Tukio la Lissu: Dhana 3 za msingi ambazo zinatokana na ‘mchujo’ wa dhana mbalimbali

Nilileta mada yenye msingi huu ikatiwa kapuni ....I wish ningekuwa ni maarufu kule twitter ili mada yangu iletwe JF.

By the way nimeshangazwa na ukimya wa EL kuhusiana na tukio hili.
Hujashangazwa na UKIMYA WA JK,TULIA,SLAA,RC SINGIDA,RC DSM,

May Allah bless Me and You
 
August 9, 2017
Dodoma, Tanzania

BREAKING: Watu 30, Magari 8 yakamatwa baada ya Lissu kupigwa risasi
Ikiwa ni siku mbili zimepita tangu kutokea kwa tukio la kushambuliwa kwa risasi Mbunge wa Singida mashariki Tundu Lissu akiwa nyumbani kwake Dodoma.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, SACP Gilles Muroto amekutana na Waandishi na kutoa taarifa ya Polisi kuwakamata watu 30 na magari 8.
Source: Millard Ayo
 
Imani ni kitu cha hiari. Hili tukio sio zuri hata kidogo. Serikali haina mkono unaotetemeka katika kutimiza azma yake.
Mchambuzi ameelezea vizuri sana jinsi mambo yanavyokwenda. Kuna mambo hayajanyooka kama wengi tunavyopenda kusikia.
Nakubaliana na uchambuzi wa Chahali maana unaweka sehemu ya kuanzia, bila kuhukumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alichokizungumza Rais Magufuli kuhusu Maalim Seif kukataa mkono wa Rais Shein

 
Rais wa Zanzibar Dkt Shein asema ''serikali yake haitishiki na tishio la kukatiwa umeme na kama utakatwa tutawasha vibatari vyetu, ila sidhani hali itafikia huko maana siyo kawaida yetu Tanzania''.

 
dhana ya kwanza dola.. kwa jinsi tukio lilivyofanyika dhana hii inakosa nguvu kwasababu kama ni dola wangelichagua watu makini,pia dola inasehemu nyingi za kumpata mhusika tofauti na njia hiyo,chengine dola inafahamu umaarufu wa mtu husika na namna alivyo kwa watu,huoni kama kufanya hivyo kunauwa imani ya wananchi kwa dola..?

Dhana ya tatu.. imekuwa ikisadikika kuwa lisu anatumika na wazungu! maana imekuwa ikionekana akiwatetea wazungu kuhusiana na swala la madini.. sasa kama ni wazungu ndo wametekeleza hivyo,kutokana na wazungu kuwa watu makini ktk utekelezaji wa matukio unafikiri wanaweza kufanya ujinga kuweka watu wasio makini ktk kutekeleza tukio lile..?
kwa namna ya ushambuliaji ule ni dhahiri adui alitaka kuondosha uhai! sasa iweje wateuwe watu wahovyo wkt wanataka kuondosha mtu atakaeleta mtafaruku nchini,pia mbona hata kama wangekuwa wanamtaka kutokana na kuwa na ujasusi wa hali ya juu unafikiri hiyo ilikuwa njia sahihi kwao kutumia..?
kwakuwa lisu ni wakili hufikiri anaweza kuwa adui wa mtu binafsi?
 
Hotuba ya Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Hamis Juma baada ya Kuapishwa, IKULU na Rais John Pombe Joseph Magufuli
Katika tukio muhimu ambapo pia wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kama Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Tanzania (JWTZ /TPDF) General Venance Mabeyo, Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Simon Sirro, Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa Dk Modestus Kipilimba, Mawaziri akiwemo wa wizara ya Katiba & Sheria Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju n.k walihudhuria tukio hilo la Jaji Mkuu kuapishwa:
  • Awasifu Majaji Wakuu waliomtangulia Majaji Mohamed Chande Othman, Augustino Ramadhani, Jaji Barnabas A. Samatta, Jaji Francis Nyalali
  • Utawala bora ili wananchi kuwa na imani na Mahakama, vyombo vya ulinzi na Usalama na balance ya mihimili mitatu ya Dola yaani Serikali, Mahakama na Bunge kutambua nafasi zao na kuziheshimu.
  • Mahakama haitakasirika kuhusu tuhuma za utendaji mbovu wa Mahamaka, tutazifanyia kazi kurekebisha mapungufu
  • Changamoto kunahitajika mahakama za mwanzo za kujenga nyingine 77 ili kukidhi mahitaji ya Mkoa wa Dsm pekee yake.
  • Majengo ya Mahakama yamechoka
  • Mahakama Kuu inaupungufu wa majengo ya Mahakama za ngazi hizo mikoani
Source: Life update
 
Nicca u nailed...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…