Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
CCM ina watu wabovu sana kwenye kitengo cha propaganda, kufanya uteuzi wa Paul Makonda kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM kama spinning ya kuzima mjadala na fikra tunduizi kwa tukio la aibu la Mkataba wa Bandari ni timing mbovu na imekuwa miscalculated.
Falme za namna hii hizi ni nyakati za mfa maji haachi kutapatapa hata akiambiwa kunya Kisha ule mavi Yako kunusuru uhai wako atakula tu.
Yetu macho tukutane jumatatu kwenye vijiwe vyetu CCM imechoka na imeamua kujivika kitanzi cha hiari.
Itoshe sasa
Wadiz
Falme za namna hii hizi ni nyakati za mfa maji haachi kutapatapa hata akiambiwa kunya Kisha ule mavi Yako kunusuru uhai wako atakula tu.
Yetu macho tukutane jumatatu kwenye vijiwe vyetu CCM imechoka na imeamua kujivika kitanzi cha hiari.
Itoshe sasa
Wadiz