Tukio la mauaji ya Polisi eneo la Selander si bahati mbaya

Tukio la mauaji ya Polisi eneo la Selander si bahati mbaya

Wewe kwa akili yako kama Mtu aliweza kupokonya Polisi wawili bundukina muda ule anazo zote mbili vipi angeanza kumiminia raia risasi???? Sijawahi sikia polisi sehemu yoyote duniani wanakomaa kutaka kumshika mtu akiwa hai wakati wanaweza kurisk na kusababisha maafa zaidi... Shoot to kill ipo na sababu zake Risk ikizidi benefit hakuna maana tena hiyo Network yake itashikwa tuu labda kama alikuwa hana back up.
Polisi walimuua baada ya muda gani, je hakukuwa na raia?
 
Leo kumetokea tukio baya sana kwa Usalama wa nchi yetu labda ni tukio baya sana kuwahi kushuhudiwa toka matukio ya enzi za Mauaji ya KIBITI yaliyolikumba nchi yetu enzi zile za Rais Magufuli sijui nini maana yake lakini Hii sio bahati mbaya.. yes sio bahati mbaya! Habari za kuuliwa polisi watatu haiwezi kuwa jambo ambalo limetokea bila mpango wala plan yoyote hasa Ukizingatia repoti inasema jamaa alikuja na BASTOLA tu then aliua mapolisi wetu na kukusanya zile Bunduki alizokuwa nazo na kuanza kushambulia askari wengine.

Na lazimika kusema kuwa Raia hawakuwa Priority kabisa ya yule jamaa maana wakati ameshapokonya silaha 2 tayari kulikuwa na Bus lenye abiria kibao na wengine wachache wakitembea kwa miguu sitaki kumuhusisha na Ugaidi wala tukio hili na Dini yake lakini hii ni Msg mbaya sana iliyotumwa kwa usalama wa nchi hii. Sasa kuna haja ya askari wetu kuwa makini zaidi hasa wanapokuwa lindo yani hii imekuwa Vita sasa yule jamaa naamini zile bunduki ilikuwa ndio plan yake but Why aliishia kuuliwa tu kwa majibizano ya risasi na polisi?

Imebaki kuwa fumbo ambalo ipo siku linaweza patikana jibu pia Akili inanituma lengo lake lilikuwa ni zile silaha lakini mpango uliopangwa baada ya kupora zile silaha uliharibika ndio maana hakuwa na namna zaidi ya kuanza kufight na polisi so its like a deal went wrong kwenye plan flani ambayo hakuna aneijua labda yeye Angekamatwa akiwa hai angeweza kusema. Lakini pia ubalozi wa ufaransa inawezekana ulikuwa moja ya target yote haya yanabaki kuwa maswali yasiyokuwa na Majibu mpaka pale uchunguzi wa kina utakapofanyika kama ule uliogundua Majambazi wa Mapango ya amboni ambapo ilianza kama movie.

Ilikuwa sahihi kuuliwa maana mtu aliekuja na bastola lakini akakusanya Bunduki 2 zenye risasi unaanzaje kuwaza kumshika bila Kumdhuru kwa risasi? Pongeza nyingi ziende kwa Jeshi letu kwa kumdhibiti yule mtu lakini Kama Sehemu salama Maeneo yale ya Ubalozi wa Ufaransa limetokea jambo baya kama lile na kudumu muda mrefu vile pamoja na usalama uliopo yale maeneo bhasi polisi wetu washtuke sana na kujipanga upya.

View attachment 1908174
Too much of this. Tafuteni mawazo mengine badala ya kutumia tukio kutafuta ujiko kirahisi. We all know what has happened
 
Wewe kwa akili yako kama Mtu aliweza kupokonya Polisi wawili bundukina muda ule anazo zote mbili vipi angeanza kumiminia raia risasi???? Sijawahi sikia polisi sehemu yoyote duniani wanakomaa kutaka kumshika mtu akiwa hai wakati wanaweza kurisk na kusababisha maafa zaidi... Shoot to kill ipo na sababu zake Risk ikizidi benefit hakuna maana tena hiyo Network yake itashikwa tuu labda kama alikuwa hana back up.
Shoot to kill policy ipo lakini pia "special trained marksmen" huwa waangalia "opportunity" ya kukupata ukiwa hai ili wapate mawili matatu juu yako.

Ikiona mtu auawa tu ni kwamba wanashindwa kukudhibiti kwa muda fulani na kuna "standoff" inoelekea kuleta madhara zaidi itabidi wakuuwe.

Na "marksmen" huvaa uniform na pia huvaa kiraia ili kumzuga yule mbeba silaha.

Hata hivyo jamaa kauawa na hakutakuwa na muendelezo wowote wa kesi.

Tuchukulie hii kesi itakuwa closed soon.
 
Shoot to kill policy ipo lakini pia "special trained marksmen" huwa waangalia "opportunity" ya kukupata ukiwa hai ili wapate mawili matatu juu yako.

Ikiona mtu auawa tu ni kwamba wanashindwa kukudhibiti kwa muda fulani na kuna "standoff" inoelekea kuleta madhara zaidi itabidi wakuuwe.

Na "marksmen" huvaa uniform na pia huvaa kiraia ili kumzuga yule mbeba silaha.

Hata hivyo jamaa kauawa na hakutakuwa na muendelezo wowote wa kesi.

Tuchukulie hii kesi itakuwa closed soon.
.Mimi kwa mtazamo wangu Naina tukio hili ni la kupanga.
 
Shoot to kill policy ipo lakini pia "special trained marksmen" huwa waangalia "opportunity" ya kukupata ukiwa hai ili wapate mawili matatu juu yako.

Ikiona mtu auawa tu ni kwamba wanashindwa kukudhibiti kwa muda fulani na kuna "standoff" inoelekea kuleta madhara zaidi itabidi wakuuwe.

Na "marksmen" huvaa uniform na pia huvaa kiraia ili kumzuga yule mbeba silaha.

Hata hivyo jamaa kauawa na hakutakuwa na muendelezo wowote wa kesi.

Tuchukulie hii kesi itakuwa closed soon.
Sidhani kama Huyu mtu hakuwa na mawasiliano na mtu yeyote kabisa... Kwa technolojia ya siku hizi vitu haviwezi kuishia hewani kama hivyoo mkuu...!! Jana tu polisi wameeenda kuwachukua ndugu zake so hii haiwezi kuishia hewani hivyoo.. Either ilipangwa au jamaa alikuwa na ugomvi wake binafsi na Polisii lazima conclusion itapatikana
 
Wewe kwa akili yako kama Mtu aliweza kupokonya Polisi wawili bundukina muda ule anazo zote mbili vipi angeanza kumiminia raia risasi???? Sijawahi sikia polisi sehemu yoyote duniani wanakomaa kutaka kumshika mtu akiwa hai wakati wanaweza kurisk na kusababisha maafa zaidi... Shoot to kill ipo na sababu zake Risk ikizidi benefit hakuna maana tena hiyo Network yake itashikwa tuu labda kama alikuwa hana back up.

Hamna ulichoongea. Get Maturity!
 
Wewe kwa akili yako kama Mtu aliweza kupokonya Polisi wawili bundukina muda ule anazo zote mbili vipi angeanza kumiminia raia risasi???? Sijawahi sikia polisi sehemu yoyote duniani wanakomaa kutaka kumshika mtu akiwa hai wakati wanaweza kurisk na kusababisha maafa zaidi... Shoot to kill ipo na sababu zake Risk ikizidi benefit hakuna maana tena hiyo Network yake itashikwa tuu labda kama alikuwa hana back up.

Sikia wewe Mwaisa, kubali au kataa nchi hii haina Contigency Plan dhidi ya state Security.

Polisi wetu wana respond to outcomes badala ya kurespond to stimulus.

Kwanza, mtu mmoja aliyekuwa na Bastola ndogo ameuwa Askari wa kutosha, mtu huyo huyo amepokonya silaha zao zote. Akatamba for more than fifteen minutes. HATA kurusha risasi ni tatizo kwao. Ni aibu ni aibu nchi hii chini ya CCM .

Polisi wote wa jiji hili walijaa lile eneo , mtu mmoja tu alijaza polisi wote wa Dar.

Mtu mmoja tu zimepotea risasi si chini ya 20: nina imagine kuwa wangekuwa 5 kama wale , nadhani tungeitaji msaada wa Jeshi la wananchi.

Hili ni TATIZO . Wenzetu wakenya walipata akili kwenye uvamizi wa ile supermarkets: wamekuwa wakijitahidi sana ku respond kwa matukio kama haya. Nadhani sisi tumejisahau, akili zipo kwenye kubambikia watu kesi za ugaidi.

Polisi wa nchi hii ni wahuni, wavuta bangi, walevi na hawajui kuishi na Raia na hawana any Intelligence mind ya kuwa aware all the time.

Inawezekana vipi nyie polisi anakuja mtu out of no where and you all relax, ni mafunzo gani hayo ya Usalama waliyopitia. Na usikute walikuwa wamelala.

Kwanza polisi aliyepitia mafunzo hawezi kuruhusu kusogelewa kwenye eneo lake to that extent na Mtu asiyemjua au kuhakiki usalama. Only in Tanzania.

Na hii should tell us kwamba hatuna usalama nchi hii, na polisi wetu ni aidha hawajui au m hawajapelekwa mafunzo ya contigency plan .

Kifupi polisi hawana ishu ni mapumbavu for as long as wanaongozwa na CCM .

Mbaya zaidi recrutement process yao ndio utashika kichwa.

Tukubali kwamba CCM haina jipya na haina pa kutupeleka. Ili nchi hii iwe na nidhamu, CCM lazima itoke vinginevyo UPUMBAVU wao hautokuja kwisha.

Tukubali kwamba nchi hii watu hawajaamua kufanya matukio, lakini wakiamua, hakika tutaumia wengi, state security ya nchi hii ni makolokolo.
 
Back
Top Bottom