Dodoma kwa sasa ni marehem Ailfarikki miaka miwili baada ya kutoka Msumbuji, na mchizi wangu mwingine yupo geita kawa kama chizi hivi toka atoke msumbuji yeye alikuwa na duka huko alikimbia na kuliacha
 
Dah story yako ni ya kwel. Mm naish Cabo del gado. Baada ya kumaliza chuo SAUT 2015 coz ya education nilipitia maisha magum sana kulingana na background yang so nkajiingiza kwenye biashara ndogo ndogo hatimae 2019 mwez wa 6 nkafika mozambique. Hapo nikiwa na ml 5 sawa na MT 160000 ya huku. Nkaanza kununua gold kwa wachimbaji nauza Jimbo la nampula ambako soko nizur, sometimes Pemba, Tz pia. Now na mshukuru Mung sana maake pamoja na degree yang hata ningepata ajira nisingekua na mtaji mkubwa huu nilio nao kwa sasa. Nauwezo wakuchagua niishi wapi na ni furahie vp na nmekua msaada kwa ndg hata na marafk zang. Ml 100 huku usipokua mlevi na mvivu ni suara la mwaka tu mambo yakikunyokea ukianza na mtaji tajwa hapo juu. So kwa story hii nikwel coz eneo hlo now watu wanaliita MOCHWARI coz mifupa ya watu kitu cha kawaida eneo hlo n hakuna anaejar. Mtu anajar kilichofikisha huku sio anachokutana nacho mtu mwingne. Mtoa maada ntakutafta tuonane. MAPAMBANO YA NAENDELEA
 
Ukifanikiwa kukutana na Kitoabu mpe salamu zangu,
Mniletee na dhahabu basi nichonge mnyororo kama ile wanayovaa wale madrug dealer maana huwa ni minene[emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Yaaani...Pesa bhana...watu wanakufa Kama kuku wa mdondo...alafu mnawapekua wakati hamkutakiwa kuwashika Kwasababu ya Ugonjwa.

Duuuuh

Mimi namikasa Yangu yamaisha Yangu natamani kuhadithia....siku ntakuja na ID Feki
Duh uko vizuri bibie, we njoo tu bebilakeee
 
Nilikuwa naamini kama wewe lakini yalinikuta, hadi nywele walinyoa usiku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…