Warioba anaonyesha kujiamini sanaaa nadhani anajua lengo lake la kuinyonga ccm linaenda kutimia...ccm ndo basi tena inaenda kukata roho...
nikupe like kwa lipi?
wewe unadhani kwa lipi.
Nimependa hii statement "tume kwa kuzingatia maoni ya wananchi"
Nimependa hii statement "tume kwa kuzingatia maoni ya wananchi"
Nimekusoma mkuu weka maphoto boss