mimi nimesikitika kuwa hawa wabunge wetu kina mnyika,msigwa,sugu,lema hawawezi kuwa mawaziri tena hata kama cdm watakamata madaraka.
Apongezwe JK. Waliokuwa wanamtukana wanajitukana wenyewe
Watioba mzee wetu utakumbukwa kaza.
Badili rangi ya maandishi yako ndipo nisome umeandika niniPamoja na kumpongeza JK kwa kutokuziba masikio... Ila pongezi zaidi ni kwa wale waliokuwa na ujasiri wa kudai bila kuchoka pamoja na kubezwa lakini waliweza kusimama imara hatimaye watawala wakaona ukweli na umuhimu wa Katiba mpya.. So bila watu kudai JK pamoja na CCM yake hawakuwa na mpango wa Katiba mpya pamoja na mfumo uliopo kushindwa kutufikisha popote kwa miaka 50 iliyopita..
Hii ni report tu rasmu ya Tatu baada ya bunge la Katiba itakuwa na serikali mbili hiyo ndo Wananchi wanataka,hayo mengine ya Tume na Warioba wao ni hasira za kukaa benchi muda mrefu.
Rasmu gani imemezwa na kipengele kimoja kikubwa na vingine hata havionekani?
Naona tumeanza kutania Historia na maslahi ya nchi.
Mkuu, posho anatoa nani?[/QUOTENape Nnauye Mwandosya na Mwigulu Madelu Nchemba
Wale kazi yao ni kukimbizana na zitto na kuchakachua katiba ya chama chao ili wawe ni viongozi wa kudumu kwenye chama chao.Pamoja na kumpongeza JK kwa kutokuziba masikio... Ila pongezi zaidi ni kwa wale waliokuwa na ujasiri wa kudai bila kuchoka pamoja na kubezwa lakini waliweza kusimama imara hatimaye watawala wakaona ukweli na umuhimu wa Katiba mpya.. So bila watu kudai JK pamoja na CCM yake hawakuwa na mpango wa Katiba mpya pamoja na mfumo uliopo kushindwa kutufikisha popote kwa miaka 50 iliyopita..
Nasikia mchungaji natse ndiye anatoa posho.Mkuu, posho anatoa nani?[/QUOTENape Nnauye Mwandosya na Mwigulu Madelu Nchemba
Jamaa kaandika utumbo kweli.Badili rangi ya maandishi yako ndipo nisome umeandika nini
Kwenye katiba mpya mahakama ya kadhi ni muhimu. Kadhi court zipo nchi nyingi ambazo kuna mchanganyiko wa dini tofauti kama vile:
1. S. Africa
2. Kenya
3. Zanzibar
4. Uganda
5. Gambia
6. Nigeria
7. India nk.
Lakini zimeingizwa kwenye katiba zao na zinahudumiwa na Serikali zao. Kwa nini isiwe Tanzania?
Watioba mzee wetu utakumbukwa kaza.
RASIMU YA PILI YA KATIBA: Yapunguza madaraka ya Rais, yaongeza Ibara kutoka Ibara 240 za Rasimu ya kwanza hadi Ibara 271, pia haki mpya 4 za binadamu zaongezwa.anajua chama chake kinakwenda kuzikwa rasmi 2015.