Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Dah story yako ni ya kwel. Mm naish Cabo del gado. Baada ya kumaliza chuo SAUT 2015 coz ya education nilipitia maisha magum sana kulingana na background yang so nkajiingiza kwenye biashara ndogo ndogo hatimae 2019 mwez wa 6 nkafika mozambique. Hapo nikiwa na ml 5 sawa na MT 160000 ya huku. Nkaanza kununua gold kwa wachimbaji nauza Jimbo la nampula ambako soko nizur, sometimes Pemba, Tz pia. Now na mshukuru Mung sana maake pamoja na degree yang hata ningepata ajira nisingekua na mtaji mkubwa huu nilio nao kwa sasa. Nauwezo wakuchagua niishi wapi na ni furahie vp na nmekua msaada kwa ndg hata na marafk zang. Ml 100 huku usipokua mlevi na mvivu ni suara la mwaka tu mambo yakikunyokea ukianza na mtaji tajwa hapo juu. So kwa story hii nikwel coz eneo hlo now watu wanaliita MOCHWARI coz mifupa ya watu kitu cha kawaida eneo hlo n hakuna anaejar. Mtu anajar kilichofikisha huku sio anachokutana nacho mtu mwingne. Mtoa maada ntakutafta tuonane. MAPAMBANO YA NAENDELEA
KUMEKUCHA, mwenye kusikia na asikie
 
Duuh...

Pole sana ukhty...that was really a havoc....evil spirits are rampant in our houses yaani bora mkautafuta huo msaada

Dua na visomo nyumbani kila baada ya muda kupita ni muhimu.

Wakati wa kulala nyinyi ama hata kids unaweza kuwapaka mafuta ya "misk" kama haiwasumbui(allergies)....

Usiache kutumia MREHANI(kivumbasi) na chumvi ya mawe katika kuoga mara mojamoja...

Nyumbani kwako kama una space panda MKUNAZI...."hawaupendi".
Mkunazi ndo mti gani mkuu
 
Dah story yako ni ya kwel. Mm naish Cabo del gado. Baada ya kumaliza chuo SAUT 2015 coz ya education nilipitia maisha magum sana kulingana na background yang so nkajiingiza kwenye biashara ndogo ndogo hatimae 2019 mwez wa 6 nkafika mozambique. Hapo nikiwa na ml 5 sawa na MT 160000 ya huku. Nkaanza kununua gold kwa wachimbaji nauza Jimbo la nampula ambako soko nizur, sometimes Pemba, Tz pia. Now na mshukuru Mung sana maake pamoja na degree yang hata ningepata ajira nisingekua na mtaji mkubwa huu nilio nao kwa sasa. Nauwezo wakuchagua niishi wapi na ni furahie vp na nmekua msaada kwa ndg hata na marafk zang. Ml 100 huku usipokua mlevi na mvivu ni suara la mwaka tu mambo yakikunyokea ukianza na mtaji tajwa hapo juu. So kwa story hii nikwel coz eneo hlo now watu wanaliita MOCHWARI coz mifupa ya watu kitu cha kawaida eneo hlo n hakuna anaejar. Mtu anajar kilichofikisha huku sio anachokutana nacho mtu mwingne. Mtoa maada ntakutafta tuonane. MAPAMBANO YA NAENDELEA
Duu ebana hongera sana, yani nafikiria huko unamwaka na kitu hivi, tayari umeanza kuchagua sehem ya kuishi!!!?
 
Dah story yako ni ya kwel. Mm naish Cabo del gado. Baada ya kumaliza chuo SAUT 2015 coz ya education nilipitia maisha magum sana kulingana na background yang so nkajiingiza kwenye biashara ndogo ndogo hatimae 2019 mwez wa 6 nkafika mozambique. Hapo nikiwa na ml 5 sawa na MT 160000 ya huku. Nkaanza kununua gold kwa wachimbaji nauza Jimbo la nampula ambako soko nizur, sometimes Pemba, Tz pia. Now na mshukuru Mung sana maake pamoja na degree yang hata ningepata ajira nisingekua na mtaji mkubwa huu nilio nao kwa sasa. Nauwezo wakuchagua niishi wapi na ni furahie vp na nmekua msaada kwa ndg hata na marafk zang. Ml 100 huku usipokua mlevi na mvivu ni suara la mwaka tu mambo yakikunyokea ukianza na mtaji tajwa hapo juu. So kwa story hii nikwel coz eneo hlo now watu wanaliita MOCHWARI coz mifupa ya watu kitu cha kawaida eneo hlo n hakuna anaejar. Mtu anajar kilichofikisha huku sio anachokutana nacho mtu mwingne. Mtoa maada ntakutafta tuonane. MAPAMBANO YA NAENDELEA
Kaka nimekupm,nipo mahenge moro hapa
 
Shetani hana nafasi kwangu,dunia ni pana sana ndugu hata vitabu vitakatifu watu wanachanganyikiwa wakiona Nuhu alizini na bintiye,Rutu naye ilikua mipango yake yeye aliyeweka sheria,baya ama zuri si chaguo letu kamwe hatma huamua nimejifunza sana haya katika maisha usinyooshe kidole kwa mtu bila kujua Mungu anafanya lipi kwake
Ila WeWe Kaka unaongea vitu havieleweki!mara unasali Sana mara unafuga mashetani ulisikia wapi mafuta na maji vinachangamana?
 
Hivi unajua nipo lunch my dear? Nakula alafu nirudi ofisini. Huko nitaangalia Kama nitapata nafasi niendelee maana haya mambo sikia tu kwa mwengine. Sikuwa na mpango wa kusimulia hiki kitu na ni mara yangu ya kwanza kusimulia. Dhahabu siitaki kabisa maana kila nikimuona mtu ameivaa iwe kidoleni au shingoni hii kumbukumbu inanijia na mpaka sura ya yule mzee wa kiarabu (jini nani sijui tuliambiwa nishasahau jina lake) naikumbuka mpaka sasa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]leo nimefurahi sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wadau wa dhahabu Kuna aliewahi kumtumia hizi mashine, naomba anipe matokeo yake na kama kweli zinafanya kazi ipi ni mashine nzuri, nataka kuagiza
Screenshot_20201019-201814.jpg
 
Back
Top Bottom