JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Mmoja kati ya ndugu wa familia hiyo iliyokuwa ikiishi Temeke jijini Dar es Salaam, amedai kuwa tukio hilo limetekelezwa na watu kwa sababu majeruhi wamekutwa na alama za kupigwa kwenye miili yao.
Maelezo hayo, yanapishana na maelezo yaliyotolewa na baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo na kuzusha utata mkubwa.
Chanzo: Global TV Online
Pia soma > Dar: Watu wanne wa familia moja wafariki baada ya kuvuta hewa chafu ya jenereta