Tukio la Rais Kikwete, Dr. Shein kukabidhiwa Rasimu ya pili na tume ya Katiba - Karimjee Hall

Bunge la Katiba lina uwezo wa kubadili kila kitu kwenye rasimu(DRAFT) constitutional.
hivi kweli kuwa hii inshu imevamiwa na wanasiasa kiasi cha CC ya CCM kuanza kuijadili kabla ya kukabidhiwa rasmi?
 
warioba kashaanza kusoma, kwa kusema kuwa kazi waliyopewa wameimaliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…